Mauaji ya Butambala Baada ya Uchaguzi Uganda

Msemaji wa polisi, Lydia Tumushabe, alisema: “Vyombo vya usalama vilijilinda kwa sababu watu hawa walikuja kwa idadi kubwa. Polisi walifyatua risasi kwa ajili ya kujilinda.”
17 Januari, 2026
Siku ya Lugha za Kituruki ya Dunia yasherehekewa Dakar, Senegal

Kituruki ni lugha mama ya zaidi ya watu milioni 200 katika mabara matatu.
16 Januari, 2026
AFCON 2025: Simba wa Teranga vs Simba wa Atlas katika fainali ya kihistoria

Ni fainali ya heshima: Senegal kutafuta taji la pili, Morocco kutafuta historia ya miaka 50.
16 Januari, 2026
Sudan yakabiliwa na njaa kali, misaada ya chakula kufikia kikomo Machi – ONU

Misaada ya chakula itakoma mwishoni mwa Machi iwapo hakutakuwa na ufadhili mpya.
16 Januari, 2026

Mabilionea wa Afrika waongoza kwa kasi ya ukuaji wa utajiri 2026

xAI yaweka vizuizi kwa Grok kufuatia lawama za picha za faragha

Chad: Mapigano na kundi lenye silaha yauwa wanajeshi 3, wengine 10 wajeruhiwa

Mashambulizi ya waasi yauwa watoto na wanawake Kaskazini Magharibi mwa Cameroon

Mane aipeleka Senegal fainali ya AFCON 2025 baada ya kuizamisha Misri
15 Januari, 2026
Uganda yaanza kupiga kura chini ya ulinzi mkali
Jeshi na polisi wameimarisha ulinzi katika vituo vya kupigia kura.

14 Januari, 2026
Rwanda yashirikiana na Ghana kutuma wahandisi Jamaica baada ya kimbunga Melissa
Kikosi cha RDF kimepelekwa Jamaica kusaidia ukarabati wa miundombinu iliyoharibiwa na majanga.

14 Januari, 2026
Uganda yajipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026
Zaidi ya wapiga kura milioni 21.6 wamesajiliwa kushiriki uchaguzi wa 2026.

14 Januari, 2026
Mashambulio ya risasi Ethiopia: Watalii wawili wa Kituruki wauawa, uchunguzi waanza
“Miili ya marehemu inasafirishwa Istanbul kwa heshima ya mwisho.”

29 Desemba, 2025
Maandamano Mogadishu yapinga vikali Israel kuitambua Somaliland
Somalia ni taifa moja lisilogawanyika.

29 Desemba, 2025
Tahadhari ya Hali ya Hewa: Mvua Kubwa Zatarajiwa Katika Mikoa 20 Tanzania
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetoa onyo la mvua kubwa zitakazonyesha katika mikoa 20 ya nchi.

28 Desemba, 2025
Zaidi ya Raia 200 Wauawa Darfur katika Mashambulizi ya Kikabila
Zaidi ya raia 200, wakiwemo wanawake na watoto, wameuawa katika mashambulizi ya kikabila katika maeneo ya Darfur,” ilisema taarifa ya Madaktari wa Sudan.

25 Desemba, 2025
Helikopta ya Uokoaji Yaanguka Mlima Kilimanjaro
“Ajali hii imetokea wakati helikopta ikiwa kwenye misheni ya kuokoa maisha ya binadamu, tukio linalosikitisha sana,” alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa.

25 Desemba, 2025
Jeshi la Israel lashambulia maeneo kadhaa ya Gaza licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano
Ndege za kivita za Israel zilishambulia kaskazini, kati na kusini mwa Ukanda wa Gaza, hali iliyozua taharuki kubwa miongoni mwa wakazi.

25 Desemba, 2025
Hakan Fidan akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger jijini Ankara
Uturuki inaendelea kujenga uhusiano wake na Niger kwa misingi ya kuheshimiana, usawa na manufaa ya pande zote, kwa lengo la kuimarisha amani, maendeleo na uthabiti wa kikanda.



