22 Mechi, 2026

Bandari ya Mangapwani, Zanzibar kufungua fursa za uchumi

Mwenyekiti wa Kampuni ya China Harbour Engineering Company Limited, amemuhakikishia Rais Mwinyi kuwa kampuni hiyo inaendelea na ujenzi kwa kasi huku ikizingatia viwango vya ubora.

cab6d159c0f3d1ead26831a235c9af6a78bca63985f15563e84ac4f2a9aea432

22 Mechi, 2026

Rais wa DRC anataka kufufua Shirika la Ndege la Congo Airways

Baada ya kusimamisha ndege zake zote kutokana na wasiwasi wa usalama, Congo Airways imetegemea ndege za kukodishwa ambazo zina gharama kubwa.

37f330392a2d3affcbef764a85b3ed72902bfe7f6b0d3e4c150546553fd33674

21 Mechi, 2026

Sudan Kusini yaiomba Afrika Kusini msaada wa vifaa vya kupigia kura kuelekea uchaguzi Disemba 2026

Sudan inapanga kufanya Uchaguzi Mkuu Disemba 2026

9b80e4269d7dd70ef23983378638a45f4308311e0561b5ebf97a7e5c562b7c32

21 Mechi, 2026

Kenya na Uganda kwa pamoja wazindua mradi wa reli ya kisasa-SGR

Mpango wa upanuzi wa reli hadi mpaka wa Uganda ulikuwa umesimama kwa zaidi ya miaka 6 kutokana na matatizo ya kifedha na ufadhili.

5926e51325f0e550cb0475818e27480f5a4e931428ab4776485fb8297d86e366

21 Mechi, 2026

Visiwa vya Bahari Hindi Afrika vyaathirika na vita vya Iran: Ripoti

Iran ilirusha makombora ya balistiki mawili kuelekea kwenye kambi ya pamoja ya Marekani na Uingereza katika visiwa vya Chagos, Mauritius, takriban kilomita 4,000 kutoka Iran.

gettyimages 1354445433

20 Mechi, 2026

Chad kutuma maafisa 800 wa usalama kusaidia kupambana na magenge ya Haiti

Vikosi vya Chad vinatarajiwa kuwasili ifikapo Juni baada ya kupokea mafunzo kutoka kwa “washirika wa Ulaya na Marekani”, alisema afisa mmoja.

haiti daily life 95565

20 Mechi, 2026

Bunge la Cameroon lapiga kura kuongeza muda wake

Bunge sasa litakaa hadi Desemba 2026.

1a10167482a03f7f1bfe3902bc5a190801e5867aa06ebafd786708f6b28caca2

20 Mechi, 2026

Rwanda yapiga hatua katika uzalishaji wa nishati ya nyuklia

Rwanda imeanza kupiga hatua muhimu kuelekea uzalishaji wa nishati ya nyuklia ili kukidhi mahitaji ya nishati nchini.

66549610 605 1

20 Mechi, 2026

Mzozo wa Iran unatishia usambazaji wa Mbolea barani Afrika

Nchi kama vile Somalia na Kenya kwa kawaida hazihifadhi akiba kubwa ya mbolea na zinategemea zaidi usambazaji wa Ghuba.

2026 03 19t092348z 924013610 rc2k7ka8i3zk rtrmadp 3 iran crisis fertilisers india

19 Mechi, 2026

Madagascar Kutumia Vigunduzi vya Uwongo Kuwachuja Mawaziri Wateule

Rais wa Madagascar ametangaza mpango wa kutumia vipimo vya vigunduzi vya uwongo kwa wateule wa baraza la mawaziri ili kuimarisha uadilifu serikalini.

7200
Inapakia...