John Cena, nyota wa miereka wa Marekani, amefanya pambano lake la mwisho na kuaga rasmi WWE baada ya miaka 24. Akiwa na umri wa miaka 48, Cena alishangiliwa kwa heshima kubwa na mashabiki, huku akibaki kuwa balozi wa WWE kupitia mkataba mpya wa miaka mitano.
CHANZO: BBC NEWS







