25 Desemba, 2025

Polisi akataa rushwa ya dola $50,000 katika uwanja wa ndege nchini Zambia

Tume ya Kupambana na Rushwa ya Zambia (ACC) imempongeza polisi wa kike aliyekataa rushwa ya dola $50,000 kutoka kwa mshukiwa wa utakatishaji fedha katika uwanja wa ndege mji mkuu wa Lusaka.

927e4404e24a4373e6698ac70ad0cf2e8950b1a3b6f9147fe06de1d9941d68f3

25 Desemba, 2025

Uturuki, Libya kufanya uchunguzi wa pamoja wa ajali ya ndege iliyomuua mkuu wa majeshi, wengine saba

Mkuu wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai ya Libya na ujumbe wake, walitembelea Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Ankara Alhamisi, huku uchunguzi wa pamoja wa ajali ya Jumanne ya ndege ukiendelea.

277240671b3f3d671b3e1256f67a0390bed46c08c7426ea1a085ac338d4d792f

25 Desemba, 2025

Waendesha mashtaka Uturuki kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ajali ya ndege ya Libya Ankara

Uturuki pia itaangazia hali ya rubani, ubora wa kiufundi, rekodi za ndege, ikiwemo vipuri.

27fc125300a5eaf16f121dba67fdaadade8d005ef69132772b354f98a0b0c779

25 Desemba, 2025

Wakazi wa Mogadishu wapiga kura kuchagua viongozi wa mitaa

Kupiga kura moja kwa moja kunarejesha sauti ya raia katika uamuzi wa uongozi wa maeneo yao.

202

25 Desemba, 2025

Helikopta ya Uokoaji Yaanguka Mlima Kilimanjaro

“Ajali hii imetokea wakati helikopta ikiwa kwenye misheni ya kuokoa maisha ya binadamu, tukio linalosikitisha sana,” alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa.

200

25 Desemba, 2025

Watu 11 wakamatwa kufuatia mauaji ya risasi katika mgahawa Afrika Kusini

“Tume fanikiwa kuwakamata washukiwa 11 wanaohusishwa moja kwa moja na shambulio la risasi lililoua watu tisa Bekkersdal,” alisema Naibu Kamishna wa Polisi wa Mkoa, Meja Jenerali Fred Kekana.

199

25 Desemba, 2025

Mauritania yazindua warsha ya pili ya ufundishaji wa lugha ya Kituruki

Ufundishaji wa lugha ya Kituruki ni nyenzo muhimu ya kukuza maelewano ya kielimu na kitamaduni kati ya mataifa, na ni daraja la kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu kati ya Türkiye na Mauritania.

198

25 Desemba, 2025

Bunge la Algeria lapitisha sheria inayoharamisha ukoloni wa Ufaransa

Sheria hii inatamka wazi kuwa ukoloni wa Ufaransa nchini Algeria ulikuwa uhalifu wa dola uliokiuka haki za binadamu, utu na maadili ya kimataifa.

196

25 Desemba, 2025

Hakan Fidan akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger jijini Ankara

Uturuki inaendelea kujenga uhusiano wake na Niger kwa misingi ya kuheshimiana, usawa na manufaa ya pande zote, kwa lengo la kuimarisha amani, maendeleo na uthabiti wa kikanda.

193

25 Desemba, 2025

Watu kadhaa wauawa baada ya mlipuko katika msikiti jimboni Borno

Mlipuko ulitokea ghafla wakati wa sala ya jioni, watu walikimbia huku wengine wakiwa wameanguka chini.

196
Inapakia...