Shirikisho la Soka la Misri limeiomba FIFA kuzuia uhamasishaji au shughuli zinazohusiana na LGBT wakati wa mechi ya Kombe la Dunia 2026 kati ya Misri na Iran itakayofanyika Marekani. EFA limesema ombi hilo linalenga kuheshimu tamaduni na imani za mashabiki wa pande zote mbili na kuhakikisha mechi inabaki kuwa ya michezo pekee, bila kuingiza masuala ya kijamii au kisiasa.
CHANZO: TRT Afrika














