Uturuki

Turkish Red Crescent yawasadia waathirika wa mzozo Sudan kwa chakula tani 100

“Sudan inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa kibinadamu, na zaidi ya watu milioni 10 wamekimbia makazi yao,” alisema Faruk Aksoy.

Newstimehub

Newstimehub

15 Desemba, 2025

143 1

Turkish Red Crescent, kwa kushirikiana na Sudanese Red Crescent, imepeleka tani 100 za chakula Sudan kusaidia waathirika wa mzozo kati ya jeshi na RSF. Misaada imefika familia katika kambi za wakimbizi na miji kadhaa, ikiwemo Port Sudan na Al-Affad. Hali ni mbaya, na zaidi ya watu milioni 25 wanahitaji msaada, huku jumuiya ya kimataifa ikiombwa kuongeza msaada wa dharura.

CHANZO: TRT Afrika