28 Mei, 2026

Syria yagundua makusanyiko ya silaha za kemikali kutoka kwa mpango wa zamani wa serikali ya Assad

Maafisa wa usalama wamewakamata watu 18, ikiwemo afisa mwandamizi wa jeshi na wataalamu wa utafiti, kufuatia kushukiwa na kuhusishwa na mtandao wa kemikali haramu za silaha.

5cb5d67583dfb0af6cd23127e587563640c68385f48ae00ba3da4c4314803c02

28 Mei, 2026

Tumeshambulia kambi ya jeshi la Marekani nchini Kuwait: Vikosi vya Iran (IRGC)

Shambulio la Iran la kulipiza kisasi linakuja kufuatia shambulio la Marekani karibu na Uwanja wa Ndege wa Bandar Abbas kusini mwa Iran, IRGC ilisema katika taarifa.

bf465e92b60d7a9656651e8ca1504115a4d3ef2e96062040d089d67f92ac5882

27 Mei, 2026

Waislamu waswali swali ya Eid al-Adha katika Msikiti wa Al-Aqsa

Eid al-Adha ya mwaka huu, moja ya mapumziko muhimu zaidi katika kalenda ya Waislamu, imefanyika licha ya hali ya kuendelea kwa ukiukaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotekelezwa na Israel tangu Oktoba 2025.

b7702fe7881d0f6ca127e08b0d289374f747f611dd107fe6aae2123983a9d452

24 Mei, 2026

Israel inahofia kuwa Trump atafuata makubaliano yenye mipaka ya Iran, na kuacha mpango wa nyuklia

Israel inaelezea wasiwasi wake mkubwa kwamba Rais wa Marekani Donald Trump huenda akakubali mkataba mdogo na Iran ambao unashindwa kuondoa hazina ya urani iliyorutubishwa Tehran.

752b9fca5dd71ea24244ffbc6ab0248542fa4b6b6d9a458eaa6be27194971d6e main

22 Mei, 2026

‘Wamepata vidonda mwilini’ — wanaharakati wasimulia mateso waliyopitia walipotekwa na Israel

Wanaharakati wanatoa ushahidi wa mateso waliyopitia wakiwa chini ya ulinzi wa Israel, huku baadhi wakisimulia madhila waliyopitia kuwa ni mabaya kuliko hata ya wanayofanyiwa wanyama.

aptopix turkey gaza flotilla 36771

22 Mei, 2026

Mojtaba Khamenei amesema madini ya urani ya Iran yatabaki nchini humo

Rais Donald Trump ameapa kutoruhusu Iran kuwa na madini hayo au kuiruhusu kuwa na silaha za nyuklia.

2026 05 21t102751z 1032983550 rc2v4lalz6uh rtrmadp 3 iran crisis nuclear

21 Mei, 2026

Marco Rubio: Tutahakikisha Ebola haifiki Marekani

Kauli ya Rubio inakuja wakati Marekani imesitisha utoaji viza kwa raia wanaotokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) kwa hofu ya ugonjwa wa Ebola.

4877f15fa7c21e8a1a72589b2ffcfcd787a5689e9eb7829ccd5663dbcd04dc80

21 Mei, 2026

Wanaharakati wa msafara wa Flotilla walioshambuliwa na Israel wapelekwa Uturuki

Zaidi ya wanaharakati 420, wakiwemo raia wa Uturuki 78, wanatarajiwa kuwasili jijini Istanbul kwa ndege ya Shirika la Ndege la Uturuki.

baaaae91 c5ff 4451 bc60 d99bdc479356 1779367848548

21 Mei, 2026

Trump na Netanyahu watofautiana kwa njia ya simu kuhusu kuishambulia Iran — Ripoti

Waziri Mkuu wa Israel anaripotiwa kuishinikiza Marekani kuishambulia Iran, huku Rais Trump akisisitiza kuwa kuna uwezekano wa kufikia makubaliano, kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari.

trump 39112

20 Mei, 2026

Marekani na Israel zilipanga kumuweka madarakani rais wa zamani wa nchi hiyo Ahmadinejad

Ripoti ya gazeti la The New York Times imesema kuwa mpango wa Marekani ulikuwa ni kumuweka madarakani aliyekuwa rais wa Iran mwenye msimamo mkali Mahmoud Ahmadinejad baada ya mashambulizi yaliyomuua aliyekuwa kiongozi mkuu.

696276fb0bbff1c2c00e07001346a82236eeaa23bb4dd84a2857bdffb3e34ce9
Inapakia...