15 Desemba, 2025

Mwigulu Nchemba awahimiza Watanzania kuweka akiba ya chakula kutokana na kuchelewa kwa mvua

Akiba ya chakula leo ni kinga ya njaa kesho.

cb5d0dc76ebe5bfeb7cafd5378faa145b5cd9c16eb15038201e969145323c12f

15 Desemba, 2025

Wacongo 52 wakimbilia Tanzania kufuatia kutekwa kwa Uvira na waasi wa M23

Wakimbizi 52 wameingia Tanzania wakikimbia mapigano mashariki mwa DRC.

138

15 Desemba, 2025

Waliouawa katika shambulio la kigaidi lililolenga Wayahudi Australia wafikia 15

Shambulio hili linachukuliwa kama tukio la kigaidi lenye chuki dhidi ya Wayahudi.

136

15 Desemba, 2025

John Cena aaga rasmi WWE baada ya pambano la mwisho Washington

Mwili wangu unauma na ni wakati wa kustaafu.

132

15 Desemba, 2025

Mbunge wa upinzani Sudan Kusini auawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwake

“Tunazitaka mamlaka kuchunguza mauaji haya na kuwafikisha wahusika mbele ya sheria,”
— Chama cha SPLM-IO.

58d419a0d512243e6deaac991cc46960d9c9d69508ad6189e15f4d31dbff881c main

13 Desemba, 2025

DRC yaahidi kuukomboa mji wa kimkakati wa Uvira uliotekwa na waasi

“Hatutajisalimisha. Vita vya kukomboa Kivu Kusini havijamalizika,”
— Guillaume Ngefa, Waziri wa Sheria wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

f1be186578c7c87a1b01b24dc38503de8764591c0ac4483bf0b08a6eeb84384e

11 Desemba, 2025

Aliyekuwa Waziri wa Afya Tanzania, Jenista Mhagama, afariki dunia

Bunge latangaza kifo cha Jenista Mhagama, aliyewahi kuwa Waziri wa Afya na Mbunge wa Peramiho; mipango ya mazishi inaendelea kuratibiwa.

118

11 Desemba, 2025

IOM: Zaidi ya 1,000 wakimbia Kordofan kufuatia ongezeko la mapigano Sudan

Mapigano kati ya jeshi la Sudan na RSF yamesababisha zaidi ya watu 1,000 kukimbia Kordofan ndani ya siku mbili, yakiongeza mgogoro wa kibinadamu.

31188d8ca138d9d09be7bb5748535a031eee599bce2bd4f6eff3c49cfdda5561

11 Desemba, 2025

Türkiye yaimarisha mfumo wa kuziendeleza startups kutoka hatua ya kuanzishwa hadi kushindana kimataifa

Waziri Kacir asema sera rafiki kwa ubunifu zimechochea ongezeko la “turcorns” na ukuaji wa sekta za teknolojia

114 1

10 Desemba, 2025

Rwanda Yaishutumu DRC na Burundi Kuvunja Mkataba wa Amani

Kigali yadai majirani wake wanakiuka usitishwaji wa mapigano katika Kivu Kusini.

b63428e15bf2372bf3fc68ce0e65d4b18dbb6af1bb39b7c5eee1e05254fcdd79
Inapakia...