20 Januari, 2026

Afya ya Besigye yazua wasiwasi, chama chake chataka hatua za haraka

Besigye alipelekwa usiku katika kituo cha afya jijini Kampala.

320

20 Januari, 2026

Somalia na Qatar zasaini makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi

Makubaliano mapya yanalenga kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na uratibu wa kiusalama.

315

20 Januari, 2026

ICC: Ushahidi wa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu Darfur, Sudan

“Ushahidi unaonyesha mifumo ya ukatili El Geneina 2023 imejirudia Al Fasher 2025.” — ICC

316

20 Januari, 2026

Jeshi la DRC lachukua tena udhibiti wa Uvira baada ya M23 kujiondoa

Jeshi la DRC limechukua tena udhibiti wa mji wa Uvira baada ya M23 kujiondoa.

317

20 Januari, 2026

Madagascar: Wanasiasa wawili wa karibu na Rajoelina wakabiliwa na mashtaka ya kuhatarisha usalama wa taifa

“Marie Michelle Sahondrarimalala alipelekwa gerezani Avaradrano baada ya kuhojiwa na polisi wa kiuchumi na kuwasilishwa mbele ya Mahakama Kuu.”

314

19 Januari, 2026

Vifo vilivyotokana na mafuriko nchini Msumbiji, Afrika Kusini vyaongozeka

Kwa sasa, sehemu kubwa ya Msumbiji imemezwa na mafuriko, hatua iliyopelekea kiongozi wa nchi hiyo, Daniel Chapo kuahirisha safari yake ya kuhudhuria mkutano mkubwa wa kiuchumi utakaofanyika jijini Davos, Uswisi.

77e3f7d122c943fe9d9f8dba70b41c0d32becfd736395958b3d30668c3a764d5

19 Januari, 2026

CAF yaahidi kuchukua hatua baada ya vurugu kuharibu fainali ya AFCON2025

“CAF inalaani vikali tabia isiyokubalika kutoka kwa baadhi ya wachezaji na maofisa.” — Taarifa ya CAF

312

19 Januari, 2026

Viongozi wa Afrika wampongeza Museveni kwa ushindi wa Uchaguzi Mkuu

Ushindi wa Museveni unathibitisha nafasi yake kama mmoja wa viongozi wa Afrika wa muda mrefu, tangu kuingia madarakani mwaka 1986.

2026 01 13t165717z 313290900 rc2f0jazpckm rtrmadp 3 uganda election

19 Januari, 2026

Rais Chapo avunja safari ya Davos kwa sababu ya mafuriko Msumbiji

Ripoti ya Umoja wa Mataifa imenukuu vyanzo vya serikali vikikadiria kuathirika kwa zaidi ya watu 400,000

1768812629898 5jocln a84e7cc9fce6408baebd028c2b71252569e1d43059bdb4dbbb64cb56faa34046

19 Januari, 2026

Nigeria yauwa magaidi 40 wa Boko Haram

Jeshi la Anga limesema operesheni zilizolenga kundi la kigaidi zilifanyika katika jimbo la Borno kaskazini-mashariki.

9ebe8d7bb76534cd42e9a9b2961e4b094d1a135bd53293089e2b903172ac4da9
Inapakia...