26 Januari, 2026

Benki ya Dunia na Qatar kushirikiana kusambaza umeme kwa watu milioni 300 Afrika

Makubaliano pia yanajumuisha kutengeneza ajira na kusaidia nchi zilizoathiriwa na migogoro.

362

26 Januari, 2026

Burhan: Amani Sudan haiwezekani bila kuondolewa RSF

Burhan asema suluhu yoyote inayohusisha RSF ni kuahirisha mgogoro.

360

26 Januari, 2026

Macron ataka kuunda upya uhusiano wa Ufaransa na Afrika

Macron asema Ufaransa inavunja mifumo ya kiukoloni na kujenga ushirikiano mpya.

319

26 Januari, 2026

Marekani yaongeza msaada wa kijeshi na kijasusi kwa Nigeria

Marekani yaongeza vifaa vya kijeshi na taarifa za kijasusi kwa Nigeria.

359

25 Januari, 2026

Libya yaongeza uzalishaji wa mafuta hadi kiwango cha rekodi

Libya yazalisha mapipa milioni 1.37 kwa siku mwaka 2025.

358

25 Januari, 2026

Somalia yashukuru Uturuki kwa msaada wa usalama na kupambana na ugaidi

Waziri Mkuu Hamza Abdi Barre asema Uturuki ni mshirika wa kimkakati.

357

25 Januari, 2026

Wanawake waathirika wakuu wa ukatili wa vita Sudan

Wizara imerekodi zaidi ya visa 1,800 vya ubakaji hadi Oktoba 2025.

356

25 Januari, 2026

Uturuki na Nigeria kujadili biashara na ushirikiano wa ulinzi

Mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Nigeria watakutana kujadili biashara na ulinzi.

354

25 Januari, 2026

Polisi wa Kenya wanawakamata washukiwa 2 na zaidi ya Kilo 110 za meno ya tembo, mpaka wa Namanga

Watu hao wawili walikamatwa kwenye kivuko cha mpaka cha Namanga walipokuwa wakijaribu kuuza pembe hizo zinazokadiriwa kuwa dola 86,000 za Marekani.

8af4ff07f0cd0727bfa710979aabfd407e9a6f8f3d5a9c72ddb3cd651cc57d7a

25 Januari, 2026

Misri inaitaka Israel iondoke Gaza, na kufungua tena kivuko cha Rafah

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty ametoa wito wa Israel kuondoka Gaza, pamoja na kufunguliwa tena kwa kivuko cha mpaka cha Rafah ili kutimiza makubaliano ya mwaka jana ya kusitisha mapigano.

2025 10 17t131819z 1 lynxnpel9g0nj rtroptp 3 israel palestinians egypt main
Inapakia...