Mwakilishi wa kudumu wa Ghana katika United Nations, Samuel Yao Kumah, ametoa wito kwa mataifa wanachama kuunga mkono azimio la kutambua biashara ya utumwa ya Atlantiki kama uhalifu mkubwa zaidi dhidi ya ubinadamu.
Amesema azimio hilo linalenga kuimarisha juhudi za fidia, hasa kwa nchi za Karibiani, na pia kusaidia kushughulikia athari za kihistoria ambazo bado zinaathiri dunia hadi leo.
CHANZO: TRT Afrika














