Afrika Michezo

Nyota wa DRC aongeza mkataba Simba Sports Club

Hatua hiyo yafanikishwa na Mohammed Dewji.

Newstimehub

Newstimehub

23 Mechi, 2026

87b347c6ac58ae59475075481212b6d6ec4f2bb910470ec917f1a33e995fccfd

Mchezaji nyota kutoka DRC anayekipiga katika Simba Sports Club amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo Machi 23, 2026.

Mchakato wa kuongeza mkataba huo umetajwa kufanikishwa na rais wa heshima wa klabu, Mohammed Dewji.

Tangu ajiunge na timu hiyo mwaka 2024, mchezaji huyo amekuwa na mchango mkubwa, akifunga mabao 29 na kutoa pasi 10 za mabao.

CHANZO: TRT Afrika