Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Taifa la Uturuki (MIT), Ibrahim Kalin, amekutana na Khalil al-Hayya pamoja na ujumbe wa Hamas jijini Ankara.
Mazungumzo hayo yalijikita katika hali inayoendelea katika Gaza, hasa mashambulizi ya Israel na kuzorota kwa hali ya kibinadamu.
Pia walijadili vurugu za walowezi katika Ukingo wa Magharibi pamoja na vikwazo katika Msikiti wa Al-Aqsa.
CHANZO: TRT Afrika














