Afrika Usalama

Jeshi laingia mitaani Johannesburg kukabiliana na magenge ya uhalifu

Hii ni mara ya kwanza kwa idadi kubwa ya wanajeshi kutumwa tangu Rais Cyril Ramaphosa aliposema kuwa magenge ya wahalifu ni tishio kubwa kwa demokrasia Afrika Kusini na maendeleo ya kiuchumi.

Newstimehub

Newstimehub

11 Mechi, 2026

19e24384583fae5d5edfffea167b3e5e7d712ecf63a9176acae52226116e6178

Wanajeshi wamepelekwa katika mitaa ya mji mkubwa zaidi nchini Afrika Kusini siku ya Jumatani baada ya rais kutangaza mwezi uliopita kuwa ataagiza wanajeshi kusaidiana na polisi katika kukabiliana na vurugu za magenge na uchimbaji haramu wa madini.

Nchi hiyo ina kiwango kikubwa cha mauaji karibu watu 60 huuawa kila siku ikiwemo mapigano kati ya magenge ya dawa za kulevya katika maeneo ya mji wa Cape Town na kufyatuliana risasi kunakohusishwa na uchimbaji haramu wa madini katika mji wa mkoa wa Gauteng, Johannesburg.

Chanzo:TRT Afrika