Mauritius yalaani shambulizi la kombora kisiwa cha Chagos

Serikali yasema tukio hilo linahatarisha usalama wa Bahari ya Hindi.
24 Mechi, 2026
Chama Kikuu cha Upinzani Benin Hakitamuunga Mkono Mgombea Yeyote Aprili

Chama kikuu cha upinzani nchini Benin kimesema hakitamuunga mkono mgombea yeyote katika uchaguzi wa urais wa Aprili.
23 Mechi, 2026
Mahitaji Yaongezeka Nigeria kwa Sindano Mpya ya Kuzuia HIV

Nigeria inashuhudia ongezeko la mahitaji ya sindano mpya ya kuzuia maambukizi ya HIV kabla ya kuanza kutolewa rasmi.
23 Mechi, 2026
Mgombea wa Chama Tawala Romuald Wadagni Aweka Wazi Ajenda Kabla ya Kampeni za Uchaguzi Benin

Mgombea wa chama tawala nchini Benin, Romuald Wadagni, ameanza kueleza sera zake kabla ya kampeni rasmi za urais.
23 Mechi, 2026

Waziri wa Zamani wa Kenya Aonekana Tena Baada ya Kutoweka Kuzua Hofu

WHO yakamilisha kampeni ya chanjo dhidi ya Polio Malawi

Afrika Kusini yazika upya mabaki ya Raia 63 yaliyorejeshwa kutoka ulaya

Tanzania yaweka hatua kali kusimamia usambazaji wa mafuta

Nyota wa DRC aongeza mkataba Simba Sports Club
23 Mechi, 2026
Kenya yakumbwa na mafuriko makubwa, watu 81 wafariki
Mvua kubwa na upepo mkali waacha maelfu bila makazi.

22 Mechi, 2026
Afrika yatoa ushirikiano wa maendeleo kwa mataifa ya Amerika ya Kusini na Karibia
Hayo yamesemwa na rais wa Umoja wa Afrika kwa mwaka 2026, Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye Jumamosi katika Mkutano wa 10 wa Jumuiya ya Mataifa ya Amerika ya Kusini na Karibi CELAC, uliofanyika Bogota, Colombia.

22 Mechi, 2026
Tanzania yajiandaa na athari za mgogoro wa Mashariki ya Kati, yataka diplomasia itumike
Amesisitiza kuwa suluhisho la kudumu ni mazungumzo ya kidiplomasia ili kuepusha athari kubwa zaidi kwa uchumi wa dunia.

22 Mechi, 2026
Wakenya waliohamishwa kutoka Iran wawasili nyumbani
Raia hao ambao walikuwa wanaishi nchini Iran, walipitia nchini Uturuki kabla ya kuwasili Kenya.

22 Mechi, 2026
Madagascar yapewa Kituo cha kukabiliana na Dharura
Msaada huu unakuja wakati ambapo Madagascar inakabiliwa na hali ngumu ya mlipuko wa Mpox na athari za kimbunga

22 Mechi, 2026
Bandari ya Mangapwani, Zanzibar kufungua fursa za uchumi
Mwenyekiti wa Kampuni ya China Harbour Engineering Company Limited, amemuhakikishia Rais Mwinyi kuwa kampuni hiyo inaendelea na ujenzi kwa kasi huku ikizingatia viwango vya ubora.

22 Mechi, 2026
Rais wa DRC anataka kufufua Shirika la Ndege la Congo Airways
Baada ya kusimamisha ndege zake zote kutokana na wasiwasi wa usalama, Congo Airways imetegemea ndege za kukodishwa ambazo zina gharama kubwa.

21 Mechi, 2026
Sudan Kusini yaiomba Afrika Kusini msaada wa vifaa vya kupigia kura kuelekea uchaguzi Disemba 2026
Sudan inapanga kufanya Uchaguzi Mkuu Disemba 2026

21 Mechi, 2026
Kenya na Uganda kwa pamoja wazindua mradi wa reli ya kisasa-SGR
Mpango wa upanuzi wa reli hadi mpaka wa Uganda ulikuwa umesimama kwa zaidi ya miaka 6 kutokana na matatizo ya kifedha na ufadhili.

21 Mechi, 2026
Visiwa vya Bahari Hindi Afrika vyaathirika na vita vya Iran: Ripoti
Iran ilirusha makombora ya balistiki mawili kuelekea kwenye kambi ya pamoja ya Marekani na Uingereza katika visiwa vya Chagos, Mauritius, takriban kilomita 4,000 kutoka Iran.



