Jitihada za kidiplomasia zinaendea kupunguza hali ya wasiwasi kati ya Pakistan, India

Wanadiplomasia wakuu wa Marekani, Saudi Arabia wanafanya mazungumzo na mawaziri wa mambo ya nje wa India na Pakistan katika jitihada za kupunguza hali tete inayoendelea kati ya nchi hizo
10 Mei, 2025
Papa LEO XIV ni nani?

Kadinali Robert Prevost mzaliwa wa Marekani, amekuwa Papa wa kwanza katika historia ya Kanisa kutoka nchi hiyo.
9 Mei, 2025
Robert Francis Prevost Papa wa kwanza kutoka Marekani achaguliwa

Anaaminika kuwa na msimamo wa kadri na mshirika wa karibu wa Papa Francis alihudumia Kanisa nchini Peru, Prevost anakuwa kiongozi wa 267 wa Kanisa Katoliki.
8 Mei, 2025
Mchakato wa kumchagua Papa, kiongozi wa Kanisa Katoliki umeanza

Hakuna papa ambaye amechaguliwa katika siku ya kwanza ya kongamano kwa karne nyingi, kwa hivyo upigaji kura unaweza kuendelea kwa siku kadhaa.
7 Mei, 2025

Makundi ya Druze yaanza kukabidhi silaha nzito kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Syria

Kardinali Mtaliano ajiondoa mchakato wa kumpata mrithi wa Papa Francis

Tisa wauawa baada ya shambulio la gari katika tamasha la Vancouver mitaani: Polisi

Jeshi la Israel laamuru Wapalestina zaidi kuhamishwa hadi Magharibi mwa Gaza

Afrika Kusini inahimiza Urusi na Ukraine kufikia “makubaliano ya kusitisha vita”
25 Aprili, 2025
Takriban watu tisa wauawa, 63 wajeruhiwa Kiev katika shambulizi la Urusi
Msaidizi mwandamizi wa Rais wa Ukraine amesema mashambulizi hayo kwa raia sharti yasitishwe.

22 Aprili, 2025
Kwenye ardhi, bila mapambo: Papa Francis alitaka mazishi ya kawaida
Katika wosia wake, Papa Francis alieleza sehemu maalum anapotaka kuzikwa, pembeni pa basilica, hata kuongeza mchoro ulioambatanishwa kwa maelezo zaidi

21 Aprili, 2025
Idadi ya vifo kutokana na vita vya mauaji ya halaiki ya Israel huko Gaza yaongezeka hadi 51,157
Pata habari na uchambuzi zaidi kwa lugha 45 kutoka TRT Global. Zikiangazia siasa, biashara, michezo na mengineyo.

21 Aprili, 2025
Roboti zakimbia pamoja na wanadamu katika mbio za marathon za Uchina
Tien Kung Ultra inayotengenezwa na China ilikamilisha mbio ya kilomita 21 kwa muda wa saa 2 tu dakika 40, na kuwaongoza takriban watu 20 walioanza kozi ya humanoid.

21 Aprili, 2025
Trump: ‘Sijui kilichotokea wakati wa jaribio langu la kuuwawa’
‘Si FBI wala idara ya ulinzi wa viongozi walioniambia kilichotokea,’ Donald Trump alikiambia chombo cha habari cha Fox News.

21 Aprili, 2025
Walowezi zaidi 1,200 wa Israeli wavamia Msikiti wa Al-Aqsa
Maafisa wa Palestina wamelaani hatua hiyo ikiwa ni mtindo unaoendelea na tayari zaidi ya walowezi 13,000 wamevamia Msikiti huo tangu kuanza kwa mwaka 2025.

21 Aprili, 2025
Majeshi ya Israeli yavunja sanamu ya Mtakatifu George siku ya Jumapili ya Matawi
Picha mjongeo zilionesha magari ya kivita ya Israeli yakivunja sanamu katika mji wa Yaroun.

21 Aprili, 2025
Raia wa Japan afungwa jela mwaka mmoja kwa kuua sungura
Hotta alikamatwa mwezi Januari baada ya kupatikana akimpiga teke sungura katika kisiwa cha Okuno.

21 Aprili, 2025
Netanyahu anamsuta Macron kuhusu mipango yake ya kuitambua taifa huru la Palestina
Netanyahu anasema Macron “amekosea sana” kukuza kutambuliwa kwa Palestina, akidai kuwa lengo la taifa la Palestina litakuwa kuangamizwa kwa Israeli.

21 Aprili, 2025
Waziri wa ulinzi wa Israel anatishia kumega zaidi ardhi ya Palestine na kuitenga Gaza
Waasi wa Houthi wa Yemen washambulia uwanja wa ndege wa Ben Gurion, kituo cha kijeshi nchini Israel




