21 Desemba, 2025

Somalia na Ethiopia zaimarisha mazungumzo katika maadhimisho ya Tamko la Ankara

Mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa usalama kwa misingi ya heshima ya mamlaka ya kila nchi.

170

21 Desemba, 2025

Bunge la Algeria lafungua mjadala kuhusu mswada wa kuharamisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa

Rasimu ya sheria inalenga kuainisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini Algeria kati ya 1830 na 1962 kama uhalifu.

542edae1afac04c1525c1c8dcc1b515c04360fd6926d3408f88ce27705982c19

21 Desemba, 2025

Mabalozi wa Uturuki katika nchi za Afrika watembelea Jumba la Afrika

Mabalozi wa Uturuki barani Afrika walikusanyika mjini Ankara kwa ajili ya Kongamano la Mabalozi, na kutembelea Jumba la Sanaa za Mikono na Utamaduni la Kiafrika, ambalo lilianzishwa chini ya uangalizi wa mke wa Rais Recep Tayyip Erdoğan Emine Erdoğan

27ade64414c4b86b2398905dc38ada4ac33defbb4e3370adfa8ebb0a8ce78de6

20 Desemba, 2025

Uturuki inawasilisha mzigo wa kwanza wa mahema 30,000 ya misaada nchini Sudan

Meli iliyobeba mahema 10,000 ya kwanza kati ya 30,000 yaliyotolewa kwa Sudan na Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa na Dharura ya Uturuki (AFAD) kwa ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) iliwasili Bandari ya Sudan.

f9e3979704fad4ce9d46bea885831ccaec162e0a00e74b7e2f6a3655be33496c

20 Desemba, 2025

Baraza la Usalama la UN laongezea MONUSCO mamlaka kwa mwaka mmoja zaidi

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimiol akuongezea ujumbe wa kulinda amani nchini DRC MONUSCO mwaka mmoja zaidi

1766232898615 8usuop 8642c99f07f64eb9258f57a1df72ff8074dcb02dd1e9fc7c943a710b4894fcf6

20 Desemba, 2025

Umoja wa Afrika waapa uwajibikaji kwa mashambulizi ya RSF dhidi ya raia wa Sudan

AU imethibitisha tena msaada wake kwa umoja na utawala wa Sudan wakati ikiwaonya RSF kwamba vurugu dhidi ya wananchi hazitapita bila adhabu.

d025b52a01a8b446d77963a28a421bdd8fa70dee045073345a39579d197bfc46

20 Desemba, 2025

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” Sudan

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” katika mzozo wa Sudan

1766171615121 ii898a ad92ff1fdd429d63974825c0fd6cac9777841c7a6c8dfa26150a9bbc0925290f

19 Desemba, 2025

Mjumbe wa UN anasema usalama bado ni tete Tripoli, magharibi mwa Libya

Hanna Tetteh ametoa wito ‘kwa wadau wote kufanya kazi pamoja kwa lengo la kutekeleza masuala ya usalama, mabadiliko muhimu ili kupata uthabiti’

c5d04d96350683d03dd4f14252770c843b63d3d3648de37da6d8027e5aa25d66

19 Desemba, 2025

WHO inasema mashambulizi kwa sekta ya afya Sudan yanaendelea kuwa hatari, na kuenea kila mahali

Shirika la afya la Umoja wa Mataifa linaripoti kuwa vifo zaidi ya 1,800 kutokana na mashambulizi kwa sekta ya afya tangu 2023

b5ce9fe874e4bb0ae4c1157657091de7b05fa39ecbc2959522b11a59a42da3a4

19 Desemba, 2025

Sudan: Watu zaidi ya 50,000 wakimbia mapigano Kordofan, Umoja wa Mataifa unasema

Shirika la Umoja wa Mataifa linasema raia wanakimbia wakiwa na hofu huku mapigano yakienea kote katika miji muhimu katika maeneo ya Kordofan ya Sudan

a89cc17f98fffcfb024dff85767814881c966043498bbf0cbd13fe7f04c1ec20
Inapakia...