Uturuki, Pakistan na Saudi Arabia wajadili mkataba mpya wa ulinzi wa kikanda

Rasimu ya makubaliano ipo kwa pande zote tatu na imekuwa ikijadiliwa kwa miezi 10.
16 Januari, 2026
Misri na nchi nyingine tatu zimemshawishi Trump kutoishambulia Iran: Reuters

Misri na mataifa mengine matatu yalifanya juhudi kubwa za kidiplomasia wiki hii kuishawishi Marekani isifanye shambulio dhidi ya Iran, kulingana na afisa mmoja kutoka eneo la Ghuba aliyeliambia shirika la habari la Reuters.
15 Januari, 2026
Afrika Kusini yatoa wito wa utulivu katikati ya maandamano Iran

Amani endelevu inaweza kupatikana tu kwa suluhisho linaloweka wananchi wa Iran katikati ya maamuzi.
15 Januari, 2026
Tahadhari ya bomu: Ndege ya Turkish Airlines yatua salama Barcelona

Taratibu za usalama zilianzishwa mara moja ndani ya ndege kwa mujibu wa kanuni za usalama wa anga.
15 Januari, 2026

Uturuki na UAE zajadili kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia Abu Dhabi

Iran yafunga anga yake kwa ndege nyingi kutokana na kuongezeka kwa mvutano

Uturuki na Iran wazidisha mawasiliano kupunguza mvutano wa kikanda

Marekani yasitisha viza za uhamiaji kwa raia wa nchi 75

Israel yaongeza tahadhari huku Marekani ikionekana kukaribia kuivamia Iran
14 Januari, 2026
Trump aonya Iran: Hatua kali zaidi iwapo waandamanaji watahukumiwa kifo
“Tutachukua hatua kali iwapo watafanya hivyo.” — Donald Trump

14 Januari, 2026
Marekani na Iran waendelea kubwatukiana katikati ya maandamano na vurugu
Maandamano yameharibu miundombinu na nyumba za ibada.

13 Januari, 2026
Trump Awaambia Waandamanaji wa Iran: “Msaada Unakuja”
“Wazalendo wa Iran, endeleeni kuandamana, chukueni udhibiti wa taasisi zenu!!! Muhifadhi majina ya wauaji na wanyanyasaji. Watalipa gharama kubwa.” — Donald Trump

12 Januari, 2026
Iran inasema ‘iko tayari’ kwa mazungumzo na Marekani lakini ‘iko sawa kwa vita’
Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran anasema nchi yake inaangazia kuwa na makubaliano ambayo yanaheshimu haki za wote na usawa.

10 Januari, 2026
Trump aonya mashambulizi zaidi ya anga ya Marekani Nigeria kufuatia mauaji ya Wakristo
Usalama hauchagui dini, magaidi huua wote bila ubaguzi.

10 Januari, 2026
Trump: Marekani itachagua kampuni za mafuta zitakazoruhusiwa kufanya kazi Venezuela
Marekani itaamua nani anafanya kazi Venezuela, kwa maslahi ya usalama na uchumi wake.

9 Januari, 2026
Wizara ya Ulinzi ya Syria imetangaza kusitishwa kwa mapigano katika vitongoji vya Aleppo
Wizara ya Ulinzi ya Syria imetangaza kusitishwa kwa mapigano katika vitongoji kadhaa vya kaskazini mwa mji wa Aleppo, ikisema kuwa hatua hiyo inalenga kumaliza hali ya kijeshi katika maeneo hayo.

7 Januari, 2026
Mkuu wa Jeshi la Iran atishia kujibu ‘vitisho’ vya Trump na Netanyahu
Maandamano yaliyosababishwa na ugumu wa maisha nchini Iran yanafuatiliwa kwa karibu na jamii ya kimataifa, ikiwa ni pamoja na viongozi mahasimu wa taifa hilo, Israel na Marekani.

7 Januari, 2026
Trump amesema Marekani itachukua mafuta ya Venezuela
Rais Donald Trump alimueleze mtangazaji wa kipindi cha MS NOW, Joe Scarborough, kwamba Marekani inapanga “kuchukua mafuta,” kufuatia mashambulizi yaliyofanyika nchini Venezuela na kukamatwa kwa Nicolás Maduro.

6 Januari, 2026
Hofu yaongezeka miongoni mwa jamii ya Wasomali baada ya Trump kutuma maafisa 2,000 Minnesota
Mamlaka za serikali kuu zinaongeza uwepo wao katika jimbo la Minnesota huku utekelezaji wa sheria za uhamiaji ukipanuka, kufuatia madai yaliyoenea mtandaoni kuhusu udanganyifu katika vituo vya kulea watoto vinavyoendeshwa na Wasomali.



