15 Januari, 2026

Uganda yaanza kupiga kura chini ya ulinzi mkali

Jeshi na polisi wameimarisha ulinzi katika vituo vya kupigia kura.

272

14 Januari, 2026

Rwanda yashirikiana na Ghana kutuma wahandisi Jamaica baada ya kimbunga Melissa

Kikosi cha RDF kimepelekwa Jamaica kusaidia ukarabati wa miundombinu iliyoharibiwa na majanga.

273

14 Januari, 2026

Uganda yajipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026

Zaidi ya wapiga kura milioni 21.6 wamesajiliwa kushiriki uchaguzi wa 2026.

267

14 Januari, 2026

Mashambulio ya risasi Ethiopia: Watalii wawili wa Kituruki wauawa, uchunguzi waanza

“Miili ya marehemu inasafirishwa Istanbul kwa heshima ya mwisho.”

262

29 Desemba, 2025

Maandamano Mogadishu yapinga vikali Israel kuitambua Somaliland

Somalia ni taifa moja lisilogawanyika.

224

29 Desemba, 2025

Tahadhari ya Hali ya Hewa: Mvua Kubwa Zatarajiwa Katika Mikoa 20 Tanzania

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetoa onyo la mvua kubwa zitakazonyesha katika mikoa 20 ya nchi.

218

28 Desemba, 2025

Zaidi ya Raia 200 Wauawa Darfur katika Mashambulizi ya Kikabila

Zaidi ya raia 200, wakiwemo wanawake na watoto, wameuawa katika mashambulizi ya kikabila katika maeneo ya Darfur,” ilisema taarifa ya Madaktari wa Sudan.

216

25 Desemba, 2025

Helikopta ya Uokoaji Yaanguka Mlima Kilimanjaro

“Ajali hii imetokea wakati helikopta ikiwa kwenye misheni ya kuokoa maisha ya binadamu, tukio linalosikitisha sana,” alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa.

200

25 Desemba, 2025

Jeshi la Israel lashambulia maeneo kadhaa ya Gaza licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano

Ndege za kivita za Israel zilishambulia kaskazini, kati na kusini mwa Ukanda wa Gaza, hali iliyozua taharuki kubwa miongoni mwa wakazi.

197

25 Desemba, 2025

Hakan Fidan akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger jijini Ankara

Uturuki inaendelea kujenga uhusiano wake na Niger kwa misingi ya kuheshimiana, usawa na manufaa ya pande zote, kwa lengo la kuimarisha amani, maendeleo na uthabiti wa kikanda.

193
Inapakia...