12 Mei, 2025

Uturuki inaongoza mchakato wa kimataifa wa diplomasia kwa ajili ya amani — Erdogan

Mawasiliano ya hivi karibuni kwa Urusi na Ukraine yameleta fursa mpya, anasema Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, akiongeza kuwa anaamini fursa hii ‘haitopotezwa’

emine erdogan 1

12 Mei, 2025

Mazungumzo ya Urusi na Ukraine nchini Uturuki ‘ni ya muhimu sana’ — Trump

“Nadhani kutapatikana tija kutoka kwenye mkutano huo,” amesema rais wa Marekani kuhusu mazungumzo ya amani ya Alhamisi jijini Istanbul.

trump 20turkiye

12 Mei, 2025

Mapigo ya kihistoria dhidi ya ugaidi: PKK inatangaza kuvunja na kuweka chini silaha

Vita vya Uturuki kwa ‘mustakabali bila hofu’ vimeingia hatua muhimu – kwa muafaka wa kisiasa na umoja wa kitaifa unaimarisha juhudi nchini chini ya uongozi wa Rais Erdoğan na kiongozi wa MHP Bahceli, asema msemaji wa AK Party Omer Celik.

1746805580516 ti3pho aa 28681295

11 Mei, 2025

Putin yuko tayari kwa mazungumzo ya moja kwa moja na Ukraine nchini Uturuki

Putin amezipigia simu mamlaka za Kiev ili kuanza mazungumzo ya amani Alhamisi, Mei 15, jijini Istanbul.

1746921109973 ddljqa ap24311723537007

10 Mei, 2025

Mwanafunzi wa Kituruki aliyeachiliwa Marekani awashukuru waliomuunga mkono

Rumeysa Ozturk, aliyeshikiliwa nchini Marekani kwa kuonyesha kuiunga mkono Palestina, amewashukuru walioonyesha mshikamano baada ya kuachiliwa katika kituo cha Louisiana, vyombo vya habari vimeripoti

2025 05 07t152416z 1104613922 rc2wmdactgpj rtrmadp 3 usa trump tufts

10 Mei, 2025

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan afichua alivyosalimika jaribio la kuuawa kwa sumu

Wanadiplomasia mkubwa wa Uturuki Hakan Fidan ameelezea alivyosalimika jaribio la kuuawa kupitia sumu ya zebaki na aseniki.

aa 37561890 eded6464c3e91f6bc022383b6b6f4072 1744099429870

9 Mei, 2025

Rais wa Uturuki Erdogan awapongeza watu wa Ulaya wakati wakiadhimisha Siku ya Ulaya

Katika kipindi hiki kigumu, Umoja wa Ulaya uliyo thabiti ni muhimu kwa maslahi ya kila mtu, amesema Recep Tayyip Erdogan.

turkiye 20president

9 Mei, 2025

Uturuki yasema ripoti ya Bunge la Ulaya “inapotosha na haina msingi”

Ankara inasema ripoti ya Bunge la Ulaya ya mwaka 2023-2024 kuhusu Uturuki inakuza msimamo hasi dhidi ya Uturuki na kuzorotesha uhusiano na Umoja wa Ulaya kwa madai “yasiyo na msingi na yenye kuelemea upande mmoja.”

turkey 20news

6 Mei, 2025

‘Meli ya Wema’ ya pili ya Uturuki yawasili Sudan na misaada

Meli hiyo ya kibinadamu iliwasilisha misaada muhimu ikiwa ni pamoja na vifurushi vya chakula, nguo, vifaa vya usafi na vifaa vya makazi huku mzozo wa kivita kati ya makundi hasimu ya kijeshi ukiendelea.

aa 37854529

6 Mei, 2025

Erdogan aashiria ushirikiano mkubwa katika masuala ya ulinzi na Marekani

Erdogan na Trump wamejadili masuala ya kikanda na dunia katika mazungumzo yao kwa njia ya simu.

erdogan 20trump
Inapakia...