Ghana inaipeleka Togo kwenye mahakama ya kimataifa ya bahari kwa sababu ya maji yanayozozaniwa

Serikali ilisema hatua hiyo inanuiwa kuzuia “kuongezeka kwa matukio ambayo yamezua mvutano” kati ya nchi hizo mbili za Afrika Magharibi.
21 Februari, 2026
Vita vya Sudan: Marekani yawawekea vikwazo viongozi wa RSF kutokana na ukatili wa Darfur

Washington inalenga viongozi watatu waandamizi wa Vikosi vya Msaada wa Haraka juu ya madai ya uhalifu wa kivita wakati wa mzingiro wa Al Fasher, kama wachunguzi wa Umoja wa Mataifa wanaonya kuwa ghasia hizo zina alama za mauaji ya kimbari.
21 Februari, 2026
Kenya inadai kurejeshwa nyumbani kwa miili, wafungwa kutoka vita vya Urusi na Ukraine

Zaidi ya Wakenya 1,000 wanaaminika kuhusika katika vita vya Urusi na Ukraine.
21 Februari, 2026
WFP yaonya Somalia kuwa iko kwenye hatari ya baa la njaa

Msaada wa chakula cha dharura huenda ukamalizika katika wiki chache zijazo iwapo hakutapatikana fedha zaidi, anasema mkurugenzi wa masuala ya dharura wa WFP
20 Februari, 2026

Waziri Mkuu Tanzania atoa siku tano kwa Chama cha Ushirika Kilimanjaro kulipa deni la wakulima

Uturuki inasisitiza kuwa ushirikiano na Somalia ni wa kunufaisha pande zote

Misri yaomboleza vifo vya watu 18 kufuatia ajali ya barabarani

Mahakama ya Morocco yawatupa jela mashabiki 19 wa soka kwa vitendo vya kihuni

Magaidi waua watu kadhaa katika mashambulizi vijijini Nigeria
19 Februari, 2026
Putin akutana na kiongozi mpya wa Madagascar mjini Moscow
Rais wa Urusi Vladimir Putin amemwambia Kanali Michael Randrianirina kuwa Madagascar ni “mshirika muhimu” barani Afrika.

19 Februari, 2026
Mtu 1 auawa, wengine kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la droni la RSF eneo la Kurmuk, Sudan
Gavana anasema ndege hizo zisizokuwa na rubani zililenga maeneo ya makazi ya watu; kundi hilo la wapiganaji halijatoa taarifa yoyote

19 Februari, 2026
Polisi wa Kimataifa wawakamata watu 651 Afrika kwa utapeli wa kutumia simu wa dola milioni $45
Operesheni hiyo imefanyika katika nchi za Angola, Benin, Cameroon, Chad, Gabon, Gambia, Ghana, Ivory Coast, Kenya, Namibia, Nigeria, Rwanda, Senegal, Uganda, Zambia na Zimbabwe.

19 Februari, 2026
Watu 50 wauwawa DRC
Kulingana na ripoti ya Umoja wa Mataifa, jumla ya watu 50 wameuwawa nchini humo kufuatia mapigano kati ya wanamgambo wa serikali na waasi wa AFC/M23.

19 Februari, 2026
Zaidi ya Wakenya 1,000 washiriki katika vita vya Urusi na Ukraine
Idara ya Kijasusi ya Kenya, imeliarifu bunge la nchi hiyo kuwa, zaidi ya Wakenya 1,000 wanapigana upande wa Urusi katika vita vinavyoendelea nchini Ukraine, jambo linalozua wasiwasi mpya kuhusu kuajiriwa kwa raia kwenda mataifa ya kigeni na usalama w

19 Februari, 2026
UNICEF: Watoto Sudan wako katika hatari kubwa kutokana na ghasia
Mashambulio ya makambi na shule yameongeza vifo na majeruhi.

19 Februari, 2026
Guinea-Bissau yasitisha jaribio tata la chanjo ya hepatitis B
WHO na wanasayansi wakosoa utafiti uliowaweka watoto wachanga hatarini

19 Februari, 2026
Rais wa Zambia afanya mabadiliko ya ghafla serikalini
Waziri wa Afya na Waziri wa Biashara Ndogo waondolewa kazini

18 Februari, 2026
Wafanyabiashara wa Ghana washambuliwa Burkina Faso, manusura warejeshwa Accra
Jeshi la Anga la Ghana lawaleta waliojeruhiwa kwa matibabu.

18 Februari, 2026
Mlipuko wa gesi katika mgodi wa waua watu 38, kujeruhi wengine kadhaa
Wakazi wanasema walioathirika walikuwa chini kwenye mgodi ambapo mlipuko ulitokea Jumatano asubuhi.




