27 Desemba, 2025

Somalia Yakemea Vikali Uamuzi wa Israel Kuhusu Somaliland

Somalia inakataa kabisa na bila mashaka utambuzi haramu wa Israel kwa Somaliland.

209

26 Desemba, 2025

Uturuki Yakosoa Vikali Hatua ya Israel ya Kutambua Somaliland

Utambuzi wa Somaliland ni uvunjaji wazi wa sheria za kimataifa na kuingilia masuala ya ndani ya Somalia.

205

26 Desemba, 2025

Mapigano Darfur Kaskazini: Vikosi washirika vya jeshi la Sudan vyazuia mashambulizi ya RSF

“Vikosi vyetu vilifanikiwa kuzuia mashambulizi ya RSF na kuwalazimisha kurudi nyuma baada ya mapigano makali,” ilisema taarifa ya vikosi washirika vya jeshi la Sudan.

360cc464e758f36319958c655bdc37aae11b2f95e17b4207644f55fe5eeb8a39

26 Desemba, 2025

Somalia yasifu msaada wa Uturuki katika kufanikisha uchaguzi wa kihistoria Mogadishu

Msaada wa Uturuki umehakikisha usalama wa uchaguzi Mogadishu.

dc8249b7ef7798bb68a9413f4cec1b1049d4306ab766b68dc05ea4479ccd26d3

26 Desemba, 2025

Nigeria yathibitisha mashambulizi ya Marekani dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh

Rais wa Marekani amesema nchi yake ilifanya mashambulizi mengi yaliyolenga shabaha dhidi ya Daesh nchini Nigeria.

f5058e771645e22369cb7a41bfb1087ac58b9191fa7e1261f21623720a3a2aca

25 Desemba, 2025

Polisi akataa rushwa ya dola $50,000 katika uwanja wa ndege nchini Zambia

Tume ya Kupambana na Rushwa ya Zambia (ACC) imempongeza polisi wa kike aliyekataa rushwa ya dola $50,000 kutoka kwa mshukiwa wa utakatishaji fedha katika uwanja wa ndege mji mkuu wa Lusaka.

927e4404e24a4373e6698ac70ad0cf2e8950b1a3b6f9147fe06de1d9941d68f3

25 Desemba, 2025

Uturuki, Libya kufanya uchunguzi wa pamoja wa ajali ya ndege iliyomuua mkuu wa majeshi, wengine saba

Mkuu wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai ya Libya na ujumbe wake, walitembelea Ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Ankara Alhamisi, huku uchunguzi wa pamoja wa ajali ya Jumanne ya ndege ukiendelea.

277240671b3f3d671b3e1256f67a0390bed46c08c7426ea1a085ac338d4d792f

25 Desemba, 2025

Waendesha mashtaka Uturuki kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ajali ya ndege ya Libya Ankara

Uturuki pia itaangazia hali ya rubani, ubora wa kiufundi, rekodi za ndege, ikiwemo vipuri.

27fc125300a5eaf16f121dba67fdaadade8d005ef69132772b354f98a0b0c779

25 Desemba, 2025

Wakazi wa Mogadishu wapiga kura kuchagua viongozi wa mitaa

Kupiga kura moja kwa moja kunarejesha sauti ya raia katika uamuzi wa uongozi wa maeneo yao.

202

25 Desemba, 2025

Helikopta ya Uokoaji Yaanguka Mlima Kilimanjaro

“Ajali hii imetokea wakati helikopta ikiwa kwenye misheni ya kuokoa maisha ya binadamu, tukio linalosikitisha sana,” alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa.

200
Inapakia...