Waholanzi wanne waliopata ajali Ziwa Nyasa wapatikana hai baada ya saa 27

Raia hao, ni kati ya abiria saba waliopotea baada ya dhoruba ya mawimbi iliyokumba boti yao, ikiwa Ziwa Nyasa, na kuja kupatikana hai baada ya saa 27.
28 Julai, 2026
Nigeria yaitaka Afrika Kusini kuchukua hatua zaidi dhidi ya vurugu zinazowalenga wahamiaji

Mamlaka za Nigeria zinasema kuwa polisi wa Afrika Kusini walionekana kutokuwa tayari kuwalinda raia wa kigeni, ingawa serikali ya Afrika Kusina inasema inapinga chuki dhidi ya wageni.
28 Julai, 2026
Nigeria yaitaka Afrika Kusini kuchukua hatua zaidi dhidi ya vurugu zinazowalenga wahamiaji

Mamlaka za Nigeria zinasema kuwa polisi wa Afrika Kusini walionekana kutokuwa tayari kuwalinda raia wa kigeni, ingawa serikali ya Afrika Kusina inasema inapinga chuki dhidi ya wageni.
28 Julai, 2026
Kipindupindu chaua 170 nchini Sudan

Katika taarifa yake ya Jumatatu, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Misaada ya Kibinadamu (OCHA), imesema kuwa inaendelea kuratibu shughuli za misaada katika maeneo yaliyoathirika zaidi nchini humo.
28 Julai, 2026

Chad yatangaza mpango wa kujiondoa ICC, yasema mahakama hiyo inalenga zaidi nchi za Afrika

Awuche wa Ghana, anayeaminika kuwa mtu mrefu zaidi nchini humo, afariki dunia

Wananchi wa Libya wanaandamana kwa sababu ya kuzorota kwa huduma za kijamii

Tanzania: Dhahabu yenye thamani ya Bilioni 1.2 yakamatwa jijini Dar es Salaam

Trump aishukuru Morocco kwa kuipa barabara kuu jina lake
27 Julai, 2026
Tanzania: Nchimbi akagua uwanja wa AFCON 2027
Michuano ya AFCON 2027, maarufu kama 2027 Pamoja AFCON, yanaadaliwa kwa pamoja na Tanzania, Kenya, na Uganda, yakitarajiwa kuanza kuanzia Juni 19 hadi Julai 17, 2027.

26 Julai, 2026
Watumishi wa afya DRC wagoma huku maambukizi ya Ebola yakiongezeka
Takriban watumishi wa afya 100 wanasema kutolipwa marupurupu yao kunawakatisha tamaa.

26 Julai, 2026
Jeshi la Sudan lakomboa maeneo zaidi yaliyokuwa chini ya udhibiti wa RSF
Gavana wa Darfur amesema jeshi limeshika udhibiti wa mji na maeneo jirani baada ya operesheni ya kijeshi dhidi ya RSF.

25 Julai, 2026
Kutoka kwa Kaunda hadi Hichilema: Marais wa Zambia tangu uhuru
Zambia imekuwa na marais saba na kaimu rais mmoja, huku ikionekana kama moja ya nchi za Kusini mwa Afrika yenye ukomavu wa demokrasia.

25 Julai, 2026
Kauli ya Makamu wa Rais Tanzania kuhusu Katiba mpya ilivyoibua mjadala
Wadau mbalimbali, ikiwemo wanasiasa kutoka chama tawala CCM na upinzani, pamoja na viongozi wa dini baadhi yao wameibuka na kuikosoa kauli hiyo huku wengine wakiitilia shaka.

25 Julai, 2026
Uganda yaanza rasmi kampeni ya usafi wa kila mwezi
Wizara ya Uchukuzi nchini humo imeweka tangazo katika mitandao yake ya kijamii ikiwataka wananchi kushiriki ipasavyo katika kile ilichokiita Zoezi la Kitaifa la Usafi.

24 Julai, 2026
Mahakama ya Afrika Kusini yasitisha kwa muda mchakato wa kumng’oa madarakani Rais Ramaphosa
Ramaphosa, anatuhumiwa kutofichua kwa polisi na mamlaka ya kodi tukio la uvamizi na wizi wa mwaka 2020, ambapo Dola 580,000 za Marekani ziliibwa katika shamba lake la kifahari la Phala Phala.

24 Julai, 2026
Kiwanda cha Dangote chabadili maamuzi kuhusu uuzwaji mafuta kwa sarafu ya Dola
Julai 14 mwaka huu, kiwanda hicho nchini Nigeria kilianza kuuza bidhaa zake za mafuta kwa Dola za Marekani katika soko la ndani, jambo ambalo limesababisha mjadala mkubwa.

23 Julai, 2026
Tanzania: Wilaya ya Temeke yaongoza kwa uraibu wa dawa za heroin
Temeke ndiyo wilaya yenye idadi kubwa zaidi ya watu walioathirika na uraibu wa dawa za kulevya, ikifuatiwa na Kinondoni, Ilala, Ubungo na Kigamboni.

23 Julai, 2026
Uingereza yasitisha mazoezi yake ya kijeshi Kenya baada ya kunyimwa leseni
Kupitia taarifa yake ya Alhamisi, Wizara ya Ulinzi ya Uingereza ilioneshwa kusikitishwa na maamuzi hayo, ikisisitiza kuwa itaendelea kudumisha uhusiano mwema na Kenya.



