24 Februari, 2026

Msemaji wa M23, Willy Ngoma, auawa katika shambulio la droni mashariki mwa DRC

Msemaji wa kundi la waasi la M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Willy Ngoma, ameuawa katika shambulizi la ndege zisizo na rubani mashariki mwa DRC siku ya Jumanne.

9687c2402270844cdfbacd2959053935da2768e7e045e823b2e3f25e8451d936

24 Februari, 2026

Uharibifu mkubwa Chuo Kikuu cha Kordofan Sudan baada ya shambulizi la anga la RSF

Makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema kushambulia taasisi za elimu ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

2025 05 28t115913z 210741444 rc2q5ea7nuyt rtrmadp 3 sudan politics infrastructure

24 Februari, 2026

Afrika Kusini kubatilisha viza 2,000 zilizopatikana kwa njia isiyo sahihi baaada ya uchunguzi

Ripoti imeonesha mfumo wa uhamiaji wa Afrika Kusini umetumiwa vibaya kwa miaka na kundi la maafisa wachache ambao wamejitajirisha kwa kupokea malipo kwa kutoa viza.

abb518929461fef84b81b7ad6379b9440cb90d20b2d4d5b0d5545686f0c7ee0d

23 Februari, 2026

Rais Sisi wa Misri awasili Saudi Arabia kwa ‘ziara ya kindugu’

Rais wa Misri alipokelewa na mwanamfalme wa Saudia katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa King Abdulaziz mjini Jeddah.

272953c90c2a438fd9d0e326b3f367105cdd0c2c1f1247ec05bea6a808f642f7

23 Februari, 2026

Mpaka wa Burundi na DRC wafunguliwa tena baada ya kufungwa kwa miezi miwili

Mpaka wa Kavimvira–Gatumba ni eneo la kimkakati linalounganisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na mji mkuu wa kibiashara wa Burundi, Bujumbura.

e67efae1fd357a432aa0e708d4d6521e8d8daf60378a3865dfe69498f0d74245

23 Februari, 2026

AU inataka kuchukuliwa kwa ‘hatua za pamoja’ baada ya watu zaidi ya arobaini kuuawa nchini Nigeria

Shambulio la Zamfara ambalo ni la hivi karibuni katika mfululizo wa matukio ya vurugu ambayo yameonyesha changamoto za usalama nchini Nigeria.

2c6d1931c32a461d32fa96b60401d2031f518e300715ca703b2ce645922df8df

23 Februari, 2026

Mafuriko makubwa Maniema yaacha maelfu bila makazi

Zaidi ya familia 2,500 zimeathirika baada ya mito kufurika na kuharibu vijiji mashariki mwa DRC.

424

22 Februari, 2026

Tume ya Rais kuhusu ghasia za baada ya uchaguzi Tanzania yaongezewa siku 42 kuhitimisha uchunguzi

Muda huo wa nyongeza unalenga kuiruhusu tume hiyo kukamilisha ukusanyaji na uchambuzi wa ushahidi unaohusishwa na fujo zilizozuka katika maeneo kadhaa ya nchi wakati na baada ya upigaji kura.

712961d11c3f3278f136da79afb00b4c1a05c3e37200583f946a58c150703f75

22 Februari, 2026

Kwa nini ushirikiano wa Uturuki na Ethiopia wa miaka 100 ni muhimu katika njia panda za kimkakati

Ushindani wa mataifa yenye nguvu kubwa unapozidi kuongezeka katika ukanda wa Bahari Nyekundu, ziara ya Erdogan nchini Ethiopia inaangazia jitihada za Uturuki za kuchagiza utulivu, usalama wa baharini na utaratibu wa kanda nyingi zaidi.

a96757e13a3cae3cab47cc4cdfaf4763c0674c8dd25750d99842841580048a62

22 Februari, 2026

Vita ya Sudan: WHO inasema mashambulizi dhidi ya vituo vya afya yaliua 69 mwaka huu

Mkuu wa WHO Tedros Adhanom Ghebreyesus alisema siku 50 za kwanza za 2026 zimeshuhudia mashambulizi matano dhidi ya huduma za afya nchini Sudan, na kuua watu 69.

switzerland world health organization 02726
Inapakia...