Tanzania: Gharama za petroli zazidi kupungua

Kulingana na EWURA, kwa sasa petroli itauzwa kwa Dola 1.46 (Shilingi 3,898) dizeli Dola 1.50 (Shilingi 3,978) kwa lita, kufuatia marekebisho hayo ya be.
5 Agosti, 2026
Uganda kuweka uzio wa umeme kupambana na wanyamapori waharibifu

Mpango huo, unalenga kupambana na changamoto ya migongano kati ya binadamu na wanyamapori, kulingana na waziri wa utalii wa nchi hiyo, Susan Nakawuki.
5 Agosti, 2026
Misri ‘yaigomea’ Ethiopia kujenga mabwawa mapya ndani ya mto Nile

Uamuzi huo, unatokana na mgogoro unaotakana na Ethiopia, kudaiwa kukiuka makubaliano yaliyowekwa ndani ya mkataba wa GERD, kwa mujibu wa Waziri wa Umwagiliaji wa Misri, Hani Sewilam.
5 Agosti, 2026
Shughuli za Uwanja wa ndege wa Cape Town zatatizika baada ya ndege ya Kenya Airways kupata hitilafu

Kutokana na hali hiyo, ndege zote zinazotarajiwa kuwasili katika uwanja huo zimeelekezwa kwenye viwanja vingine vya ndege.
4 Agosti, 2026

Rais Ruto wa Kenya awajumuisha rasmi wazee wa vijijini 106,000 katika mfumo wa utawala wa kitaifa

WHO yaomba msaada wa ziada kukabiliana na mlipuko wa Ebola nchini DRC

Kenya yazindua bima ya lazima kwa watalii

14 wafariki katika maporomoko ya ardhi nchini Ethiopia

Joto kali laua simba watatu nchini Japan
3 Agosti, 2026
Dar kuwaleta pamoja wanahisa wa Afrika
Mkutano huo wa siku mbili unatarajiwa kuwakutanisha zaidi ya washiriki 1,000 wakiwemo wakuu wa nchi, mawaziri, wawekezaji, taasisi za fedha za maendeleo, viongozi wa sekta binafsi na wataalamu wa miundombinu kutoka Afrika na kwingineko.

3 Agosti, 2026
Naibu Waziri Mkuu wa Somalia aukana uraia wa Kenya kufuatia mzozo katika uwanja wa ndege
Jibril Abdirashid Haji anasema uamuzi huo haukulenga kuipinga Kenya, bali unaakisi chaguo lake la kuhudumu kama raia wa Somalia pekee kufuatia mzozo kuhusu pasipoti yake ya Kenya.

3 Agosti, 2026
Vikosi vya Nigeria vyatibua mashambulizi ya kigaidi katika kambi ya jeshi
Jeshi limeeleza kuwa shambulio hilo lililotibuliwa kama hatua nyingine muhimu katika kukabiliana na magaidi.

3 Agosti, 2026
Morocco yatangaza hali ya dharura mikoani huku moto ukisambaa misituni
Morocco kumekuwa na matukio 310 ya moto wa misituni kati ya mwanzo wa mwaka na Julai 20, kuteketeza hekta karibu 1,850 ikiwa ni sawa na ekari 4,571.

2 Agosti, 2026
WHO yatoa wito wa mifumo imara ya afya ili kuimarisha unyonyeshaji watoto
Shirika la afya duniani linasema kwamba unyonyeshaji unasalia kuwa mojawapo ya njia bora zaidi za kulinda afya na ukuaji wa watoto wachanga huku pia ukitoa faida kubwa za kiafya kwa akina mama.

2 Agosti, 2026
Wafungwa 50 watoroka kutoka gereza la Luebo DRC
Angalau wafungwa 50 walitoroka kutoka gereza moja katika jimbo la Kasai nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, maafisa walisema.

2 Agosti, 2026
Idadi ya waliofariki Ceuta yapanda hadi 72 huku zaidi ya wahamiaji 48,000 wakirejea Morocco
Idadi ya vifo kutokana na mzozo wa wahamiaji katika eneo la Hispania la Ceuta imefikia 72, huku zaidi ya wahamiaji 48,300 wakirejea nchini Morocco.

2 Agosti, 2026
Rais Samia Suluhu Hassan aihimiza Afrika kuondoa utegemezi wa huduma za afya kwa nchi za nje
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Hospitali ya Rufaa ya Julius Nyerere jijini Luanda, Angola, Rais Samia alisema kituo hicho kipya kinapaswa kuwa “kitovu cha umahiri katika tiba, mafunzo na utafiti.”

1 Agosti, 2026
Tanzania yanyakua ubalozi wa Afrika katika shindano la urembo la ‘Miss Supranational 2026’
Ushindi wa Tracy Nabukeera kama Balozi wa Bara la Afrika unaonekana kuimarisha hadhi ya Tanzania katika mashindano ya urembo ya kimataifa na kuangazia ushiriki wa nchi hiyo unaozidi kukua katika jukwaa la dunia.

1 Agosti, 2026
Marekani kufanya sharti la amana ya viza ya dola 20,000 kwa wageni kutoka Afrika kuwa la kudumu
Kulingana na rasimu ya taarifa, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani inasema kuwa mpango huo unahakikisha kwa ufanisi uzingatiaji wa masharti ya viza.



