Uturuki yapinga vikali hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Iran

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema matatizo ya kiuchumi ya Iran yanatokana na vikwazo vilivyowekwa dhidi ya nchi hiyo, na kwamba Iran kutatua matatizo na “baadhi ya wadau” kuntanufaisha pia Uturuki.
15 Januari, 2026
Tahadhari ya bomu: Ndege ya Turkish Airlines yatua salama Barcelona

Taratibu za usalama zilianzishwa mara moja ndani ya ndege kwa mujibu wa kanuni za usalama wa anga.
15 Januari, 2026
Uturuki na UAE zajadili kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia Abu Dhabi

Fidan alikutana na Rais wa UAE Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan kujadili uhusiano wa pande mbili.
15 Januari, 2026
Uturuki na Iran wazidisha mawasiliano kupunguza mvutano wa kikanda

Mazungumzo ndiyo njia bora ya kupunguza mvutano wa kikanda.
15 Januari, 2026

Somalia na Türkiye waanza utekelezaji wa makubaliano ya ajira na sera za kijamii

Mashambulio ya risasi Ethiopia: Watalii wawili wa Kituruki wauawa, uchunguzi waanza

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Aungana na Mazungumzo ya Awamu ya Pili ya Mpango wa Amani Gaza

Uturuki yaonya dhidi ya uingiliaji wa nje nchini Iran, yatoa wito wa suluhu za ndani

Uturuki yaitaka YPG kutekeleza makubaliano ya Machi 10 ili kurejesha utulivu Syria
6 Januari, 2026
Erdogan kwa Trump: Venezuela isiingizwe katika hali ya kutokuwa na usalama
Rais wa Uturuki ameeleza msimamo wa Uturuki kuwaunga mkono “watu wa Venezuela marafiki katika kupambania mafanikio, amani, na ustawi.”

2 Januari, 2026
Chini ya Anga Jeupekundu: Theluji Yaikaribisha 2026 Nchini Uturuki kwa Tumaini Jipya
Theluji iliposhuka, kelele za miji zilinyamaza, na kwa mara ya kwanza baada ya muda mrefu, watu wakapata nafasi ya kupumua na kutumaini.

2 Januari, 2026
Ankara Yaendeleza Juhudi za Upatanishi: Fidan na Kalın Wakutana na Afisa Mkuu wa Usalama wa Ukraine
Uturuki imeendelea kuimarisha nafasi yake kama mpatanishi muhimu, huku Ankara ikiendeleza mazungumzo na pande zote mbili za mzozo wa Urusi na Ukraine.

1 Januari, 2026
Istanbul inayaikana kwa umoja kuonyesha mshikamano wake na Wapalestina
Kutoka swala ya Alfajiri hadi Daraja la Galata, sauti za haki na uhuru wa Palestina zilisikika kwa pamoja.

30 Desemba, 2025
Uturuki yapinga hatua ya Israel kuhusu Somaliland, yaahidi kuimarisha ushirikiano na Somalia
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameitaja hatua ya Israel ya kuitambua Somaliland kuwa “haikubaliki,” huku Uturuki ikiahidi kuendelea kuunga mkono Somalia katika masuala ya uchimbaji wa rasilimali, ulinzi, na diplomasia.

29 Desemba, 2025
Uturuki yaua wanamgambo sita wa Daesh katika operesheni ya kupambana na ugaidi Yalova
Uturuki itaendelea kupambana na ugaidi bila kuyumba ili kulinda usalama wa raia wake.

26 Desemba, 2025
Uturuki Yakosoa Vikali Hatua ya Israel ya Kutambua Somaliland
Utambuzi wa Somaliland ni uvunjaji wazi wa sheria za kimataifa na kuingilia masuala ya ndani ya Somalia.

25 Desemba, 2025
Mauritania yazindua warsha ya pili ya ufundishaji wa lugha ya Kituruki
Ufundishaji wa lugha ya Kituruki ni nyenzo muhimu ya kukuza maelewano ya kielimu na kitamaduni kati ya mataifa, na ni daraja la kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu kati ya Türkiye na Mauritania.

25 Desemba, 2025
Hakan Fidan akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger jijini Ankara
Uturuki inaendelea kujenga uhusiano wake na Niger kwa misingi ya kuheshimiana, usawa na manufaa ya pande zote, kwa lengo la kuimarisha amani, maendeleo na uthabiti wa kikanda.

24 Desemba, 2025
Waziri wa Ulinzi wa Uturuki awafariji maafisa wa Libya na familia zao jijini Ankara
Tunatoa pole za dhati kwa familia za marehemu na kwa wananchi wote wa Libya. Uturuki inasimama pamoja nanyi katika kipindi hiki kigumu cha majonzi.


