15 Mei, 2026

Droni za Ukraine zaua 4 Urusi

Tukio hilo linafuatia shambulio la awali lililofanywa na Urusi dhidi ya Ukraine, na kuua watu 24 huko Kiev.

0c9578cf3e9b64dd06a4f48f9dc57263440a78e38619d9007fe5b0860d24c4c1

14 Mei, 2026

Rais wa China asema hatoipatia Iran silaha: Trump

“Alisema hatatoa vifaa vya kijeshi. Hio ni kauli muhimu sana”, Rais Trump wa Marekani amesema baada ya kukutana na Rais Xi wa China, akiongeza kuwa China inataka kuona Mlango-Bahari wa Hormuz ukifunguliwa.

ce209bb5a50cc1414c000486cfb13fd3bf9f06f5475669538524e41292230556

14 Mei, 2026

Xi na Trump wakubaliana kwamba ‘Mlango-Bahari wa Hormuz lazima ubaki wazi – Ikulu ya White House

Marais wa Marekani na China walifanya “mkutano mzuri,” wakijadili pia kupanua upatikanaji wa soko kwa biashara za Marekani nchini China, Msemaji wa Ikulu ya White House amesema.

2026 05 14t102136z 149424028 rc2y8la3bbqc rtrmadp 3 china usa

14 Mei, 2026

Wapalestina kufanya uchaguzi wa rais na wabunge

Abbas na Mamlaka ya Palestina, wapo katika shinikizo kubwa kutoka kwa Marekani, Umoja wa Ulaya na Umoja wa Nchi za Kiarabu, ya kuleta mageuzi na kuendesha uchaguzi, huku taifa hilo likikabiliwa na kudumaa kwa siasa na uwepo wa tuhuma za ufisadi.

49ab79bd4f120717e920a36cb4ff0ede038d0c52a504eecee88c285860a949d2

14 Mei, 2026

Hamas haipaswi kuondoka kisiasa: Balozi wa Bodi ya Amani

Nickolay Mladenov anasema kundi la upinzani la Palestina la Hamas linaweza kubaki kama kundi la kisiasa, lakini makundi yenye silaha lazima yaweke silaha chini.

mideast wars mladenov 69762

13 Mei, 2026

Netanyahu amezuru UAE na kukutana na Rais wa nchi hiyo kwa siri wakati wa vita vya Iran

Tangazo kutoka Israel limekuja siku moja baada ya balozi wa Marekani Mike Huckabee kusema kuwa Israel ilipeleka mfumo wa Ulinzi wa Iron Dome pamoja na maafisa wa kuiendesha katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) wakati wa vita na Iran.

2549840088263c1cf5af4cda806c90a30d931241dba67ae53d1fcdf90e13e279

13 Mei, 2026

Rais Trump wa Marekani awasili Beijing kwa mazungumzo muhimu na Rais Xi wa China

Rais wa Marekani Donald Trump ameanza ziara yake ya kwanza nchini China katika karibu muongo mmoja huku mazungumzo na Xi Jinping yakitarajiwa kujikita katika masuala ya Iran, Taiwan, ushuru wa forodha na usafirishaji wa madini adimu.

1778678828738 ad5v1l 2e23173e0c9263befef3ee4e53e65c6e72952f08fb1971e5bb40d648893d70c2

13 Mei, 2026

Taarifa za kijasusi za Marekani zaonyesha kuwa Iran bado ina uwezo mkubwa wa kurusha makombora

Tathmini ya kijasusi zinaonyesha kuwa Iran imerejesha uwezo wa kutumia sehemu nyingi za kurushia makombora, ikiwemo maeneo 30 kati ya 33 ya makombora yaliyo karibu ya Mlango-Bahari wa Hormuz.

7856098654cf98b12230376e79b7e659d66e54672a454822bdb51921a3f792c8

12 Mei, 2026

Pentagon yasema vita vya Marekani dhidi ya Iran vimegharimu Dola bilioni 29 hadi sasa

Makadirio mapya ya Pentagon kuhusu gharama za vita vya Marekani yametangazwa huku gharama za Israel zikikadiriwa kuwa Dola bilioni 17.5 na Iran ambayo imepata hasara zinazokadiriwa kufikia Dola bilioni 270, inadai fidia katika mazungumzo na Marekani.

a52e8a46e3bbb9c984b6c4e1ccfdab70d8f727cc9ab720a52c314b8b05320a59

12 Mei, 2026

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki aonya dhidi ya kutumia Mlango wa Hormuz kama “silaha”

Waziri wa Mambo ya Nje Hakan Fidan anaonya kwamba usumbufu katika njia ya maji ya kimkakati utatishia utulivu wa kikanda na uchumi wa dunia.

b322b9e0df7623eaebfa03df3a6b8a4fa2c163d3e1f94e3e75efd11e87d47ab8
Inapakia...