19 Februari, 2026

Putin akutana na kiongozi mpya wa Madagascar mjini Moscow

Rais wa Urusi Vladimir Putin amemwambia Kanali Michael Randrianirina kuwa Madagascar ni “mshirika muhimu” barani Afrika.

22ace1ac455481d8a863d88f97591bbab1dd121cc012fdd818b0b37d16f9df21

19 Februari, 2026

Mtu 1 auawa, wengine kadhaa wajeruhiwa katika shambulio la droni la RSF eneo la Kurmuk, Sudan

Gavana anasema ndege hizo zisizokuwa na rubani zililenga maeneo ya makazi ya watu; kundi hilo la wapiganaji halijatoa taarifa yoyote

20d7ec492ef712f7fc4496e2f054aa24fd8a4c20f34d954ae8b62977456c53dd

19 Februari, 2026

Polisi wa Kimataifa wawakamata watu 651 Afrika kwa utapeli wa kutumia simu wa dola milioni $45

Operesheni hiyo imefanyika katika nchi za Angola, Benin, Cameroon, Chad, Gabon, Gambia, Ghana, Ivory Coast, Kenya, Namibia, Nigeria, Rwanda, Senegal, Uganda, Zambia na Zimbabwe.

bc91e99aaac3260af39d76f680a0223efd108b80139b5fc16493007b10891db1

19 Februari, 2026

Watu 50 wauwawa DRC

Kulingana na ripoti ya Umoja wa Mataifa, jumla ya watu 50 wameuwawa nchini humo kufuatia mapigano kati ya wanamgambo wa serikali na waasi wa AFC/M23.

a1156603d7f28fd0ad1a557af38ab0d28b14a3a5515c753dd9c732e3e5899f69

19 Februari, 2026

Zaidi ya Wakenya 1,000 washiriki katika vita vya Urusi na Ukraine

Idara ya Kijasusi ya Kenya, imeliarifu bunge la nchi hiyo kuwa, zaidi ya Wakenya 1,000 wanapigana upande wa Urusi katika vita vinavyoendelea nchini Ukraine, jambo linalozua wasiwasi mpya kuhusu kuajiriwa kwa raia kwenda mataifa ya kigeni na usalama w

db167eca76d42f7f877fd0356b9f3954cd633c4a2326b757b19525c330d2ad93

19 Februari, 2026

UNICEF: Watoto Sudan wako katika hatari kubwa kutokana na ghasia

Mashambulio ya makambi na shule yameongeza vifo na majeruhi.

422

19 Februari, 2026

Guinea-Bissau yasitisha jaribio tata la chanjo ya hepatitis B

WHO na wanasayansi wakosoa utafiti uliowaweka watoto wachanga hatarini

420

19 Februari, 2026

Rais wa Zambia afanya mabadiliko ya ghafla serikalini

Waziri wa Afya na Waziri wa Biashara Ndogo waondolewa kazini

419

18 Februari, 2026

Wafanyabiashara wa Ghana washambuliwa Burkina Faso, manusura warejeshwa Accra

Jeshi la Anga la Ghana lawaleta waliojeruhiwa kwa matibabu.

421

18 Februari, 2026

Mlipuko wa gesi katika mgodi wa waua watu 38, kujeruhi wengine kadhaa

Wakazi wanasema walioathirika walikuwa chini kwenye mgodi ambapo mlipuko ulitokea Jumatano asubuhi.

c0519271cf7e1207865e66902a603e0ea2df3b07a8209203239774ded7f8db18
Inapakia...