Kenya yawarudisha nyumbani raia 119 waliotapeliwa Myanmar

Serikali ya Kenya imewarejesha nyumbani Wakenya 119 waliokuwa wamehadaiwa kwa ahadi za uongo za kazi katika baadhi ya nchi za Asia ya Kusini-Mashariki.
22 Desemba, 2025
Uturuki yatilia mkazo ushirikiano wa kijeshi na usalama na mataifa ya Afrika

Kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na mataifa ya Afrika ni sehemu ya mkakati wa muda mrefu wa kuchangia amani na uthabiti wa bara hilo.
22 Desemba, 2025
Algeria Yaanzisha Hatua za Kisheria Kuutaja Ukoloni wa Ufaransa kama Uhalifu wa Kihistoria

Muswada huo unahusu kipindi cha ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria kati ya mwaka 1830 na 1962.
22 Desemba, 2025
Zaidi ya Wapiganaji 200 Wajisalimisha kwa Jeshi la Ethiopia katika Oromia Magharibi

Zaidi ya wapiganaji 200 waliokuwa na silaha wamejisalimisha kwa vikosi vya serikali katika eneo la Oromia Magharibi.
22 Desemba, 2025

AFCON kufanyika kila baada ya miaka minne kuanzia mwaka 2028

Mabalozi wa Uturuki barani Afrika watembelea Jumba la Utamaduni wa Afrika mjini Ankara

DAWASA yaanza kuchimba visima 14 kukabiliana na uhaba wa maji Dar es Salaam

Serikali ya Nigeria yaokoa wanafunzi wote waliotekwa katika shule ya Kikatoliki

Somalia yaongeza ulinzi kuelekea uchaguzi wa kihistoria wa serikali za mitaa
22 Desemba, 2025
Morocco waanza vyema safari ya AFCON 2025 kwa ushindi dhidi ya Comoro
Wenyeji Morocco wameanza vyema mashindano ya AFCON 2025 baada ya kuifunga Comoro mabao 2-0 katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa jijini Rabat.

22 Desemba, 2025
Shambulio la droni laua watu 10 katika soko la Darfur Kaskazini, Sudan
Maafisa wa uokoaji wamesema shambulio hilo limesababisha moto mkubwa katika soko la Al Harra na kuharibu mali nyingi.

21 Desemba, 2025
Marekani na Nigeria zasaini mkataba wa afya wenye msisitizo wa huduma za Kikristo
Marekani na Nigeria zimesaini makubaliano ya miaka mitano ya kuimarisha sekta ya afya, huku Washington ikiahidi kuchangia takriban dola bilioni 2.1.

21 Desemba, 2025
Somalia na Ethiopia zaimarisha mazungumzo katika maadhimisho ya Tamko la Ankara
Mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa usalama kwa misingi ya heshima ya mamlaka ya kila nchi.

21 Desemba, 2025
Bunge la Algeria lafungua mjadala kuhusu mswada wa kuharamisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa
Rasimu ya sheria inalenga kuainisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini Algeria kati ya 1830 na 1962 kama uhalifu.

21 Desemba, 2025
Mabalozi wa Uturuki katika nchi za Afrika watembelea Jumba la Afrika
Mabalozi wa Uturuki barani Afrika walikusanyika mjini Ankara kwa ajili ya Kongamano la Mabalozi, na kutembelea Jumba la Sanaa za Mikono na Utamaduni la Kiafrika, ambalo lilianzishwa chini ya uangalizi wa mke wa Rais Recep Tayyip Erdoğan Emine Erdoğan

20 Desemba, 2025
Uturuki inawasilisha mzigo wa kwanza wa mahema 30,000 ya misaada nchini Sudan
Meli iliyobeba mahema 10,000 ya kwanza kati ya 30,000 yaliyotolewa kwa Sudan na Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa na Dharura ya Uturuki (AFAD) kwa ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) iliwasili Bandari ya Sudan.

20 Desemba, 2025
Baraza la Usalama la UN laongezea MONUSCO mamlaka kwa mwaka mmoja zaidi
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimiol akuongezea ujumbe wa kulinda amani nchini DRC MONUSCO mwaka mmoja zaidi

20 Desemba, 2025
Umoja wa Afrika waapa uwajibikaji kwa mashambulizi ya RSF dhidi ya raia wa Sudan
AU imethibitisha tena msaada wake kwa umoja na utawala wa Sudan wakati ikiwaonya RSF kwamba vurugu dhidi ya wananchi hazitapita bila adhabu.

20 Desemba, 2025
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” Sudan
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” katika mzozo wa Sudan


