6 Julai, 2026

Trump kukutana na Zelenskyy, Sharaa wa Syria wakati wa mkutano wa NATO mjini Ankara

Ikulu ya Marekani imesema Rais Trump atakutana na wenzake wa Ukraine na Syria katika mkutano wa kilele wa NATO, huku washirika wakikabiliwa na shinikizo la kuongeza matumizi ya ulinzi.

2026 07 06t054629z 1 lynxmpem650c0 rtroptp 3 ukraine crisis zelenskiy trump

5 Julai, 2026

Watu 8 wauawa katika tukio la hivi punde la uhalifu wa bunduki nchini Marekani.

Ripoti za awali za polisi zinaonyesha kuwa wanne kati ya waathiriwa walikuwa watoto lakini hakuna maelezo ya mapema yaliyotolewa kuhusu utambulisho wa waathiriwa, nia au kama washukiwa wowote wamekamatwa.

7091491a06231c9f930790ad7c28b722f59acdf65c8bcda81f5ba5a6ad67c355

5 Julai, 2026

Maombi yamefanyika kwa ajili ya Khamenei wa Iran katika siku ya pili ya sherehe za mazishi

Umati mkubwa wa watu ulikusanyika mjini Tehran huku Iran ikiendelea kuomboleza kote nchini, huku mamilioni wakitarajiwa kuhudhuria mazishi ya kiongozi huyo baadaye wiki hii.

f12186e866805789d9e5c1df69965b7865d762e5496033e7420eb8a9d11956c3

4 Julai, 2026

Sherehe za mazishi ya Ali Khamenei zinaanza nchini Iran huku umati mkubwa ukidai kulipizwa kisasi

Mamlaka za Iran zinasema zinatarajia washiriki kati ya milioni 15 na 20 jijini Tehran pekee katika kipindi cha siku tatu zijazo, kwa ajili ya kutoa heshima kwa mtu aliyeiongoza nchi hiyo kwa miongo mitatu na nusu.

iran khamenei funeral 22242

3 Julai, 2026

Uturuki yakanusha taarifa za kupotosha kuhusu tishio la shambulio wakati wa mkutano wa NATO

Mamlaka zimesema kuwa hatua zote muhimu za usalama zinaendelea kutekelezwa na zimetoa wito kwa wananchi kufuatili taarifa rasmi pekee.

d9279ec7d7b34afa1fe492ec7ce31b077248bfac9523a66670bf2e5c63daf743

3 Julai, 2026

Waziri Mkuu wa Moldova ajiuzulu baada ya miezi nane madarakani

Kupitia ujumbe wake aliouweka kwenye ukurasa wake wa Facebook siku ya Ijumaa, Munteanu alisema kuwa amefikia uamuzi huo baada ya “kusukumwa na misimamo yake na kile anachokiamini”.

0b1675e4d7ba4466bd9f5949bc3086fe735c4ab641f2bce0e3e51f38d7a872d1

2 Julai, 2026

Kanisa Katoliki lajitenga na Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa 10

Jumuiya ya Mtakatifu Pius X yenye wafuasi wapatao 600,000 ulimwenguni, inapinga vikali mabadiliko ya kisasa yaliyoletwa na Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican wa mwaka 1962-65, imeweka msisitizo kwenue matumizi ya Misa ya kale ya Kilatini.

1782991972663 e5m9k fa12cd74b0be40deeec1fded7d6b920fed177164d3ec2ce1d153d085ceaf6f76

1 Julai, 2026

Mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani yamepiga hatua nzuri: Trump

Rais wa Marekani amesema mazungumzo na Iran yanaendelea baada ya hatua za hivi majuzi za kijeshi, huku pande zote mbili zikiendelea kufanikisha amani ya kudumu.

2ecce2c0729c8d499f434b2ebb5b000fd38369d64a921a4035938a805e70abf2

29 Juni, 2026

Ufaransa yarekodi vifo zaidi ya 1,000 katika siku tano huku wimbi la joto likizidi kupanda

Idara ya Afya ya Umma ya Ufaransa ilisema data hiyo, ambayo inasalia kuwa ya muda, inaonyesha ongezeko kubwa la vifo wakati wa wimbi la joto, na watu walio na umri wa zaidi ya miaka 65 wakirekodi vifo vingi zaidi .

france heat counting the dead 45421

28 Juni, 2026

Ajali mbaya ya ndege nchini Ufaransa, uchunguzi waanza

Mamlaka zinasema waziri wa mambo ya ndani wa Ufaransa anatarajiwa kuzuru eneo la ajali.

2026 06 28t124250z 2062982288 rc203ma36rh9 rtrmadp 3 france crash
Inapakia...