25 Januari, 2026

Somalia yashukuru Uturuki kwa msaada wa usalama na kupambana na ugaidi

Waziri Mkuu Hamza Abdi Barre asema Uturuki ni mshirika wa kimkakati.

357

25 Januari, 2026

Wanawake waathirika wakuu wa ukatili wa vita Sudan

Wizara imerekodi zaidi ya visa 1,800 vya ubakaji hadi Oktoba 2025.

356

25 Januari, 2026

Uturuki na Nigeria kujadili biashara na ushirikiano wa ulinzi

Mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki na Nigeria watakutana kujadili biashara na ulinzi.

354

25 Januari, 2026

Polisi wa Kenya wanawakamata washukiwa 2 na zaidi ya Kilo 110 za meno ya tembo, mpaka wa Namanga

Watu hao wawili walikamatwa kwenye kivuko cha mpaka cha Namanga walipokuwa wakijaribu kuuza pembe hizo zinazokadiriwa kuwa dola 86,000 za Marekani.

8af4ff07f0cd0727bfa710979aabfd407e9a6f8f3d5a9c72ddb3cd651cc57d7a

25 Januari, 2026

Misri inaitaka Israel iondoke Gaza, na kufungua tena kivuko cha Rafah

Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Badr Abdelatty ametoa wito wa Israel kuondoka Gaza, pamoja na kufunguliwa tena kwa kivuko cha mpaka cha Rafah ili kutimiza makubaliano ya mwaka jana ya kusitisha mapigano.

2025 10 17t131819z 1 lynxnpel9g0nj rtroptp 3 israel palestinians egypt main

25 Januari, 2026

Mashambulizi ya bomu yasababisha watu wengi kuhama makazi yao Sudan Kusini

Kukadiria idadi ya vifo haiwezekani kwani raia wengi wanasalia kujificha msituni huku kukiwa na ongezeko la ghasia, kiongozi wa jumuiya ya kiraia anasema.

6fe50b92aedf62775579c825cee1dc6a328dcd84470de96a803a1c536466814f

25 Januari, 2026

Mkuu wa WHO anasema Marekani ilitoa sababu za uongo kujiondoa uanachama

Tedros Adhanom Ghebreyesus anasema anatumai Marekani itarejea katika ushiriki kikamilifu katika WHO katika siku zijazo.

fc3be9e4fec2a55db685aad79c7cf100accc313d79691727b22aa455a17adcb9

24 Januari, 2026

Mkuu wa afya Afrika atangaza dharura ya afya ya mpox imekwisha

Mpox sio tena dharura ya afya ya umma katika bara hilo, mkuu wa Afrika CDC alisema, akitaja ugunduzi ulioimarishwa, tiba na usambazaji wa chanjo.

2025 10 19t131800z 1 lynxnpel9i05d rtroptp 3 health mpox

24 Januari, 2026

WHO yaonya kuhusu mlipuko wa magonjwa ya maji katika maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko

Mafuriko yameathiri maeneo ya Malawi, Msumbiji, Afrika Kusini, Tanzania, Zambia na Zimbabwe. WHO imeomba mahitaji ya dharura ya kibinadamu kama makazi, maji salama na upatikanaji wa huduma muhimu za afya.

095125bef201b9dbc2809d7d7a945adc7b2d842a64d0f7e5bdfb9bcdc255e3b3

24 Januari, 2026

Rais wa Côte d’Ivoire Ouattara amteua kaka yake kama makamu wa waziri mkuu

Kakake rais, Tene Birahima Ouattara, atashikilia nafasi hiyo mpya pamoja na wizara ya ulinzi.

9f6fd99397ee4bf8c020722d42edc16b992ec1740ee422d7ac4c2b64608b8ebc
Inapakia...