WHO yakamilisha kampeni ya chanjo dhidi ya Polio Malawi

Zaidi ya watoto milioni 1.3 wamepewa chanjo ya dharura kufuatia mlipuko mpya wa Polio katika nchi hiyo ya Kusini mwa Afrika
23 Mechi, 2026
Afrika Kusini yazika upya mabaki ya Raia 63 yaliyorejeshwa kutoka ulaya

Cyril Ramaphosa aongoza hafla ya kihistoria ya kurejesha heshima ya wahanga.
23 Mechi, 2026
Tanzania yaweka hatua kali kusimamia usambazaji wa mafuta

Timu maalum yahusisha vyombo vya ulinzi kuhakikisha upatikanaji wa nishati.
23 Mechi, 2026
Nyota wa DRC aongeza mkataba Simba Sports Club

Hatua hiyo yafanikishwa na Mohammed Dewji.
23 Mechi, 2026

Kenya yakumbwa na mafuriko makubwa, watu 81 wafariki

Afrika yatoa ushirikiano wa maendeleo kwa mataifa ya Amerika ya Kusini na Karibia

Tanzania yajiandaa na athari za mgogoro wa Mashariki ya Kati, yataka diplomasia itumike

Wakenya waliohamishwa kutoka Iran wawasili nyumbani

Madagascar yapewa Kituo cha kukabiliana na Dharura
22 Mechi, 2026
Bandari ya Mangapwani, Zanzibar kufungua fursa za uchumi
Mwenyekiti wa Kampuni ya China Harbour Engineering Company Limited, amemuhakikishia Rais Mwinyi kuwa kampuni hiyo inaendelea na ujenzi kwa kasi huku ikizingatia viwango vya ubora.

22 Mechi, 2026
Rais wa DRC anataka kufufua Shirika la Ndege la Congo Airways
Baada ya kusimamisha ndege zake zote kutokana na wasiwasi wa usalama, Congo Airways imetegemea ndege za kukodishwa ambazo zina gharama kubwa.

21 Mechi, 2026
Sudan Kusini yaiomba Afrika Kusini msaada wa vifaa vya kupigia kura kuelekea uchaguzi Disemba 2026
Sudan inapanga kufanya Uchaguzi Mkuu Disemba 2026

21 Mechi, 2026
Kenya na Uganda kwa pamoja wazindua mradi wa reli ya kisasa-SGR
Mpango wa upanuzi wa reli hadi mpaka wa Uganda ulikuwa umesimama kwa zaidi ya miaka 6 kutokana na matatizo ya kifedha na ufadhili.

21 Mechi, 2026
Visiwa vya Bahari Hindi Afrika vyaathirika na vita vya Iran: Ripoti
Iran ilirusha makombora ya balistiki mawili kuelekea kwenye kambi ya pamoja ya Marekani na Uingereza katika visiwa vya Chagos, Mauritius, takriban kilomita 4,000 kutoka Iran.

20 Mechi, 2026
Chad kutuma maafisa 800 wa usalama kusaidia kupambana na magenge ya Haiti
Vikosi vya Chad vinatarajiwa kuwasili ifikapo Juni baada ya kupokea mafunzo kutoka kwa “washirika wa Ulaya na Marekani”, alisema afisa mmoja.

20 Mechi, 2026
Bunge la Cameroon lapiga kura kuongeza muda wake
Bunge sasa litakaa hadi Desemba 2026.

20 Mechi, 2026
Rwanda yapiga hatua katika uzalishaji wa nishati ya nyuklia
Rwanda imeanza kupiga hatua muhimu kuelekea uzalishaji wa nishati ya nyuklia ili kukidhi mahitaji ya nishati nchini.

20 Mechi, 2026
Mzozo wa Iran unatishia usambazaji wa Mbolea barani Afrika
Nchi kama vile Somalia na Kenya kwa kawaida hazihifadhi akiba kubwa ya mbolea na zinategemea zaidi usambazaji wa Ghuba.

19 Mechi, 2026
Madagascar Kutumia Vigunduzi vya Uwongo Kuwachuja Mawaziri Wateule
Rais wa Madagascar ametangaza mpango wa kutumia vipimo vya vigunduzi vya uwongo kwa wateule wa baraza la mawaziri ili kuimarisha uadilifu serikalini.




