14 Julai, 2025

Kikao cha mawaziri wa mazingira barani Afrika AMNCEN, chang’oa nanga jijini Nairobi

Mawaziri kutoka kote barani Afrika pamoja na wanaharakati wa mazingira na watunga sera wakutana kwa kikao cha ishirini cha mawaziri kujadili mazingira kuambatana na miaka arobaini tangu kuundwa kwake.

0253f8c16bfa0e9e18a058f7ce4258834cf64a042c7da6f7c9dd26e906641244

14 Julai, 2025

Tume ya Uchaguzi Kenya yaonya viongozi dhidi ya matamshi potofu

Mwakilishi wa Wanawake wa Wajir Fatuma Jehow, aliyesema waziwazi kwamba viongozi kutoka eneo la Kaskazini Mashariki mwa Kenya ‘wangeiba kura kwa niaba ya’ Rais Ruto katika Uchaguzi Mkuu wa 2027.

cf06e27e83c72a6e220e727e057416302645d6aab2537f14c7c3eb47c339734a

14 Julai, 2025

Wakulima wa kahawa Rwanda kulipa nusu ya bei ya mbolea

Serikali inasema hii inaweza kusaidia kurejesha mapato ya mauzo ya kahawa ambayo yalishuka hadi dola milioni $78.7 (takriban Rwf110 bilioni) mwaka 2023/2024, kutoka zaidi ya dola milioni 115.9 mwaka wa fedha uliopita, kulingana na Wizara ya Kilimo.

2025 06 24t190434z 138200802 rc269fa7pxgo rtrmadp 3 coffee global rabobank 1 2

14 Julai, 2025

Rais wa Cameroon Paul Biya, 92, anasema atawania kuchaguliwa tena muhula wa nane

Rais wa Cameroon Paul Biya amesema atawania muhula wa nane madarakani katika uchaguzi wa Oktoba katika jitihada za kuongeza takriban miaka 43 madarakani.

47d87691cdd30e97e7ed08c42a4d9e2a87bede72d0212918239fe7aa36f1d371

14 Julai, 2025

Muhammadu Buhari: Rais wa zamani wa Nigeria afariki dunia akiwa na umri wa miaka 82

Rais wa zamani wa Nigeria Muhammadu Buhari amefariki dunia katika hospitali moja mjini London, Uingereza akiwa na umri wa miaka 82, msaidizi wake wa zamani wa vyombo vya habari vya kidijitali Bashir Ahmad alisema Jumapili.

378846a9fd7c79ba8ae6725c7230a1e9b61270030a81240eef48f09d3208d146

13 Julai, 2025

Balozi wa Tanzania nchini Cuba ajiuzulu akilalamikia kufifia maadili katika serikali ya awamu ya 5

Balozi Humphrey Hesron Polepole pia alilalamikia kutovuka kwa maadili na sera za chama tawala CCM akiashiria hususan mchakato wa uteuzi wa wagombea ndani ya Chama uliomalizika hivi karibuni.

d1029dbc901f386357fd53f5680e7552e0ee30efb39bbb5e66f6f0e05ff3204a main 1

12 Julai, 2025

Umoja wa Mataifa umesitisha msaada wa chakula Afrika Magharibi na Kati kutokana na uhaba wa ufadhili

WFP inasema inahitaji dola milioni 494 kugharamia nusu ya pili ya 2025, lakini fedha hizo zimepungua kabisa, na hivyo kulazimika kuyapa kipaumbele makundi yaliyo hatarini zaidi.

439d3c5ff94f21348286c2a55f90f9d8107b76bfec0cf0ddcc943dea79f1503b

12 Julai, 2025

Boeing yamfidia mwanamume ambaye familia yake ilikufa katika ajali ya Ethiopian Airlines

Familia ya Paul Njoroge ilikuwa ikielekea Kenya Machi 2019 kwa kutumia ndege ya Ethiopian Airlines Flight 302 ilipopata hitilafu na kudondoka chini.

08221cab58fc3997ad9d88157c36242fb0a891b77977604995d861dfb3c21dc3

12 Julai, 2025

Ugiriki yapitisha marufuku ya kuwapa hifadhi wakimbizi kutoka Afrika kupitia ufuo wa Libya

Inaashiria ugumu zaidi wa msimamo wa Ugiriki dhidi ya wahamiaji chini ya serikali ya mrengo wa kulia ya Waziri Mkuu Kyriakos Mitsotakis, ambayo imejenga uzio kwenye mipaka yake ya kaskazini mwa nchi kavu.

b6474c073e8da56797564c943ec9cffac2a5322951eb303a08a1d3a15af87891

12 Julai, 2025

Zambia inawataka raia walio ng’ambo bila viza halali kurejea nyumbani

Taifa hilo la Kusini mwa Afrika ni miongoni mwa nchi 36 ambazo utawala wa Trump unapanga kuongeza marufuku ya kusafiri

bb04ea6375cc4eaf24bae8d748ff3dc2b781a731bf2ce1f84d34b463c3290d08
Inapakia...