22 Desemba, 2025

Morocco waanza vyema safari ya AFCON 2025 kwa ushindi dhidi ya Comoro

Wenyeji Morocco wameanza vyema mashindano ya AFCON 2025 baada ya kuifunga Comoro mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa jijini Rabat.

167

22 Desemba, 2025

Shambulio la droni laua watu 10 katika soko la Darfur Kaskazini, Sudan

Maafisa wa uokoaji wamesema shambulio hilo limesababisha moto mkubwa katika soko la Al Harra na kuharibu mali nyingi.

168

21 Desemba, 2025

Marekani na Nigeria zasaini mkataba wa afya wenye msisitizo wa huduma za Kikristo

Marekani na Nigeria zimesaini makubaliano ya miaka mitano ya kuimarisha sekta ya afya, huku Washington ikiahidi kuchangia takriban dola bilioni 2.1.

169

21 Desemba, 2025

Somalia na Ethiopia zaimarisha mazungumzo katika maadhimisho ya Tamko la Ankara

Mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa usalama kwa misingi ya heshima ya mamlaka ya kila nchi.

170

21 Desemba, 2025

Bunge la Algeria lafungua mjadala kuhusu mswada wa kuharamisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa

Rasimu ya sheria inalenga kuainisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini Algeria kati ya 1830 na 1962 kama uhalifu.

542edae1afac04c1525c1c8dcc1b515c04360fd6926d3408f88ce27705982c19

21 Desemba, 2025

Mabalozi wa Uturuki katika nchi za Afrika watembelea Jumba la Afrika

Mabalozi wa Uturuki barani Afrika walikusanyika mjini Ankara kwa ajili ya Kongamano la Mabalozi, na kutembelea Jumba la Sanaa za Mikono na Utamaduni la Kiafrika, ambalo lilianzishwa chini ya uangalizi wa mke wa Rais Recep Tayyip Erdoğan Emine Erdoğan

27ade64414c4b86b2398905dc38ada4ac33defbb4e3370adfa8ebb0a8ce78de6

20 Desemba, 2025

Uturuki inawasilisha mzigo wa kwanza wa mahema 30,000 ya misaada nchini Sudan

Meli iliyobeba mahema 10,000 ya kwanza kati ya 30,000 yaliyotolewa kwa Sudan na Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa na Dharura ya Uturuki (AFAD) kwa ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) iliwasili Bandari ya Sudan.

f9e3979704fad4ce9d46bea885831ccaec162e0a00e74b7e2f6a3655be33496c

20 Desemba, 2025

Baraza la Usalama la UN laongezea MONUSCO mamlaka kwa mwaka mmoja zaidi

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimiol akuongezea ujumbe wa kulinda amani nchini DRC MONUSCO mwaka mmoja zaidi

1766232898615 8usuop 8642c99f07f64eb9258f57a1df72ff8074dcb02dd1e9fc7c943a710b4894fcf6

20 Desemba, 2025

Umoja wa Afrika waapa uwajibikaji kwa mashambulizi ya RSF dhidi ya raia wa Sudan

AU imethibitisha tena msaada wake kwa umoja na utawala wa Sudan wakati ikiwaonya RSF kwamba vurugu dhidi ya wananchi hazitapita bila adhabu.

d025b52a01a8b446d77963a28a421bdd8fa70dee045073345a39579d197bfc46

20 Desemba, 2025

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” Sudan

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” katika mzozo wa Sudan

1766171615121 ii898a ad92ff1fdd429d63974825c0fd6cac9777841c7a6c8dfa26150a9bbc0925290f
Inapakia...