Ubalozi wa Uturuki mjini Cairo waandaa hafla kuhusu uhusiano wa Misri na NATO, jukumu la Mawasiliano

Katika kuadhimisha miaka 100 ya uhusiano wa kidiplomasia wa Utuurki-Misri, Balozi Salih Mutlu Sen anasisitiza umuhimu wa kuimarisha uhusiano na Cairo, pamoja na kushirikiana na Italia kutumika kama Kituo cha Mawasiliano cha NATO mnamo 2025-2026.
21 Aprili, 2025
Erdogan: Kufika Msikiti wa Al Aqsa ni kuvuka mpaka

Rais wa Uturuki ameshtumu mashambulizi ya Israeli huko Gaza, na kukashifu kuhusu ukimya wa mataifa ya Magharibi, pamoja na kuapa kuendelea kuwaunga mkono Wapalestina: “Hata kama tutabaki peke yetu, tutalitetea suala hili.”
21 Aprili, 2025
Rais wa Uturuki ashtumu Israeli kwa mashambulizi ya Gaza, atoa wito kwa dunia kuwajibika

Recep Tayyip Erdogan ameishtumu Israeli kwa ‘mauaji ya kikatili,’ akiangazia kuhusu ukimya uliopo kutoka kwa mataifa duniani
21 Aprili, 2025
Uwanja wa Ndege wa Istanbul unakuwa wa kwanza Ulaya kuzindua ndege tatu kuruka kwa wakati mmoja

“Hii siyo tu mara ya kwanza kwa Uturuki, bali katika sekta ya anga barani Ulaya. Baada ya Marekani, Uturuki ndio nchi pekee ambayo imeanzisha utaratibu huo,” amesema Waziri.
21 Aprili, 2025

Erdogan: Wale wanaozuia utulivu wa Syria watakabiliana na Uturuki na Damascus kwa pamoja

Uturuki yalaani shambulio baya katika kambi ya wakimbizi ya Sudan

Emine Erdogan apokea tuzo ya ‘Kiongozi Bora wa Kike Ulimwenguni’ katika Global Donors Forum

Uturuki ‘tegemeo’ Afrika, kiwango cha biashara chafika dola bilioni 36: Naibu Waziri wa Mambo ya Nje


