Zaidi ya Wapiganaji 200 Wajisalimisha kwa Jeshi la Ethiopia katika Oromia Magharibi

Zaidi ya wapiganaji 200 waliokuwa na silaha wamejisalimisha kwa vikosi vya serikali katika eneo la Oromia Magharibi.
22 Desemba, 2025
AFCON kufanyika kila baada ya miaka minne kuanzia mwaka 2028

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limetangaza kuwa Kombe la Mataifa ya Afrika litafanyika kila baada ya miaka minne kuanzia mwaka 2028.
22 Desemba, 2025
Mabalozi wa Uturuki barani Afrika watembelea Jumba la Utamaduni wa Afrika mjini Ankara

Mabalozi wa Uturuki wanaohudumu barani Afrika walitembelea Jumba la Utamaduni wa Afrika mjini Ankara kama sehemu ya Kongamano la Mabalozi.
22 Desemba, 2025
DAWASA yaanza kuchimba visima 14 kukabiliana na uhaba wa maji Dar es Salaam

DAWASA imeanza utekelezaji wa mpango wa kuchimba visima 14 jijini Dar es Salaam ili kuongeza upatikanaji wa maji kwa wananchi.
22 Desemba, 2025

Serikali ya Nigeria yaokoa wanafunzi wote waliotekwa katika shule ya Kikatoliki

Somalia yaongeza ulinzi kuelekea uchaguzi wa kihistoria wa serikali za mitaa

Morocco waanza vyema safari ya AFCON 2025 kwa ushindi dhidi ya Comoro

Shambulio la droni laua watu 10 katika soko la Darfur Kaskazini, Sudan

Marekani na Nigeria zasaini mkataba wa afya wenye msisitizo wa huduma za Kikristo
21 Desemba, 2025
Somalia na Ethiopia zaimarisha mazungumzo katika maadhimisho ya Tamko la Ankara
Mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili na ushirikiano wa usalama kwa misingi ya heshima ya mamlaka ya kila nchi.

21 Desemba, 2025
Bunge la Algeria lafungua mjadala kuhusu mswada wa kuharamisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa
Rasimu ya sheria inalenga kuainisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini Algeria kati ya 1830 na 1962 kama uhalifu.

21 Desemba, 2025
Mabalozi wa Uturuki katika nchi za Afrika watembelea Jumba la Afrika
Mabalozi wa Uturuki barani Afrika walikusanyika mjini Ankara kwa ajili ya Kongamano la Mabalozi, na kutembelea Jumba la Sanaa za Mikono na Utamaduni la Kiafrika, ambalo lilianzishwa chini ya uangalizi wa mke wa Rais Recep Tayyip Erdoğan Emine Erdoğan

20 Desemba, 2025
Uturuki inawasilisha mzigo wa kwanza wa mahema 30,000 ya misaada nchini Sudan
Meli iliyobeba mahema 10,000 ya kwanza kati ya 30,000 yaliyotolewa kwa Sudan na Mamlaka ya Usimamizi wa Maafa na Dharura ya Uturuki (AFAD) kwa ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) iliwasili Bandari ya Sudan.

20 Desemba, 2025
Baraza la Usalama la UN laongezea MONUSCO mamlaka kwa mwaka mmoja zaidi
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepitisha kwa kauli moja azimiol akuongezea ujumbe wa kulinda amani nchini DRC MONUSCO mwaka mmoja zaidi

20 Desemba, 2025
Umoja wa Afrika waapa uwajibikaji kwa mashambulizi ya RSF dhidi ya raia wa Sudan
AU imethibitisha tena msaada wake kwa umoja na utawala wa Sudan wakati ikiwaonya RSF kwamba vurugu dhidi ya wananchi hazitapita bila adhabu.

20 Desemba, 2025
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” Sudan
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rubio asema “lengo la haraka ni kusitisha mapigano” katika mzozo wa Sudan

19 Desemba, 2025
Mjumbe wa UN anasema usalama bado ni tete Tripoli, magharibi mwa Libya
Hanna Tetteh ametoa wito ‘kwa wadau wote kufanya kazi pamoja kwa lengo la kutekeleza masuala ya usalama, mabadiliko muhimu ili kupata uthabiti’

19 Desemba, 2025
WHO inasema mashambulizi kwa sekta ya afya Sudan yanaendelea kuwa hatari, na kuenea kila mahali
Shirika la afya la Umoja wa Mataifa linaripoti kuwa vifo zaidi ya 1,800 kutokana na mashambulizi kwa sekta ya afya tangu 2023

19 Desemba, 2025
Sudan: Watu zaidi ya 50,000 wakimbia mapigano Kordofan, Umoja wa Mataifa unasema
Shirika la Umoja wa Mataifa linasema raia wanakimbia wakiwa na hofu huku mapigano yakienea kote katika miji muhimu katika maeneo ya Kordofan ya Sudan




