25 Aprili, 2025

Takriban watu tisa wauawa, 63 wajeruhiwa Kiev katika shambulizi la Urusi

Msaidizi mwandamizi wa Rais wa Ukraine amesema mashambulizi hayo kwa raia sharti yasitishwe.

2025 04 24t061756z 1 lynxmpel3n08z rtroptp 3 ukraine crisis attack kyiv

22 Aprili, 2025

Kwenye ardhi, bila mapambo: Papa Francis alitaka mazishi ya kawaida

Katika wosia wake, Papa Francis alieleza sehemu maalum anapotaka kuzikwa, pembeni pa basilica, hata kuongeza mchoro ulioambatanishwa kwa maelezo zaidi

pope 20kuzikwa 20ap 1

21 Aprili, 2025

Idadi ya vifo kutokana na vita vya mauaji ya halaiki ya Israel huko Gaza yaongezeka hadi 51,157

Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

2025 04 19t081612z 1150795448 rc2 trmadp 3 israel palestinians gaza

21 Aprili, 2025

Roboti zakimbia pamoja na wanadamu katika mbio za marathon za Uchina

Tien Kung Ultra inayotengenezwa na China ilikamilisha mbio ya kilomita 21 kwa muda wa saa 2 tu dakika 40, na kuwaongoza takriban watu 20 walioanza kozi ya humanoid.

fab 1 2

21 Aprili, 2025

Trump: ‘Sijui kilichotokea wakati wa jaribio langu la kuuwawa’

‘Si FBI wala idara ya ulinzi wa viongozi walioniambia kilichotokea,’ Donald Trump alikiambia chombo cha habari cha Fox News.

trump 25404

21 Aprili, 2025

Walowezi zaidi 1,200 wa Israeli wavamia Msikiti wa Al-Aqsa

Maafisa wa Palestina wamelaani hatua hiyo ikiwa ni mtindo unaoendelea na tayari zaidi ya walowezi 13,000 wamevamia Msikiti huo tangu kuanza kwa mwaka 2025.

al 20aqsa

21 Aprili, 2025

Majeshi ya Israeli yavunja sanamu ya Mtakatifu George siku ya Jumapili ya Matawi

Picha mjongeo zilionesha magari ya kivita ya Israeli yakivunja sanamu katika mji wa Yaroun.

saint 20george 20statue 1 2

21 Aprili, 2025

Raia wa Japan afungwa jela mwaka mmoja kwa kuua sungura

Hotta alikamatwa mwezi Januari baada ya kupatikana akimpiga teke sungura katika kisiwa cha Okuno.

gettyimages 610079438 20 1

21 Aprili, 2025

Netanyahu anamsuta Macron kuhusu mipango yake ya kuitambua taifa huru la Palestina

Netanyahu anasema Macron “amekosea sana” kukuza kutambuliwa kwa Palestina, akidai kuwa lengo la taifa la Palestina litakuwa kuangamizwa kwa Israeli.

fab 1 2 3 4

21 Aprili, 2025

Waziri wa ulinzi wa Israel anatishia kumega zaidi ardhi ya Palestine na kuitenga Gaza

Waasi wa Houthi wa Yemen washambulia uwanja wa ndege wa Ben Gurion, kituo cha kijeshi nchini Israel

fab 1 2
Inapakia...