27 Julai, 2026

Tanzania: Nchimbi akagua uwanja wa AFCON 2027

Michuano ya AFCON 2027, maarufu kama 2027 Pamoja AFCON, yanaadaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya, na Uganda, yakitarajiwa kuanza kuanzia Juni 19 hadi Julai 17, 2027.

eba01eb9 308a 4960 96f2 c89ea018cc07 1785140770934

26 Julai, 2026

Watumishi wa afya DRC wagoma huku maambukizi ya Ebola yakiongezeka

Takriban watumishi wa afya 100 wanasema kutolipwa marupurupu yao kunawakatisha tamaa.

17f6e5ea 6a29 4b5f 85ae 26c29d47bcda 1784983975871

26 Julai, 2026

Jeshi la Sudan lakomboa maeneo zaidi yaliyokuwa chini ya udhibiti wa RSF

Gavana wa Darfur amesema jeshi limeshika udhibiti wa mji na maeneo jirani baada ya operesheni ya kijeshi dhidi ya RSF.

a0c33725 6082 4b04 86fb b1f08cbff841 1785052071903

25 Julai, 2026

Kutoka kwa Kaunda hadi Hichilema: Marais wa Zambia tangu uhuru

Zambia imekuwa na marais saba na kaimu rais mmoja, huku ikionekana kama moja ya nchi za Kusini mwa Afrika yenye ukomavu wa demokrasia.

a4b90aa4 5cc5 45d1 a7c3 478d307bbe93 1784976302551

25 Julai, 2026

Kauli ya Makamu wa Rais Tanzania kuhusu Katiba mpya ilivyoibua mjadala

Wadau mbalimbali, ikiwemo wanasiasa kutoka chama tawala CCM na upinzani, pamoja na viongozi wa dini baadhi yao wameibuka na kuikosoa kauli hiyo huku wengine wakiitilia shaka.

65849be0 2157 4425 be6a a88297eccbd4 1784980004139

25 Julai, 2026

Uganda yaanza rasmi kampeni ya usafi wa kila mwezi

Wizara ya Uchukuzi nchini humo imeweka tangazo katika mitandao yake ya kijamii ikiwataka wananchi kushiriki ipasavyo katika kile ilichokiita Zoezi la Kitaifa la Usafi.

28496646 9971 4c81 ae16 99005d3e9655 1784968396232

24 Julai, 2026

Mahakama ya Afrika Kusini yasitisha kwa muda mchakato wa kumng’oa madarakani Rais Ramaphosa

Ramaphosa, anatuhumiwa kutofichua kwa polisi na mamlaka ya kodi tukio la uvamizi na wizi wa mwaka 2020, ambapo Dola 580,000 za Marekani ziliibwa katika shamba lake la kifahari la Phala Phala.

41bc5426 d7a6 4a1f 907f 32f79969dc70 1784901180823

24 Julai, 2026

Kiwanda cha Dangote chabadili maamuzi kuhusu uuzwaji mafuta kwa sarafu ya Dola

Julai 14 mwaka huu, kiwanda hicho nchini Nigeria kilianza kuuza bidhaa zake za mafuta kwa Dola za Marekani katika soko la ndani, jambo ambalo limesababisha mjadala mkubwa.

98c5d9fd b7b6 47d0 a0ba 85c3c8592e5c 1784838508500

23 Julai, 2026

Tanzania: Wilaya ya Temeke yaongoza kwa uraibu wa dawa za heroin

Temeke ndiyo wilaya yenye idadi kubwa zaidi ya watu walioathirika na uraibu wa dawa za kulevya, ikifuatiwa na Kinondoni, Ilala, Ubungo na Kigamboni.

132b0a88 ac8f 43ad b98b 25cd976163df 1784837216481

23 Julai, 2026

Uingereza yasitisha mazoezi yake ya kijeshi Kenya baada ya kunyimwa leseni

Kupitia taarifa yake ya Alhamisi, Wizara ya Ulinzi ya Uingereza ilioneshwa kusikitishwa na maamuzi hayo, ikisisitiza kuwa itaendelea kudumisha uhusiano mwema na Kenya.

21a8b980 9fff 41f9 acc2 ba5bfb719826 1784835481010 main
Inapakia...