Serikali ya Iran imetoa shukrani kwa Tanzania baada ya kupokea salamu za pole kutoka kwa viongozi wa nchi hiyo kufuatia tukio la vifo vilivyotikisa taifa hilo.
Viongozi wa Tanzania walituma ujumbe wa rambirambi kwa serikali na wananchi wa Iran, wakionesha mshikamano na kuungana katika kipindi cha maombolezo. Rais wa Tanzania aliwahi pia kueleza kuwa taifa hilo linaungana na wananchi wa Iran katika majonzi yao na kuwaombea familia za waliopoteza wapendwa wao.
Chanzo: TRT Afrika














