Shambulio la Marekani Venezuela Lazua Mvutano Mkubwa wa Kimataifa

“Operesheni hii ilitekelezwa kwa ufanisi wa hali ya juu na imeonesha uwezo wa kijeshi wa Marekani kama ambavyo haujawahi kushuhudiwa,” alisema Rais wa Marekani Donald Trump.
5 Januari, 2026
Mashambulizi ya Marekani nchini Venezuela yaliua takriban watu 40: ripoti

Afisa mkuu wa Venezuela ameliambia gazeti la New York Times kwamba raia na wanajeshi waliuawa wakati wa operesheni ya Marekani iliyomlenga Rais Nicolas Maduro.
4 Januari, 2026
Mwanabondia Anthony Joshua arejea Uingereza baada ya ajali ya gari Nigeria

Bingwa huyo mara mbili wa uzani wa juu alipata majeraha madogo katika ajali hiyo na aliruhusiwa kutoka hospitalini siku ya Jumatano baada ya kushauriwa kujiuguza nyumbani.
4 Januari, 2026
Shutuma za kimataifa zaongezeka kutokana na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Venezuela

Viongozi wa kikanda, wabunge wa Marekani na Uingereza, Urusi na Umoja wa Ulaya watoa onyo juu ya hatua ya kijeshi “kubwa” ya Washington na kuonya juu ya kuzorotesha hali na malalamiko ya raia.
3 Januari, 2026

Trump: Operesheni ya Marekani Yamwondoa Maduro na Mkewe Nchini Venezuela

Milipuko yatikisa Caracas kufuatia onyo la Trump la kushambulia Venezuela

Mahakama ya Marekani Yasitisha Mpango wa Trump wa Kufuta Ulinzi kwa Wahamiaji wa Sudan Kusini

Israel Yaanza Hatua za Kufuta Vibali vya Mashirika ya Misaada Gaza na Ukingo wa Magharibi

Marekani Yapitia Upya Uraia wa Baadhi ya Wasomali kwa Tuhuma za Udanganyifu
29 Desemba, 2025
Trump na Netanyahu wakutana Florida kujadili Iran na mustakabali wa Gaza
Mazungumzo kati ya Marekani na Israel yanalenga kuamua mustakabali wa Gaza na usalama wa eneo lote.

29 Desemba, 2025
China yakemea vikali Israel kwa kutambua Somaliland, yatetea umoja wa Somalia
Hakuna nchi inayopaswa kuunga mkono au kuchochea kujitenga kwa taifa lingine.

29 Desemba, 2025
China yatoa onyo kwa Taiwan kupitia mazoezi makubwa ya kijeshi
Mazoezi haya ni onyo kali kwa vikosi vinavyotishia umoja wa China.

29 Desemba, 2025
Msiba wa reli Oaxaca: Treni yaanguka, watu 13 wafariki Mexico
Ajali hii ni msiba mkubwa kwa taifa letu.

29 Desemba, 2025
Marekani yatangaza msaada wa dola bilioni 2 kwa Umoja wa Mataifa huku ikipunguza misaada ya kigeni
Marekani imetangaza ahadi ya dola bilioni 2 kwa misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa.

29 Desemba, 2025
Uingereza yaweka masharti magumu ya viza kwa raia wa DRC kutokana na changamoto za urejeshaji wahamiaji
Uingereza imeamua kuweka vizuizi vya viza kwa raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ushirikiano mdogo katika kurejesha wahamiaji haramu.

28 Desemba, 2025
Uingereza: Angola na Namibia zakubali kupokea wahamiaji waliorejeshwa
Angola na Namibia zimekubali kupokea wahamiaji waliorejeshwa baada ya Uingereza kutishia kuweka vikwazo vya viza.

26 Desemba, 2025
Watu 6 wameuwa Syria kufuatia shambulio la msikitini wakati wa swala ya Ijumaa
Kwa mujibu wa shirika la habari la serikali ya Syria (SANA), mlipuko uliotokea ndani ya msikiti uliua watu sita na kujeruhi wengine 21. Iliongeza kuwa uchunguzi unaendelea kubaini chanzo cha mlipuko huo.

25 Desemba, 2025
Papa Leo azungumzia madhila ya Gaza katika mahubiri ya Krismasi yake ya kwanza
Papa Leo XIV alitoa mfano wa moja kwa moja kuhusu simulizi za Krimasi na familia za watu wa Palestina zinazoishi kwenye mahema huku kukiwa na vita na wengine kuondoka katika makazi yao Gaza

25 Desemba, 2025
Marekani yaelekeza jeshi kusimamia vikwazo vya mafuta dhidi ya Venezuela
“Serikali imeamua kuelekeza nguvu zake katika mbinu za kiuchumi badala ya kutumia nguvu za kijeshi kwa sasa,” ilielezwa.



