Rais wa Uturuki Erdogan aadhimisha siku ya Ataturk, Vijana na Michezo

“Tunalinda nchi, Jamhuri na tunachukua hatua kuendelea, kuiinua Jamhuri ya Uturuki, ambayo itadumu milele, katika kila nyanja,” amesema Recept Tayyip Erdogan.
19 Mei, 2025
Mwanadiplomasia mkuu wa Uturuki anatarajia kuzuru Serbia kwa mazungumzo ya ngazi ya juu

Waziri wa Mambo ya Nje Hakan Fidan kukutana na Rais wa Serbia Aleksandar Vucic na Waziri wa Mambo ya Nje Marko Djuric huku Türkiye na Serbia zikiendelea kuimarisha ushirikiano wa pande mbili na kikanda.
18 Mei, 2025
Gwaride la Siku ya Kituruki nchini Marekani linaonyesha urithi wa Uturuki, utamaduni – Altun

Mkuu wa Mawasiliano Fahrettin Altun alisifu juhudi za diaspora na kutoa wito kwa haki ya kimataifa huku akisisitiza ushirikiano wa Uturuki na Marekani na utulivu wa kikanda.
18 Mei, 2025
Rais wa Uturuki atangaza ugunduzi wa hifadhi mpya ya gesi asilia katika Bahari Nyeusi

“Kwa kiasi hiki, tutaweza kukidhi mahitaji ya makazi peke yetu kwa takriban miaka 3.5,” anasema Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan.
18 Mei, 2025

Erdogan: Uturuki na Marekani ufunguo wa ushirikiano kwa utulivu wa kimataifa na kikanda

Uturuki inaongoza juhudi za kimataifa katika diplomasia ya kibinadamu na amani – Rais Erdogan

Macho yote Istanbul wakati majadiliano ya amani ya pande tatu ya Urusi, Ukraine yanaanza

Ukraine, Urusi kufanya mazungumzo ya kwanza ya ana kwa ana tangu 2022 Istanbul

Erdogan, Trump, Mohammed bin Salman na al-Sharaa waanza mazungumzo kwa njia ya mtandao
12 Mei, 2025
Uturuki inaongoza mchakato wa kimataifa wa diplomasia kwa ajili ya amani — Erdogan
Mawasiliano ya hivi karibuni kwa Urusi na Ukraine yameleta fursa mpya, anasema Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan, akiongeza kuwa anaamini fursa hii ‘haitopotezwa’

12 Mei, 2025
Mazungumzo ya Urusi na Ukraine nchini Uturuki ‘ni ya muhimu sana’ — Trump
“Nadhani kutapatikana tija kutoka kwenye mkutano huo,” amesema rais wa Marekani kuhusu mazungumzo ya amani ya Alhamisi jijini Istanbul.

12 Mei, 2025
Mapigo ya kihistoria dhidi ya ugaidi: PKK inatangaza kuvunja na kuweka chini silaha
Vita vya Uturuki kwa ‘mustakabali bila hofu’ vimeingia hatua muhimu – kwa muafaka wa kisiasa na umoja wa kitaifa unaimarisha juhudi nchini chini ya uongozi wa Rais Erdoğan na kiongozi wa MHP Bahceli, asema msemaji wa AK Party Omer Celik.

11 Mei, 2025
Putin yuko tayari kwa mazungumzo ya moja kwa moja na Ukraine nchini Uturuki
Putin amezipigia simu mamlaka za Kiev ili kuanza mazungumzo ya amani Alhamisi, Mei 15, jijini Istanbul.

10 Mei, 2025
Mwanafunzi wa Kituruki aliyeachiliwa Marekani awashukuru waliomuunga mkono
Rumeysa Ozturk, aliyeshikiliwa nchini Marekani kwa kuonyesha kuiunga mkono Palestina, amewashukuru walioonyesha mshikamano baada ya kuachiliwa katika kituo cha Louisiana, vyombo vya habari vimeripoti

10 Mei, 2025
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Fidan afichua alivyosalimika jaribio la kuuawa kwa sumu
Wanadiplomasia mkubwa wa Uturuki Hakan Fidan ameelezea alivyosalimika jaribio la kuuawa kupitia sumu ya zebaki na aseniki.

9 Mei, 2025
Rais wa Uturuki Erdogan awapongeza watu wa Ulaya wakati wakiadhimisha Siku ya Ulaya
Katika kipindi hiki kigumu, Umoja wa Ulaya uliyo thabiti ni muhimu kwa maslahi ya kila mtu, amesema Recep Tayyip Erdogan.

9 Mei, 2025
Uturuki yasema ripoti ya Bunge la Ulaya “inapotosha na haina msingi”
Ankara inasema ripoti ya Bunge la Ulaya ya mwaka 2023-2024 kuhusu Uturuki inakuza msimamo hasi dhidi ya Uturuki na kuzorotesha uhusiano na Umoja wa Ulaya kwa madai “yasiyo na msingi na yenye kuelemea upande mmoja.”

6 Mei, 2025
‘Meli ya Wema’ ya pili ya Uturuki yawasili Sudan na misaada
Meli hiyo ya kibinadamu iliwasilisha misaada muhimu ikiwa ni pamoja na vifurushi vya chakula, nguo, vifaa vya usafi na vifaa vya makazi huku mzozo wa kivita kati ya makundi hasimu ya kijeshi ukiendelea.

6 Mei, 2025
Erdogan aashiria ushirikiano mkubwa katika masuala ya ulinzi na Marekani
Erdogan na Trump wamejadili masuala ya kikanda na dunia katika mazungumzo yao kwa njia ya simu.


