WHO inasema mashambulizi kwa sekta ya afya Sudan yanaendelea kuwa hatari, na kuenea kila mahali

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa linaripoti kuwa vifo zaidi ya 1,800 kutokana na mashambulizi kwa sekta ya afya tangu 2023
19 Desemba, 2025
Sudan: Watu zaidi ya 50,000 wakimbia mapigano Kordofan, Umoja wa Mataifa unasema

Shirika la Umoja wa Mataifa linasema raia wanakimbia wakiwa na hofu huku mapigano yakienea kote katika miji muhimu katika maeneo ya Kordofan ya Sudan
19 Desemba, 2025
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa waondoka Kadugli baada ya shambulio dhidi ya walinda amani

Shambulio la droni la RSF limeua walinda amani sita kutoka Bangladesh na wengine wanane kujeruhiwa, tarehe 13 Disemba.
19 Desemba, 2025
Nigeria yafungua upya shule 47 za serikali zilizofungwa kufuatia utekaji wa wanafunzi

Katika miezi ya hivi karibuni, vikundi vya wanamgambo vimekuwa vikilenga shule za bweni, wakiteka wanafunzi na wafanyakazi, wakati mwingine kwa ajili ya fidia, na kusababisha kukatizwa kwa masomo.
19 Desemba, 2025

Majasusi wa M23 wasalia Uvira, DRC, licha ya majeshi kuondoka, wanasema wenyeji

Zaidi ya raia 50,000 wameondoka katika makazi yao eneo la Kordofan, Sudan sababu ya usalama: UN

Burkina Faso, Mali, Niger yaanzisha benki ya uwekezaji kufadhili miradi ya miundombinu

Mapato ya Mauzo ya Nje Uganda Yakaribia Kuongezeka Maradufu kutokana na Kahawa na Dhahabu

Takriban Watu 12 Wauawa katika Shambulio la Eneo la Uchimbaji Madini Nigeria
18 Desemba, 2025
Wakimbizi wa DR Congo: Burundi Yaomba Dola Milioni 33 za Msaada
Burundi na mashirika ya kimataifa yametoa wito wa kukusanya zaidi ya dola milioni 33 kusaidia maelfu ya wakimbizi wa DR Congo wanaoendelea kuingia nchini humo.

18 Desemba, 2025
Uchaguzi Mkuu Uganda 2026: Bobi Wine Akosoa Vizuizi vya Kampeni
Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, ameilaumu serikali kwa kuweka vizuizi kwenye kampeni za urais kuelekea uchaguzi mkuu wa 2026.

18 Desemba, 2025
Tuwalinde Watoto Dhidi ya Ukatili wa Kijinsia Mitandaoni
Takwimu zinaonesha kuongezeka kwa ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto mitandaoni, hali inayohitaji hatua za haraka kutoka kwa wazazi, serikali na kampuni za teknolojia.

17 Desemba, 2025
RSF Yatuhumiwa Kuharibu Ushahidi wa Ukatili nchini Sudan
Ripoti mpya inadai wapiganaji wa RSF wameharibu ushahidi wa mauaji ya kikatili katika mji wa Al Fasher, nchini Sudan.

17 Desemba, 2025
Somalia na Uturuki Zasaini Makubaliano ya Kuimarisha Sekta ya Uvuvi
Somalia na Uturuki zimeingia makubaliano ya kimkakati ya ushirikiano katika sekta ya uvuvi, yakilenga kukuza ajira, kulinda rasilimali za baharini na kuimarisha biashara ya kimataifa.

17 Desemba, 2025
Tanzania Miongoni mwa Nchi Zilizowekewa Vizuizi Vipya vya Kusafiri Marekani
Hatua hii sio marufuku kamili ya kusafiri kwenda Marekani, bali ni udhibiti wa baadhi ya aina za viza zinazotolewa kwa raia wa Tanzania.

17 Desemba, 2025
Tanzania yatuma mwaliko kwa wabunge wa Marekani kutembelea nchi hiyo
Ziara hiyo inalenga kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na maslahi ya pamoja kati ya nchi hizo mbili.

17 Desemba, 2025
Tanzania: Maafisa watatu wa uhamiaji wahukumiwa kunyongwa kwa kosa la mauaji
Ushahidi uliowasilishwa umebainisha matumizi ya nguvu kupita kiasi yaliyosababisha kifo cha raia asiye na hatia.

17 Desemba, 2025
DRC yamkamata waziri wa zamani wa mambo ya ndani wa serikali ya Kabila
Kukamatwa huku kunazua maswali makubwa kuhusu mchakato wa haki na sababu halisi za hatua hiyo.

16 Desemba, 2025
Mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa akamatwa Ureno kwa tuhuma za utakatishaji fedha
“Mashtaka yake yanahusishwa na uchunguzi unaoendelea wa utakatishaji fedha,” polisi wa mahakama ya Ureno walisema.


