Jeshi la Sudan lachukua udhibiti wa maeneo muhimu kutoka kwa RSF karibu na mpaka wa Ethiopia

Jeshi linasema kuwa vikosi vyake vimechukua tena udhibiti wa eneo la Al-Silk katika jimbo la Blue Nile
26 Januari, 2026
Ethiopia yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa ugonjwa wa Marburg

Tangu kuzuka kwa ugonjwa huo, takriban watu 14 walithibitishwa kuambukizwa kati yao 9 walifariki wakiwemo wafanyakazi wawili wa afya na wengine 5 walitibiwa na kupona.
26 Januari, 2026
Sudan Kusini yaamuru kuhamishwa kwa maafisa wa UN katika kaunti tatu kabla ya opresheni ya kijeshi

Serikali ya Sudan Kusini imesema operesheni ya kijeshi iliyopewa jina la “Operation Enduring Peace” iko karibu kuanza.
26 Januari, 2026
Kusini mwa Afrika: Usafiri wa shule binafsi wasimamishwa kufuatia msako wa vibali baada ya ajali mbaya

Usafiri wa shule binafsi wasimamishwa North West, Afrika Kusini.
26 Januari, 2026

Benki ya Dunia na Qatar kushirikiana kusambaza umeme kwa watu milioni 300 Afrika

Burhan: Amani Sudan haiwezekani bila kuondolewa RSF

Macron ataka kuunda upya uhusiano wa Ufaransa na Afrika

Marekani yaongeza msaada wa kijeshi na kijasusi kwa Nigeria

Libya yaongeza uzalishaji wa mafuta hadi kiwango cha rekodi
25 Januari, 2026
Somalia yashukuru Uturuki kwa msaada wa usalama na kupambana na ugaidi
Waziri Mkuu Hamza Abdi Barre asema Uturuki ni mshirika wa kimkakati.

25 Januari, 2026
Wanawake waathirika wakuu wa ukatili wa vita Sudan
Wizara imerekodi zaidi ya visa 1,800 vya ubakaji hadi Oktoba 2025.

25 Januari, 2026
Uturuki na Nigeria kujadili biashara na ushirikiano wa ulinzi
Mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Nigeria watakutana kujadili biashara na ulinzi.

25 Januari, 2026
Polisi wa Kenya wanawakamata washukiwa 2 na zaidi ya Kilo 110 za meno ya tembo, mpaka wa Namanga
Watu hao wawili walikamatwa kwenye kivuko cha mpaka cha Namanga walipokuwa wakijaribu kuuza pembe hizo zinazokadiriwa kuwa dola 86,000 za Marekani.

25 Januari, 2026
Misri inaitaka Israel iondoke Gaza, na kufungua tena kivuko cha Rafah
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty ametoa wito wa Israel kuondoka Gaza, pamoja na kufunguliwa tena kwa kivuko cha mpaka cha Rafah ili kutimiza makubaliano ya mwaka jana ya kusitisha mapigano.

25 Januari, 2026
Mashambulizi ya bomu yasababisha watu wengi kuhama makazi yao Sudan Kusini
Kukadiria idadi ya vifo haiwezekani kwani raia wengi wanasalia kujificha msituni huku kukiwa na ongezeko la ghasia, kiongozi wa jumuiya ya kiraia anasema.

25 Januari, 2026
Mkuu wa WHO anasema Marekani ilitoa sababu za uongo kujiondoa uanachama
Tedros Adhanom Ghebreyesus anasema anatumai Marekani itarejea katika ushiriki kikamilifu katika WHO katika siku zijazo.

24 Januari, 2026
Mkuu wa afya Afrika atangaza dharura ya afya ya mpox imekwisha
Mpox sio tena dharura ya afya ya umma katika bara hilo, mkuu wa Afrika CDC alisema, akitaja ugunduzi ulioimarishwa, tiba na usambazaji wa chanjo.

24 Januari, 2026
WHO yaonya kuhusu mlipuko wa magonjwa ya maji katika maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko
Mafuriko yameathiri maeneo ya Malawi, Msumbiji, Afrika Kusini, Tanzania, Zambia na Zimbabwe. WHO imeomba mahitaji ya dharura ya kibinadamu kama makazi, maji salama na upatikanaji wa huduma muhimu za afya.

24 Januari, 2026
Rais wa Côte d’Ivoire Ouattara amteua kaka yake kama makamu wa waziri mkuu
Kakake rais, Tene Birahima Ouattara, atashikilia nafasi hiyo mpya pamoja na wizara ya ulinzi.




