Umoja wa Mataifa: Uchumi wa Afrika utaendelea kukua mwaka 2026 licha ya changamoto za kimataifa

Uchumi wa Afrika, ambao ulikua kwa 3.5% mwaka 2024 na 3.9% mwaka 2025, unatarajiwa kufikia 4% mwaka 2026.
22 Januari, 2026
Sudan yafungua tena Ukumbi wa Taifa baada ya ukarabati, ikitangaza kurudi kwa roho ya utamaduni wa Khartoum

Kufunguliwa tena kwa Ukumbi wa Taifa ni tangazo la kurudi kwa roho ya utamaduni wa Khartoum.
21 Januari, 2026
Botswana yaonya ziada ya almasi kudhoofisha uchumi wake

Botswana yashikilia karati milioni 12, mara mbili ya kiwango kilichowekwa.
21 Januari, 2026
Bobi Wine: Si kosa kupinga utawala wa Museveni

Mimi si mhalifu bali mgombea Urais na sio hatia kugombea dhidi ya baba yake.
21 Januari, 2026

Wafanyakazi wa anga Kenya watishia kufunga anga baada ya notisi ya mgomo wa siku 7

Tanzania na Marekani kushirikiana katika utafiti na uwekezaji wa madini muhimu

DRC yaorodhesha miradi ya madini kwa wawekezaji wa Marekani

Polisi wa Nigeria wakiri utekaji wa waumini Kaduna baada ya kukanusha awali

Mashabiki wajaa Dakar kusherehekea ubingwa wa AFCON wa Senegal
21 Januari, 2026
Mafuriko yaua watu watano Tunisia na Algeria
Mvua kubwa na mafuriko yameua watu watano Tunisia na Algeria.

20 Januari, 2026
Katibu Mkuu wa kwanza wa EAC Edwin Mtei kuzikwa Januari 24
Kulingana na Mashinda Mtei, ambaye ni mtoto wa Gavana huyo wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Mzee Mtei anatarajiwa kupumzishwa katika kata ya Ambureni, eneo la Tengeru, Arusha, Jumamosi ya Januari 24.

20 Januari, 2026
Tanzania yapanda juu nafasi mbili viwango vya ubora wa soka vya FIFA
Kulingana na orodha hiyo ya ubora ya FIFA, Tanzania imevuna jumla ya alama 1186.14 kutoka alama 1181.22, ilizokuwa nazo awali.

20 Januari, 2026
Sisi akutana na Trump Davos kujadili Gaza na mzozo wa Bwawa la Nile
Huu utakuwa mkutano wa kwanza wa viongozi hawa wawili tangu Marekani itangaze mpango wa kumaliza vita vya Gaza.

20 Januari, 2026
Mfalme Mohammed VI ajiunga na “Baraza la Amani” lililoanzishwa na Trump kama mwanachama mwanzilishi
Baraza la Amani litachangia juhudi za amani Mashariki ya Kati na kupendekeza mbinu mpya za kutatua migogoro duniani.

20 Januari, 2026
Afya ya Besigye yazua wasiwasi, chama chake chataka hatua za haraka
Besigye alipelekwa usiku katika kituo cha afya jijini Kampala.

20 Januari, 2026
Somalia na Qatar zasaini makubaliano mapya ya ushirikiano wa kijeshi
Makubaliano mapya yanalenga kuimarisha ushirikiano wa kijeshi na uratibu wa kiusalama.

20 Januari, 2026
ICC: Ushahidi wa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binadamu Darfur, Sudan
“Ushahidi unaonyesha mifumo ya ukatili El Geneina 2023 imejirudia Al Fasher 2025.” — ICC

20 Januari, 2026
Jeshi la DRC lachukua tena udhibiti wa Uvira baada ya M23 kujiondoa
Jeshi la DRC limechukua tena udhibiti wa mji wa Uvira baada ya M23 kujiondoa.

20 Januari, 2026
Madagascar: Wanasiasa wawili wa karibu na Rajoelina wakabiliwa na mashtaka ya kuhatarisha usalama wa taifa
“Marie Michelle Sahondrarimalala alipelekwa gerezani Avaradrano baada ya kuhojiwa na polisi wa kiuchumi na kuwasilishwa mbele ya Mahakama Kuu.”


