25 Februari, 2026

Cameroon Yatetea Kifo cha Mwanasiasa wa Upinzani Ekane Kama Cha Asili

Anicet Ekane, aliyekamatwa baada ya uchaguzi wa urais, amefariki akiwa kizuizini huku serikali ikisema chanzo ni sababu za kiafya.

426

25 Februari, 2026

Tunji Disu Ateuliwa Kuongoza Polisi Nigeria Baada ya Kujiuzulu kwa Egbetokun

Rais Bola Tinubu amemchagua Disu kuwa Kaimu Inspekta Jenerali wa Polisi, wakati taifa linakabiliwa na changamoto kubwa za usalama.

425

24 Februari, 2026

Moto katika uwanja wa ndege wa Cape Town nchini Afrika Kusini wasitisha safari kadhaa

Moto ulizuka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town siku ya Jumanne, na kusababisha abiria kuhamishwa pamoja na kuvuruga safari za kimataifa za kwenda na kutoka katika mji maarufu wa kitalii wa Cape Town.

1ad1412f4038f6850ee454b857a404d738b6085a1b5d116b99a430a35aa5961a

24 Februari, 2026

Msemaji wa M23, Willy Ngoma, auawa katika shambulio la droni mashariki mwa DRC

Msemaji wa kundi la waasi la M23 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Willy Ngoma, ameuawa katika shambulizi la ndege zisizo na rubani mashariki mwa DRC siku ya Jumanne.

9687c2402270844cdfbacd2959053935da2768e7e045e823b2e3f25e8451d936

24 Februari, 2026

Uharibifu mkubwa Chuo Kikuu cha Kordofan Sudan baada ya shambulizi la anga la RSF

Makundi ya kutetea haki za binadamu yanasema kushambulia taasisi za elimu ni ukiukaji wa sheria za kimataifa

2025 05 28t115913z 210741444 rc2q5ea7nuyt rtrmadp 3 sudan politics infrastructure

24 Februari, 2026

Afrika Kusini kubatilisha viza 2,000 zilizopatikana kwa njia isiyo sahihi baaada ya uchunguzi

Ripoti imeonesha mfumo wa uhamiaji wa Afrika Kusini umetumiwa vibaya kwa miaka na kundi la maafisa wachache ambao wamejitajirisha kwa kupokea malipo kwa kutoa viza.

abb518929461fef84b81b7ad6379b9440cb90d20b2d4d5b0d5545686f0c7ee0d

23 Februari, 2026

Rais Sisi wa Misri awasili Saudi Arabia kwa ‘ziara ya kindugu’

Rais wa Misri alipokelewa na mwanamfalme wa Saudia katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa King Abdulaziz mjini Jeddah.

272953c90c2a438fd9d0e326b3f367105cdd0c2c1f1247ec05bea6a808f642f7

23 Februari, 2026

Mpaka wa Burundi na DRC wafunguliwa tena baada ya kufungwa kwa miezi miwili

Mpaka wa Kavimvira–Gatumba ni eneo la kimkakati linalounganisha Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na mji mkuu wa kibiashara wa Burundi, Bujumbura.

e67efae1fd357a432aa0e708d4d6521e8d8daf60378a3865dfe69498f0d74245

23 Februari, 2026

AU inataka kuchukuliwa kwa ‘hatua za pamoja’ baada ya watu zaidi ya arobaini kuuawa nchini Nigeria

Shambulio la Zamfara ambalo ni la hivi karibuni katika mfululizo wa matukio ya vurugu ambayo yameonyesha changamoto za usalama nchini Nigeria.

2c6d1931c32a461d32fa96b60401d2031f518e300715ca703b2ce645922df8df

23 Februari, 2026

Mafuriko makubwa Maniema yaacha maelfu bila makazi

Zaidi ya familia 2,500 zimeathirika baada ya mito kufurika na kuharibu vijiji mashariki mwa DRC.

424
Inapakia...