Tokyo Yaanza Msimu wa Sakura Ueno Park

Wapenzi wa maua ya cherry wanakusanyika Ueno Park, Tokyo kwa picnic huku msimu wa sakura ukianza rasmi.
27 Mechi, 2026
Mapacha Adimu wa Sokwe Wakubwa Wazaliwa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Mapacha wa pili adimu wa sokwe wakubwa wamezaliwa katika hifadhi ya wanyamapori karibu na Goma nchini DR Congo.
25 Mechi, 2026
Wavuvi Senegal Waathiriwa na Uvuvi wa Viwandani na Haramu

Wavuvi wadogo nchini Senegal wanakabiliwa na changamoto kubwa kutokana na uvuvi wa viwandani na haramu unaopunguza samaki baharini.
24 Mechi, 2026
Kutoka Kahawa hadi Misitu: São Tomé and Príncipe Yaendeleza Urejeshaji wa Mazingira

Mradi wa kurejesha misitu nchini São Tomé na Príncipe unatumia kilimo cha kahawa kusaidia kuhifadhi mazingira na kuboresha maisha ya wakulima.
23 Mechi, 2026

Dunia yashuhudia miaka 11 ya joto kali zaidi kwenye rekodi

Kenya yakumbwa na mafuriko makubwa, watu 81 wafariki

Mvua kubwa nchini Malawi yasababisha vifo vya takriban watu 13

Siku ya Ustawi kwa Kobe Walio Hatarini katika Nyíregyháza Zoo

Watu 62 Wafariki Katika Mafuriko Kenya
12 Mechi, 2026
Tanzania: Zoezi la kuhama eneo la hifadhi ya Ngorongoro halijafanikiwa
Serikali ya nchi hiyo imekuwa ikihamisha jamii kwenda maeneo yaliyotengwa, kama vile Handeni mkoani Tanga, ili kupunguza mgongano kati ya binadamu na wanyamapori na kuimarisha uhifadhi.

11 Mechi, 2026
Mvua Kubwa Yasababisha Mafuriko na Vifo Ethiopia
Hali kama hiyo imeshuhudiwa katika mataifa mengine katika ukanda wa Afrika Mashariki katika siku za hivi karibuni.

11 Mechi, 2026
Zanzibar kuanza kununua mchanga Tanzania bara kwa miradi ya maendeleo
Serikali ya Zanzibar imesema itanunua mchanga kutoka Tanzania Bara ili kusaidia utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo na kulinda mazingira ya visiwa hivyo.

23 Februari, 2026
Mafuriko makubwa Maniema yaacha maelfu bila makazi
Zaidi ya familia 2,500 zimeathirika baada ya mito kufurika na kuharibu vijiji mashariki mwa DRC.

21 Januari, 2026
Mafuriko yaua watu watano Tunisia na Algeria
Mvua kubwa na mafuriko yameua watu watano Tunisia na Algeria.

16 Januari, 2026
Mafuriko ya Afrika Kusini yaacha vifo na kufunga Kruger Park, Mozambique pia yahadharishwa
Mafuriko haya yameacha vifo na kuathiri mamia ya watu, huku Kruger Park ikifungwa.

15 Januari, 2026
Utafiti: Moshi wa moto Amazon unaweza kuchochea ukuaji wa misitu
Moshi wa moto wa Amazon hubeba fosforasi inayofanya kazi kama mbolea ya asili.

13 Januari, 2026
Tahadhari Afrika Kusini: Mamba na Viboko Waonekana Baada ya Mafuriko
Serikali ya Afrika Kusini imeonya wakazi wa mkoa wa Limpopo kuwa waangalifu kufuatia mvua kubwa zilizosababisha mafuriko.

29 Desemba, 2025
Mvua na dhoruba zaharibu zaidi ya nyumba 150 katika jimbo la KwaZulu-Natal
Mvua na dhoruba kali zimeacha uharibifu mkubwa katika KwaZulu-Natal.

29 Desemba, 2025
Tahadhari ya Hali ya Hewa: Mvua Kubwa Zatarajiwa Katika Mikoa 20 Tanzania
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetoa onyo la mvua kubwa zitakazonyesha katika mikoa 20 ya nchi.


