14 Januari, 2026

Trump aonya Iran: Hatua kali zaidi iwapo waandamanaji watahukumiwa kifo

“Tutachukua hatua kali iwapo watafanya hivyo.” — Donald Trump

269

14 Januari, 2026

Marekani na Iran waendelea kubwatukiana katikati ya maandamano na vurugu

Maandamano yameharibu miundombinu na nyumba za ibada.

270

13 Januari, 2026

Trump Awaambia Waandamanaji wa Iran: “Msaada Unakuja”

“Wazalendo wa Iran, endeleeni kuandamana, chukueni udhibiti wa taasisi zenu!!! Muhifadhi majina ya wauaji na wanyanyasaji. Watalipa gharama kubwa.” — Donald Trump

260

12 Januari, 2026

Iran inasema ‘iko tayari’ kwa mazungumzo na Marekani lakini ‘iko sawa kwa vita’

Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran anasema nchi yake inaangazia kuwa na makubaliano ambayo yanaheshimu haki za wote na usawa.

fdc4986a642764dc7cccf91b8389ac672d65c2a89e3cefb1315d68012eaedecd

10 Januari, 2026

Trump aonya mashambulizi zaidi ya anga ya Marekani Nigeria kufuatia mauaji ya Wakristo

Usalama hauchagui dini, magaidi huua wote bila ubaguzi.

250

10 Januari, 2026

Trump: Marekani itachagua kampuni za mafuta zitakazoruhusiwa kufanya kazi Venezuela

Marekani itaamua nani anafanya kazi Venezuela, kwa maslahi ya usalama na uchumi wake.

251

9 Januari, 2026

Wizara ya Ulinzi ya Syria imetangaza kusitishwa kwa mapigano katika vitongoji vya Aleppo

Wizara ya Ulinzi ya Syria imetangaza kusitishwa kwa mapigano katika vitongoji kadhaa vya kaskazini mwa mji wa Aleppo, ikisema kuwa hatua hiyo inalenga kumaliza hali ya kijeshi katika maeneo hayo.

1767922300878 m5qspq 55ceba5d0d5d461aa650225165e544e619480c782c222b73b955e106e6f2f4f6

7 Januari, 2026

Mkuu wa Jeshi la Iran atishia kujibu ‘vitisho’ vya Trump na Netanyahu

Maandamano yaliyosababishwa na ugumu wa maisha nchini Iran yanafuatiliwa kwa karibu na jamii ya kimataifa, ikiwa ni pamoja na viongozi mahasimu wa taifa hilo, Israel na Marekani.

2025 06 23t092850z 2016398049 rc2y7fanc2ta rtrmadp 3 iran nuclear

7 Januari, 2026

Trump amesema Marekani itachukua mafuta ya Venezuela

Rais Donald Trump alimueleze mtangazaji wa kipindi cha MS NOW, Joe Scarborough, kwamba Marekani inapanga “kuchukua mafuta,” kufuatia mashambulizi yaliyofanyika nchini Venezuela na kukamatwa kwa Nicolás Maduro.

bfb761a6037be96e24f2d612270aa29b21c0601609c483520432a95e1b7303db

6 Januari, 2026

Hofu yaongezeka miongoni mwa jamii ya Wasomali baada ya Trump kutuma maafisa 2,000 Minnesota

Mamlaka za serikali kuu zinaongeza uwepo wao katika jimbo la Minnesota huku utekelezaji wa sheria za uhamiaji ukipanuka, kufuatia madai yaliyoenea mtandaoni kuhusu udanganyifu katika vituo vya kulea watoto vinavyoendeshwa na Wasomali.

2026 01 06t005312z 1701515786 rc2aviax9ixs rtrmadp 3 usa trump minnesota
Inapakia...