Seneta wa Marekani Lindsey Graham afariki dunia baada ya ‘kuugua ghafla’

Akiwa sauti inayoongoza miongoni mwa chama cha Republican kuhusu ulinzi wa taifa na sera za kigeni, Graham alizungumza waziwazi kuhusu Israel, Iran, Ukraine, uhamiaji na masuala ya mahakama.
12 Julai, 2026
Zelenskyy adai watu wa karibu wa Putin wanataka vita vimalizike

Kiongozi huyo wa Ukraine anadai kuwa Urusi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta kwa kushindwa kumaliza vita
10 Julai, 2026
Ndege mpya ya Trump haina baadhi ya mifumo ya kujihami: Ripoti

Jeshi la Anga la Marekani limekiri kuwa ndege hiyo haina vifaa vyote vinavyohitajika kwenye Air Force One.
10 Julai, 2026
Marekani yasitisha mashambulizi dhidi ya Iran kwa muda huku juhudi za kidiplomasia zikiendelea

Juhudi za kidiplomasia zinaendelea ili kupunguza mvutano katika mzozo kati ya Marekani na Iran, kwa mujibu wa afisa mmoja aliyelizungumza na CNN.
10 Julai, 2026

Netanyahu: Vita vya Iran bado havijaisha

Polisi wapekua nyumba ya rais wa zamani, Jair Bolsonaro

Ukraine, Uholanzi zatiliana saini mkataba wa ulinzi wakati wa mkutano wa NATO

Gaza yavunja utawala kabla ya uhamisho wa mamlaka chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano

Ufaransa yakumbwa na wizi mwingine mkubwa wa vito vya thamani kutoka jumba la makumbusho
6 Julai, 2026
Trump kukutana na Zelenskyy, Sharaa wa Syria wakati wa mkutano wa NATO mjini Ankara
Ikulu ya Marekani imesema Rais Trump atakutana na wenzake wa Ukraine na Syria katika mkutano wa kilele wa NATO, huku washirika wakikabiliwa na shinikizo la kuongeza matumizi ya ulinzi.

5 Julai, 2026
Watu 8 wauawa katika tukio la hivi punde la uhalifu wa bunduki nchini Marekani.
Ripoti za awali za polisi zinaonyesha kuwa wanne kati ya waathiriwa walikuwa watoto lakini hakuna maelezo ya mapema yaliyotolewa kuhusu utambulisho wa waathiriwa, nia au kama washukiwa wowote wamekamatwa.

5 Julai, 2026
Maombi yamefanyika kwa ajili ya Khamenei wa Iran katika siku ya pili ya sherehe za mazishi
Umati mkubwa wa watu ulikusanyika mjini Tehran huku Iran ikiendelea kuomboleza kote nchini, huku mamilioni wakitarajiwa kuhudhuria mazishi ya kiongozi huyo baadaye wiki hii.

4 Julai, 2026
Sherehe za mazishi ya Ali Khamenei zinaanza nchini Iran huku umati mkubwa ukidai kulipizwa kisasi
Mamlaka za Iran zinasema zinatarajia washiriki kati ya milioni 15 na 20 jijini Tehran pekee katika kipindi cha siku tatu zijazo, kwa ajili ya kutoa heshima kwa mtu aliyeiongoza nchi hiyo kwa miongo mitatu na nusu.

3 Julai, 2026
Uturuki yakanusha taarifa za kupotosha kuhusu tishio la shambulio wakati wa mkutano wa NATO
Mamlaka zimesema kuwa hatua zote muhimu za usalama zinaendelea kutekelezwa na zimetoa wito kwa wananchi kufuatili taarifa rasmi pekee.

3 Julai, 2026
Waziri Mkuu wa Moldova ajiuzulu baada ya miezi nane madarakani
Kupitia ujumbe wake aliouweka kwenye ukurasa wake wa Facebook siku ya Ijumaa, Munteanu alisema kuwa amefikia uamuzi huo baada ya “kusukumwa na misimamo yake na kile anachokiamini”.

2 Julai, 2026
Kanisa Katoliki lajitenga na Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa 10
Jumuiya ya Mtakatifu Pius X yenye wafuasi wapatao 600,000 ulimwenguni, inapinga vikali mabadiliko ya kisasa yaliyoletwa na Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican wa mwaka 1962-65, imeweka msisitizo kwenue matumizi ya Misa ya kale ya Kilatini.

1 Julai, 2026
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani yamepiga hatua nzuri: Trump
Rais wa Marekani amesema mazungumzo na Iran yanaendelea baada ya hatua za hivi majuzi za kijeshi, huku pande zote mbili zikiendelea kufanikisha amani ya kudumu.

29 Juni, 2026
Ufaransa yarekodi vifo zaidi ya 1,000 katika siku tano huku wimbi la joto likizidi kupanda
Idara ya Afya ya Umma ya Ufaransa ilisema data hiyo, ambayo inasalia kuwa ya muda, inaonyesha ongezeko kubwa la vifo wakati wa wimbi la joto, na watu walio na umri wa zaidi ya miaka 65 wakirekodi vifo vingi zaidi .

28 Juni, 2026
Ajali mbaya ya ndege nchini Ufaransa, uchunguzi waanza
Mamlaka zinasema waziri wa mambo ya ndani wa Ufaransa anatarajiwa kuzuru eneo la ajali.



