8 Mei, 2026

Umoja wa Mataifa unasema msaada kwa watu wa Somalia huenda ukasitishwa mwezi Juni

Somalia inakabiliwa na matatizo kadhaa, ikiwemo mashambulizi ya kigaidi ya kundi la Al-Shabaab dhidi ya serikali kuu.

c386d1c58f16ecab57168874c58800bdfd68f091e8f5cf52844a838c56557fbd

8 Mei, 2026

Rais wa zamani wa Botswana Festus Mogae afariki dunia akiwa na umri 86

Festus Mogae aliongoza taifa hilo la kusini mwa Afrika kwa mwongo mmoja kuanzia 1998 na anakumbukwa kwa kuimarisha ukuaji wa uchumi na kukabiliana na maambukizi ya UKIMWI.

e111bd10e4c8cb8d2bcbaaeb5975fa351d7186c30795f8e83c437c840c3d5ecb

8 Mei, 2026

Mahakama ya Afrika Kusini ‘yafufua’ kesi ya kumng’oa madarakani Rais Cyril Ramaphosa

Ramaphosa anatuhumiwa kukwepa mamlaka za kodi za nchi hiyo, kuhusika na wizi wa fedha za kigeni ambazo baadaye anadaiwa kuzificha alizificha kwenye ranchi yake iliyopo Kaskazini mwa Jimbo la Limpopo.

734b20d7a9657556de2abd46fb9a2d7322f4ba9bd7620d903a5b29a7bc6160d5

8 Mei, 2026

Uganda yataka Umoja wa Ulaya kuheshimu nchi za Afrika

Hii ni baada ya Bunge la Ulaya kumuita balozi wa Uganda ili ajibu malalamiko yaliyotolewa kuhusu ghasia zilizotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Januari 2026.

6d2d9a6d5151b9416f90d9c14697fe4fc7d14d646168b2b766709149ddb9f64e

8 Mei, 2026

Zaidi ya watengeneza maudhui 200 wa Afrika wakutana Ethiopia

Mbali na kujenga mahusiano ya kikazi, mkutano huo unalenga kushirikiana katika kutengeneza maudhui na kuielezea taswira halisi ya bara la Afrika duniani.

a0aff0bb541c2646f0328bd010c2b63672f79a14b87ae5dc16b1801a3b205efe

8 Mei, 2026

Wachimba dhahabu haramu wamekwama chini ya ardhi kufuatia mporomoko wa mgodi Zambia

Zambia inaendelea na juhudi za kudhibiti uchimbaji haramu wa madini, hasa madini ya thamani kama dhahabu.

811f0fcecd3921202de7a5c1e2848cbb3715dce15937fbd10012697e60661cd8

7 Mei, 2026

Uturuki na Algeria wasisitiza ushirikiano wa kimkakati wakati wa mkutano wa Erdogan-Tebboune

Uturuki na Algeria wameeleza dhamira ya kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kufuatia mkutano kati ya Marais Recep Tayyip Erdogan na Abdelmadjid Tebboune siku ya Alhamisi.

c0d7d01713c8ced1d2eeca3131aa52c23dcaa023a473d4be4e12aafd2365ca1e

7 Mei, 2026

Rais wa DRC asema yuko tayari kugombea muhula wa tatu ‘kama wananchi watataka’

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi amesema yuko tayari kugombea muhula wa tatu iwapo wananchi wataidhinisha pendekezo hilo.

c97119096914902843a1655dedf662a7873abb76973de77cc475f262acdbfb41

7 Mei, 2026

Umoja wa Mataifa unaonya kuhusu hali tete eneo linalozozaniwa kati ya Sudan na Sudan Kusini

Afisa mmoja mwandamizi wa Umoja wa Mataifa ameonya Baraza la Usalama kuwa hali ya usalama katika eneo linalozozaniwa la Abyei kati ya Sudan na Sudan Kusini imekuwa mbaya zaidi katika kipindi cha miezi sita iliopita.

41dedc41fdf389f56ede53fe13a1b411dcbb4de0a6e061be2df964ca905fa71f

7 Mei, 2026

Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amtimua Waziri wa Fedha baada ya siku kadhaa ofisini

Waziri wa Fedha alikuwa ameshika wadhifa huo kwa chini ya wiki mbili, huku kipindi cha Mkuu wa Keshi kilikubwa na kuongezeka kwa hali ya ukosefu wa usalama.

south sudan explainer 16209
Inapakia...