26 Julai, 2025

Uturuki yasaini makubaliano ya kuuzia Indonesia ndege 48 za kivita za KAAN

Makubaliano hayo yanajumuisha uhamisho wa teknolojia na uzalishaji pamoja, ambapo utoaji utakamilishwa katika miaka 10 ijayo, huku Ankara ikipanua nafasi yake ya ulinzi.

77d57c9d03f2cb0e54e5493ada030d05b1ebead886a9b14e5f37612b8156f611

26 Julai, 2025

Uturuki yaonya juu ya kuongezeka kwa mvutano nchini Syria, yahimiza umoja na azimio la amani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan anasema Uturuki inaendelea kujitolea kwa utimililifu wa eneo la Syria na kuwaita pande zote kuondoa silaha na kutafuta mazungumzo.

db4df3828bab3c817aca994662e5f6bb6505a4ffa3465e919171e3883bb407c0

23 Julai, 2025

Uturuki yadhibiti hatua muhimu ya ulinzi kwa kuzindua kombora la hypersonic katika maonesho ya IDEF

Tayfun Block-4 ni mojawapo ya mifumo mipya sita iliyozinduliwa na Roketsan, pamoja na makombora ya anga kwa anga, silaha za kushambulia zinazokaa angani kwa muda, na kifaa cha kurusha vyombo vya anga za juu.

96534eeb203570d4e9e8c9ebe4008af33f901d8e286b16cc35b9366fe1229ba4

22 Julai, 2025

Erdogan na Waziri Mkuu wa Uingereza wamejadili kuhusu ndege ya kivita Eurofighter na vita vya Gaza

Ankara inaendeleza mazungumzo kuhusu ununuzi wa ndege za kivita za Eurofighter huku kukiwa na dalili za maendeleo kutoka Ujerumani, wakati Erdogan na Starmer pia wakijadili kuimarisha uhusiano wa kibiashara na janga la kibinadamu Gaza.

6c5f817e28a58f59f29da6bd93720f5df102972e88771c893c7bdff53e2ec8d8

22 Julai, 2025

Urusi inatarajia kuanza tena mazungumzo ya amani na Ukraine wiki hii: Kremlin

Istanbul imekuwa mwenyeji wa duru mbili za mazungumzo hadi sasa – Mei 16 na Juni 2 – yenye lengo la kufufua diplomasia ya moja kwa moja kati ya Moscow na Kiev baada ya miezi kadhaa ya kukwama kwa mazungumzo.

36c1c297db266722d6d7e61d691ae3b0500f826d38a15fad4e9e3ca53ad9ef59

21 Julai, 2025

Ukraine inapendekeza mazungumzo mapya ya amani na Urusi kufanyika Uturuki

Rais wa Ukraine Zelenskyy anasema mkutano unaofuata na Urusi unapaswa kuzingatia kurejea kwa POW, kurejeshwa kwa watoto waliotekwa nyara, na kuandaa mazingira ya mkutano wa viongozi.

1753114032050 rcwqh8 97166ad4365824e55692dffa31a8325e5aec81129b07fab2ca1bec28c2d82e4d

21 Julai, 2025

Uturuki inakataa uamuzi wa upande mmoja wa Ugiriki kuhusu hifadhi za baharini, yataka ushirikiano

Ankara inasema hatua ya Athens kutangaza iifadhi za baharini katika maji ya Aegean haina uzito wa kisheria, ikihimiza ushirikiano badala ya hatua za upande mmoja katika Bahari ya Aegean na Mediterania.

b4e7a00591965a5c5329ca548afeeb5f75e62245eb159e0ad3155c61a4e1c696

21 Julai, 2025

Erdogan aapa kumuunga mkono al-Sharaa, anakataa kugawanywa kwa Syria

Rais wa Uturuki Erdogan asema “hatamuacha al Sharaa peke yake”, akiongeza kuwa kujengeka upya kwa Syria kutanufaisha Uturuki.

e440fe854ae5b817c931595debe776d8656d94b7c8848c70eae1593b918d8b6c

21 Julai, 2025

Erdogan: Unyanyasaji lazima ukomeshwe, suluhu ya nchi mbili ndio njia pekee katika Cyprus

Rais wa Uturuki anawataka jamii ya kimataifa kuimarisha ushirikiano wa kisiasa, kidiplomasia na kiuchumi na Jamhuri ya Uturuki ya Kipro Kaskazini (TRNC).

dcda912729bd60e6a31fc6fe9c6f4ad78734ebe9b28b9be6368981f3ba9a16f7

20 Julai, 2025

Erdogan atoa heshima kwa mashahidi katika ukumbusho wa 51 wa Operesheni ya Amani ya Kipro

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anaadhimisha Siku ya Amani na Uhuru katika Jamhuri ya Uturuki ya Kipro Kaskazini wakati akikumbuka Operesheni ya Amani ya Kijeshi ya 1974 iliyolinda Waturuki wa Kipro.

1d00f6339e549d27adaa8708a413747a4c115c69c64b99db51e33d37b6ce3dbe
Inapakia...