15 Julai, 2025

Ethiopia yawakamata washukiwa 82 wa kundi la kigaidi la Daesh

Mamlaka nchini Ethiopia zimewakamata washukiwa 82 wa kundi la kigaidi la Daesh.

9455804806d543b41e3e61e7d4a836d865df2e5f9824fd4b433863f380bed198

15 Julai, 2025

Watu wenye silaha waua wasiopungua 27 katika jimbo la Nigeria la Plateau

Watu wenye silaha wamewaua wasiopungua 27 katika jimbo la kaskazini kati mwa Nigeria la Plateau, katika machafuko ya hivi karibuni katika eneo lisilo na usalama wa kutosha.

b39acf016800b65d3ab2d6ba6e975f963538572b943264a2d75bbbc837b89916

15 Julai, 2025

Rais wa Sudan Kusini aahidi kuboresha jeshi lake

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir alimfuta kazi mkuu wa majeshi Paul Nang Majok 7 Julai 2025, baada ya kuwa kwenye nafasi hiyo kwa miezi saba tu na kumtaja mrithi wake Dau Aturjong Nyuol.

f4b2c147150b2923031e7a00d772066af29392d1d6298565b29f7e71d37933ad

15 Julai, 2025

Kiongozi wa zamani wa Nigeria Buhari atazikwa siku ya Jumanne, afisa anasema

Buhari alipata umaarufu mkubwa kutokana na aina yake ya siasa za kupiga vita ufisadi, hasa katika maeneo ya kaskazini mwa Nigeria yenye Waislamu wengi.

e451bbcafa0b9c6eda26348ff1110bcba3dd652fd29eb06d369972bc86747d3f

15 Julai, 2025

Zaidi ya wahamiaji 100 waachiliwa huru nchini Libya baada ya kutekwa na genge la majambazi

Zaidi ya wahamiaji 100 wameachiliwa kutoka utumwani baada ya kushikiliwa na genge moja mashariki mwa Libya ili kulipia fidia, mwanasheria mkuu wa nchi hiyo amesema.

9962f540b176edafadb46c64f2a144cbbf04eca427ccc3163b6335c5a6ef95bf

14 Julai, 2025

Malawi yaanza kampeni rasmi kwa uchaguzi wa Septemba 16

Muda rasmi wa kampeni kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Malawi Septemba 16 umezinduliwa siku ya Jumatatu, huku kukiwa na hofu ya kisiasa katika nchi hiyo.

03467f6b4d898573f53a7236faa24e23d30bc5e39f270ddbfb4646cb1552c036

14 Julai, 2025

Mji wa kaskazini anakotoka Buhari unajiandaa kwa mazishi ya kiongozi huyo wa Nigeria

Maandalizi yameendelea siku ya Jumatatu eneo la Daura, katika mji wa kaskazini alikotoka aliyekuwa Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari kwa ajili ya mazishi yake.

a75a8319803a76e33a6af2971adf85a516defd0f8c1e0506c847414e087cf27e

14 Julai, 2025

Nigeria yatangaza siku ya Jumanne, Jula 15 sikukuu ya kitaifa kumuenzi Buhari

Serikali ya Nigeria imetangaza siku ya Jumanne, Julai 15 sikukuu ya kitaifa kumuenzi aliyekuwa Rais wa nchi hiyo ambaye amefariki dunia Muhammadu Buhari.

639da6c2bb1caf5bd0efea78dc2037f879053e97e618564326b2d98713c981db

14 Julai, 2025

Upinzani Kenya yatishia kumrudisha Rais Ruto ICC

Vitisho vya upinzani kumrudisha Rais Ruto katika Mahakama ya Kimatifa ya Uhalifu vinakuja baada ya rais huyo kutoa amri kwa polisi kuwapiga risasi watu wenye kuvunja sheria wakati wa maandamano.

e58f5178f46eb3696fe3e553be4e719af47a7ee052d5009dd30412d69cd9349c

14 Julai, 2025

Kikao cha mawaziri wa mazingira barani Afrika AMNCEN, chang’oa nanga jijini Nairobi

Mawaziri kutoka kote barani Afrika pamoja na wanaharakati wa mazingira na watunga sera wakutana kwa kikao cha ishirini cha mawaziri kujadili mazingira kuambatana na miaka arobaini tangu kuundwa kwake.

0253f8c16bfa0e9e18a058f7ce4258834cf64a042c7da6f7c9dd26e906641244
Inapakia...