Uturuki yaendelea na uchunguzi katika eneo la ajali ya ndege iliyosababisha kifo cha mkuu wa jeshi la Libya

Operesheni za utafutaji na uchunguzi zimeimarishwa tangu alfajiri baada ya hali mbaya ya hewa kuathiri shughuli usiku.
24 Desemba, 2025
Ubalozi wa Uturuki watoa pole kufuatia kifo cha mkuu wa jeshi la Libya

Tumepokea kwa huzuni kubwa taarifa za vifo vya mkuu wa jeshi na maafisa wengine waliokuwa pamoja naye katika ajali hiyo.
24 Desemba, 2025
Uturuki yathibitisha kupatikana kwa kisanduku cheusi cha ndege iliyohusishwa na kifo cha mkuu wa jeshi la Libya

Kisanduku cheusi pamoja na kifaa cha kurekodi sauti za rubani vimepatikana kutoka katika eneo la ajali, na mchakato wa uchunguzi tayari umeanza.
24 Desemba, 2025
Shirika la Uturuki la TİKA laanzisha mradi Msumbiji kuwawezesha wanawake waliokumbwa na vurugu

Mradi huu unalenga kuwapa wanawake walionusurika vurugu fursa ya kujitegemea kiuchumi na kurejea kikamilifu katika maisha ya kijamii.
23 Desemba, 2025

Uturuki yatilia mkazo ushirikiano wa kijeshi na usalama na mataifa ya Afrika

Mabalozi wa Uturuki barani Afrika watembelea Jumba la Utamaduni wa Afrika mjini Ankara

Mauzo ya nje ya bidhaa za ulinzi za Uturuki yaongezeka kwa asilimia 30 katika miezi 11

Erdogan Akutana na Familia ya Hind Rajab, Msichana Aliyeuawa Gaza

Fidan Aonya Uhasama Bahari Nyeusi Unaweza Kutatiza Ulaya
18 Desemba, 2025
Vyuo Vikuu Sita vya Uturuki Vyaingia 100 Bora GreenMetric 2025
Vyuo vikuu sita vya Uturuki vimeorodheshwa miongoni mwa taasisi 100 bora duniani kwa uendelevu katika viwango vya UI GreenMetric 2025.

17 Desemba, 2025
Somalia na Uturuki Zasaini Makubaliano ya Kuimarisha Sekta ya Uvuvi
Somalia na Uturuki zimeingia makubaliano ya kimkakati ya ushirikiano katika sekta ya uvuvi, yakilenga kukuza ajira, kulinda rasilimali za baharini na kuimarisha biashara ya kimataifa.

15 Desemba, 2025
Uturuki yataka kuongeza muda wa wanajeshi wake Libya
“Kutokuwa na uwezo wa kufanya uchaguzi kumeongeza hali ya sintofahamu ya kisiasa na kuhatarisha utulivu nchini Libya,” ilisema hoja ya serikali ya Uturuki.

15 Desemba, 2025
Uturuki Yalaani Shambulio la Ndege Zisizo na Rubani Sudan, Walinda Amani 6 Wauawa
Uturuki imeweka bayana kuunga mkono juhudi za amani nchini Sudan baada ya shambulio la kigaidi lililouwa walinda amani wa Bangladesh sita.

15 Desemba, 2025
Turkish Red Crescent yawasadia waathirika wa mzozo Sudan kwa chakula tani 100
“Sudan inakabiliwa na mgogoro mkubwa wa kibinadamu, na zaidi ya watu milioni 10 wamekimbia makazi yao,” alisema Faruk Aksoy.

15 Desemba, 2025
Uturuki yalaani shambulio la kigaidi Bondi Beach, Sydney
Tunalaani vikali shambulio hili la kigaidi.

15 Desemba, 2025
Erdogan asema ujumbe wa Uturuki kuhusu Gaza ulimwacha athari kwa Trump
Ujumbe wa Uturuki kuhusu Gaza ulimgusa Rais Trump.

11 Desemba, 2025
Türkiye yasukuma kufufuliwa kwa bomba la gesi la Trans-Caspian
Ankara yashinikiza kufufuliwa kwa bomba la kusafirisha gesi ya Turkmenistan kwenda Ulaya, huku nchi za Turkic zikipanua ushirikiano katika gesi, umeme na nishati mbadala.

11 Desemba, 2025
Türkiye yaimarisha mfumo wa kuziendeleza startups kutoka hatua ya kuanzishwa hadi kushindana kimataifa
Waziri Kacir asema sera rafiki kwa ubunifu zimechochea ongezeko la “turcorns” na ukuaji wa sekta za teknolojia

11 Desemba, 2025
Emine Erdogan Asifu Ujasiri wa Waandishi wa Habari Wanawake Gaza
Asema wanahabari hao wanaendeleza “sauti ya ukweli” licha ya hatari za vita.


