16 Februari, 2026

Watu 59 wafariki kufuatia Kimbunga Gezani huku wengine 16000 wakikosa makazi nchini Madagascar

Gezani alipiga kisiwa hicho siku 10 tu baada ya kimbunga cha Fytia kuua watu 14 na kusababsiha wengine zaidi ya 31,000 kupoteza makazi yao, kulingana na ofisi ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa.

7eb044e78049c0e2374f0d6b053280f79424de98edc1f3555cce102306faacf9

16 Februari, 2026

Nigeria yapokea msaada wa kijeshi kutoka Marekani

Wanajeshi wa Marekani watashiriki majukumu yasiyo ya mapigano

420

16 Februari, 2026

Abiy Ahmed: Ethiopia haina nia ya kupanua mipaka

Waziri Mkuu asema upatikanaji wa bahari na maendeleo ya Nile ni vipaumbele vya taifa

419

16 Februari, 2026

Mgomo wa KAWU wasababisha msongamano wa safari za ndege Nairobi

Wafanyakazi wadai nyongeza ya mishahara na makubaliano mapya

418

16 Februari, 2026

Sudan: Shambulio la droni la RSF yauwa watu watatu

Hospitali ya Al-Mazmoum yashambuliwa, raia saba wajeruhiwa

416

16 Februari, 2026

Jeshi la Mali laua magaidi kumi katika operesheni Douentza

FAMa yasema hakuna juhudi zitakazozuiwa kulinda raia na mali zao

415

16 Februari, 2026

Nigeria na Angola ziondoa vizuizi vya viza kwa pasipoti rasmi

Makubaliano mapya yaonyesha msukumo wa kidiplomasia barani Afrika

417

16 Februari, 2026

Misri na Libya zakazia ushirikiano wa usalama

Haftar apokea ujumbe wa rais wa Misri katika mazungumzo ya Benghazi

414

16 Februari, 2026

Rais wa Ghana atoa wito kwa AU kutambua madhila ya kihistoria ya utumwa

John Mahama asema ni wakati wa kukiri ukweli wa kihistoria na kuanzisha mchakato wa haki ya marekebisho

413

14 Februari, 2026

Umoja wa Afrika wataka kukomeshwa kwa mauaji ya Wapalestina

Mwenyekiti huyo wa Tume ya Umoja wa Afrika, pia alitumia fursa hiyo kuangazia migogoro mbalimbali barani Afrika

fa587149f394174b123a51be1897b37a994d849c677fb2fee1762a8120e97529
Inapakia...