Ethiopia yawakamata washukiwa 82 wa kundi la kigaidi la Daesh

Mamlaka nchini Ethiopia zimewakamata washukiwa 82 wa kundi la kigaidi la Daesh.
15 Julai, 2025
Watu wenye silaha waua wasiopungua 27 katika jimbo la Nigeria la Plateau

Watu wenye silaha wamewaua wasiopungua 27 katika jimbo la kaskazini kati mwa Nigeria la Plateau, katika machafuko ya hivi karibuni katika eneo lisilo na usalama wa kutosha.
15 Julai, 2025
Rais wa Sudan Kusini aahidi kuboresha jeshi lake

Rais wa Sudan Kusini Salva Kiir alimfuta kazi mkuu wa majeshi Paul Nang Majok 7 Julai 2025, baada ya kuwa kwenye nafasi hiyo kwa miezi saba tu na kumtaja mrithi wake Dau Aturjong Nyuol.
15 Julai, 2025
Kiongozi wa zamani wa Nigeria Buhari atazikwa siku ya Jumanne, afisa anasema

Buhari alipata umaarufu mkubwa kutokana na aina yake ya siasa za kupiga vita ufisadi, hasa katika maeneo ya kaskazini mwa Nigeria yenye Waislamu wengi.
15 Julai, 2025

Zaidi ya wahamiaji 100 waachiliwa huru nchini Libya baada ya kutekwa na genge la majambazi

Malawi yaanza kampeni rasmi kwa uchaguzi wa Septemba 16

Mji wa kaskazini anakotoka Buhari unajiandaa kwa mazishi ya kiongozi huyo wa Nigeria

Nigeria yatangaza siku ya Jumanne, Jula 15 sikukuu ya kitaifa kumuenzi Buhari

Upinzani Kenya yatishia kumrudisha Rais Ruto ICC
14 Julai, 2025
Kikao cha mawaziri wa mazingira barani Afrika AMNCEN, chang’oa nanga jijini Nairobi
Mawaziri kutoka kote barani Afrika pamoja na wanaharakati wa mazingira na watunga sera wakutana kwa kikao cha ishirini cha mawaziri kujadili mazingira kuambatana na miaka arobaini tangu kuundwa kwake.

14 Julai, 2025
Tume ya Uchaguzi Kenya yaonya viongozi dhidi ya matamshi potofu
Mwakilishi wa Wanawake wa Wajir Fatuma Jehow, aliyesema waziwazi kwamba viongozi kutoka eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya ‘wangeiba kura kwa niaba ya’ Rais Ruto katika Uchaguzi Mkuu wa 2027.

14 Julai, 2025
Wakulima wa kahawa Rwanda kulipa nusu ya bei ya mbolea
Serikali inasema hii inaweza kusaidia kurejesha mapato ya mauzo ya kahawa ambayo yalishuka hadi dola milioni $78.7 (takriban Rwf110 bilioni) mwaka 2023/2024, kutoka zaidi ya dola milioni 115.9 mwaka wa fedha uliopita, kulingana na Wizara ya Kilimo.

14 Julai, 2025
Rais wa Cameroon Paul Biya, 92, anasema atawania kuchaguliwa tena muhula wa nane
Rais wa Cameroon Paul Biya amesema atawania muhula wa nane madarakani katika uchaguzi wa Oktoba katika jitihada za kuongeza takriban miaka 43 madarakani.

14 Julai, 2025
Muhammadu Buhari: Rais wa zamani wa Nigeria afariki dunia akiwa na umri wa miaka 82
Rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari amefariki dunia katika hospitali moja mjini London, Uingereza akiwa na umri wa miaka 82, msaidizi wake wa zamani wa vyombo vya habari vya kidijitali Bashir Ahmad alisema Jumapili.

13 Julai, 2025
Balozi wa Tanzania nchini Cuba ajiuzulu akilalamikia kufifia maadili katika serikali ya awamu ya 5
Balozi Humphrey Hesron Polepole pia alilalamikia kutovuka kwa maadili na sera za chama tawala CCM akiashiria hususan mchakato wa uteuzi wa wagombea ndani ya Chama uliomalizika hivi karibuni.

12 Julai, 2025
Umoja wa Mataifa umesitisha msaada wa chakula Afrika Magharibi na Kati kutokana na uhaba wa ufadhili
WFP inasema inahitaji dola milioni 494 kugharamia nusu ya pili ya 2025, lakini fedha hizo zimepungua kabisa, na hivyo kulazimika kuyapa kipaumbele makundi yaliyo hatarini zaidi.

12 Julai, 2025
Boeing yamfidia mwanamume ambaye familia yake ilikufa katika ajali ya Ethiopian Airlines
Familia ya Paul Njoroge ilikuwa ikielekea Kenya Machi 2019 kwa kutumia ndege ya Ethiopian Airlines Flight 302 ilipopata hitilafu na kudondoka chini.

12 Julai, 2025
Ugiriki yapitisha marufuku ya kuwapa hifadhi wakimbizi kutoka Afrika kupitia ufuo wa Libya
Inaashiria ugumu zaidi wa msimamo wa Ugiriki dhidi ya wahamiaji chini ya serikali ya mrengo wa kulia ya Waziri Mkuu Kyriakos Mitsotakis, ambayo imejenga uzio kwenye mipaka yake ya kaskazini mwa nchi kavu.

12 Julai, 2025
Zambia inawataka raia walio ng’ambo bila viza halali kurejea nyumbani
Taifa hilo la Kusini mwa Afrika ni miongoni mwa nchi 36 ambazo utawala wa Trump unapanga kuongeza marufuku ya kusafiri




