Türkiye yaadhimisha Siku ya Ukombozi wa Syria mwaka mmoja baada ya kuanguka kwa Assad

Ankara yatoa pongezi kwa wananchi wa Syria na kuunga mkono serikali mpya
8 Desemba, 2025
Ushirikiano wa ulinzi Uturuki–Misri wazaa gari la ardhini lisilo na dereva ‘Aqrab’

Havelsan ya Uturuki na shirika la AOI la Misri wazindua magari mapya yasiyo na wahudumu—Aqrab na Hamza-1—katika maonyesho ya EDEX 2025 mjini Cairo.
8 Desemba, 2025
Erdogan amwambia Maduro umuhimu wa kuendeleza mazungumzo ya wazi na Marekani

Viongozi wa Uturuki na Venezuela wajadili uhusiano wa pande mbili na masuala ya kikanda katika mazungumzo ya simu, Erdogan akitoa wito wa kupunguza mvutano na Washington.
8 Desemba, 2025
Erdogan na Stubb wajadili amani ya Ukraine, Gaza na ushirikiano wa kibiashara

“Uturuki inazingatia umalizwaji wa mchakato wa amani kati ya Ukraine na Urusi.” — Rais Recep Tayyip Erdogan
4 Desemba, 2025

Uturuki Yaweka Rekodi ya Ukuaji wa 3.7%, Utalii Kufikia $50 Bilioni – Erdogan

Türkiye yazindua chombo cha kwanza cha ndani cha kusafirisha satelaiti angani

Erdogan aonya mashambulizi ya Bahari Nyeusi kutishia usalama wa urambazaji

Uchumi wa Uturuki Wakua kwa Asilimia 3.7 Katika Robo ya Tatu ya Mwaka

Fidan kuzuru Iran kujadili usalama, biashara na migogoro ya kikanda
1 Desemba, 2025
KIZILELMA Yaweka Rekodi ya Dunia: UAV ya Kwanza Kurusha Kombora cha Anga-kwa-Anga kwa Mafanikio
Bayraktar KIZILELMA yagonga lengo la ndege ya majaribio kwa kombora la GOKDOGAN katika jaribio la kihistoria kwenye pwani ya Sinop, ikiimarisha uwezo wa kivita wa anga wa Uturuki.

24 Novemba, 2025
Viongozi wa Uturuki na Ethiopia wajadili uhusiano wa pande mbili, masuala ya kikanda kando ya G20
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, ambaye yuko Johannesburg, Afrika Kusini kwa mkutano wa G20, alikutana na Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed kwa mazungumzo, Kurugenzi ya Mawasiliano ya Uturuki ilisema Jumamosi.

17 Novemba, 2025
Shirika la YTB laorodhesha mafanikio ya Afrika mwaka 2024 katika kitabu chao
Shirika linalohudumia Waturuki wanaoishi Ughaibuni na Jamii Husika (YTB) limezindua kitabu chao cha Afrika 2024 ili kuonesha matukio muhimu yaliyotokea katika bara la Afrika.

24 Septemba, 2025
Shirika la misaada la Uturuki laisaidia Somalia katika maendeleo kupitia miradi ya elimu kwa watoto
Miradi ya TIKA nchini Somalia inajumuisha ujenzi wa madarasa kwa mayatima, kituo kwa watoto wenye matatizo ya ukuaji wa kiakili, na maabara katika Chuo Kikuu cha Mogadishu.

10 Septemba, 2025
Uturuki yatoa rambirambi kwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia shambulio la kigaidi
Watu kadhaa wauawa katika shambulio wakati wa mazishi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

6 Agosti, 2025
Aselsan yasaini mkataba wa mauzo ya nje wa dola bilioni 1.3 katika nusu ya kwanza ya mwaka
Kampuni ya ulinzi ya Uturuki imeripoti kufikia ukuaji wa mapato wa asilimia 11.3 hadi kufikia dola bilioni 1.32 katika kipindi cha Januari-Juni, huku matumizi ya utafiti na maendeleo (R&D) yakiongozeka kwa asilimia 42 kufikia dola milioni 572.

6 Agosti, 2025
Uhusiano kati ya Uturuki na Afrika unaimarika katika nyanja zote
Wakati bara la Afrika likiinuka kwenye nafasi ya kimkakati katika mfumo wa kimataifa kwa sababu ya idadi yake kubwa ya vijana na rasilimali nyingi, Uturuki inaendelea kuzidisha uhusiano wake na nchi za Afrika siku hadi siku.

4 Agosti, 2025
Rais wa Uturuki Erdogan ampongeza Starmer kwa msimamo wake wa dola ya Palestina
Katika mazungumzo yake na simu, Recep Tayyip Erdogan amesisitiza umuhimu wa kuchukua hatua za kuishinikiza Israel kusitisha mashambulizi na kulipa kipaumbele suluhu ya dola mbili.

4 Agosti, 2025
Mawaziri wa Uturuki na Misri wajadili juhudi za kukabiliana na njaa inayosababishwa na Israel, Gaza
Ankara pia imekutana na kulaani shambulio la hivi karibuni katika eneo la Msikiti wa Al Aqsa katika Jerusalemu Mashariki iliyokamatwa na waziri wa Israeli na wakazi haramu.

3 Agosti, 2025
Mwezi wa Kihistoria’: Uturuki inaweka rekodi ya juu zaidi ya mauzo ya nje – Julai
Nchi inapata $25B katika mauzo ya kila mwezi, kupunguza upungufu wa biashara, na kuimarisha uhusiano na EU wakati ambapo migogoro ya kimataifa inapiga vita biashara ya dunia.


