Watu Wenye Silaha Watekateka Watoto 23 Kutoka Kituo cha Yatima Nigeria

Watoto 23 wametekwa nyara kutoka kituo cha kulea yatima katikati mwa Nigeria na watu wenye silaha.
27 Aprili, 2026
DRC Yaunda Kikosi Maalum cha Usalama wa Migodi kwa Msaada wa Marekani na UAE

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeanzisha kikosi cha kijeshi kulinda migodi kwa ufadhili wa Marekani na Falme za Kiarabu.
27 Aprili, 2026
Wapiganaji wa Urusi Wathibitisha Kujiondoa Kaskazini mwa Mali Baada ya Mashambulizi ya Waasi

Vikosi vinavyoungwa mkono na Urusi vimejiondoa katika mji wa kaskazini mwa Mali kufuatia mashambulizi ya makundi ya waasi.
27 Aprili, 2026
ECOWAS Yalaani Mashambulizi ya Kigaidi Mali na Kutaka Ushirikiano wa Kikanda

Jumuiya hiyo yasema mashambulizi ya Aprili 25 yanaonesha ukatili wa magaidi na kutishia uthabiti wa Afrika Magharibi.
27 Aprili, 2026

Kim Jong Un Afungua Kumbukumbu ya Wanajeshi Waliofariki Vita vya Ukraine

Meli ya Mizigo Yatekekwa Karibu na Pwani ya Somalia

Rais Erdogan Awasiliana na Trump Kufuatia Jaribio la Shambulio Washington

Donald trump Asema Hakuwa na Hofu Wakati wa Tukio la Risasi Washington

Waziri wa Ulinzi wa Mali Auawa Katika Wimbi la Mashambulizi ya Waasi
26 Aprili, 2026
Wapiganaji wa Kukodi wa Urusi Waondoka Mjini Mali Baada ya Mashambulizi
Wapiganaji wanaohusishwa na Urusi wanaripotiwa kuondoka katika mji mmoja nchini Mali kufuatia mashambulizi ya hivi karibuni.

26 Aprili, 2026
Uturuki Yalaani Mashambulizi ya Kigaidi Mali na Kuahidi Mshikamano
Ankara yatangaza kuendelea kuiunga mkono Mali katika mapambano dhidi ya ugaidi baada ya mashambulizi kadhaa nchini humo.

26 Aprili, 2026
Mashambulizi ya Pamoja Yatikisa Mali, Watu 16 Wajeruhiwa
Makundi yenye silaha yamefanya mashambulizi yaliyoratibiwa katika miji kadhaa ya Mali na kusababisha majeruhi.

26 Aprili, 2026
Umoja wa Afrika Walaani Mashambulizi ya Kigaidi Nchini Mali
AU yasema mashambulizi hayo yanahatarisha maisha ya raia huku mapigano yakitikisa Bamako na maeneo mengine.

25 Aprili, 2026
Milipuko na Risasi Yasikika Huku Makundi ya Silaha Yakishambulia Mali
Mashambulizi yaliyoratibiwa yameripotiwa katika miji kadhaa ya Mali, yakisababisha taharuki kubwa

25 Aprili, 2026
Erdoğan asema Uturuki inafuatilia mzozo wa kikanda kwa “tahadhari yenye matumaini”
Rais wa Uturuki aonya kuhusu hatari ya kuongezeka kwa vita huku akiitaja nchi yake kama nguzo ya uthabiti wa eneo.

24 Aprili, 2026
Wakimbizi wa DRC Waanza Kurejea Nyumbani Kutoka Burundi
Maelfu warejea baada ya hali ya usalama kuanza kuimarika Uvira.

23 Aprili, 2026
Wanajeshi Waua Magaidi 25 Katika Shambulio Lililoshindwa Nigeria
Kamanda mkuu wa Boko Haram auawa katika mapigano Borno.

23 Aprili, 2026
Utata Waibuka Baada ya Ripoti ya Vifo Tanzania
Taarifa ya uchunguzi imezua utata baada ya kutaja idadi ya vifo vinavyodaiwa kuwa si sahihi.

23 Aprili, 2026
Niger Yasitisha Shughuli za Zaidi ya NGO 2,900
Serikali ya kijeshi yasema hatua hiyo inalenga uwazi na kulinda vipaumbele vya taifa.



