Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, amefanya mazungumzo ya simu na Rais wa Kazakhstan, Kassym-Jomart Tokayev, wakijadili namna ya kuimarisha ushirikiano kati ya mataifa yao mawili.
Katika mazungumzo hayo, viongozi hao pia walibadilishana mawazo kuhusu hali ya kisiasa duniani na maendeleo ya kikanda, huku Erdogan akisisitiza dhamira ya nchi yake kuendeleza uhusiano wa karibu zaidi na Kazakhstan.
CHANZO: TRT Afrika














