Bahrain yapiga marufuku wageni kutoka DRC, Uganda kwa kuhofia ugonjwa wa Ebola

Marufuku hiyo inakuja wakati mataifa hayo matatu yakiwa yameathirika kwa kiasi kikubwa na ugonjwa huo ambao hadi kufikia sasa, umegharimu maisha ya watu zaidi ya 130.
19 Mei, 2026
Rais Samia ataka jamii ielimishwe kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amehudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia barani Afrika (NEISA), unaofanyika mjini Kigali nchini Rwanda Mei 19, 2026.
19 Mei, 2026
Mgomo wa usafiri wa umma Kenya kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta wasitishwa

Mgomo huo wa wahudumu wa usafiri wa umma umesitishwa kwa wiki moja baada ya maandamano ya siku mbili yaliyosababisha vifo vya watu wanne.
19 Mei, 2026
Mjumbe wa zamani wa Ubelgiji anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya Patrice Lumumba afariki

Etienne Davignon, mwenye umri wa miaka 93, aliagizwa mwezi Machi kujibu mashtaka kuhusiana na jukumu lake katika mauaji ya Patrice Lumumba katika koloni ya zamani ya Ubelgiji.
19 Mei, 2026

Mgomo wa usafiri wa umma nchini Kenya waingia siku yake ya pili, wanne wafariki

Tanzania: Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia Oktoba 29

Ugonjwa wa Ebola waahirisha maadhimisho ya Siku ya Mashahidi wa Uganda

Mwanamke aliyechomwa na moto kwa sababu ya kujichora sura ya Rais Ruto afariki dunia

Rais Mwinyi aishukuru Benki ya Dunia kwa kuendelea kuipatia misaada ya maendeleo Zanzibar
18 Mei, 2026
Mgomo wa matatu watatiza usafiri nchini Kenya
Mgomo wa matatu uliochochewa kwa kupanda kwa bei ya mafuta nchini Kenya watatiza usafiri.

17 Mei, 2026
Kenya inadhuria Kongamano kuu la ‘Miji ya Kisasa’ nchini Azerbaijan
Inatumika kama mkutano mkuu wa ulimwengu juu ya maswala ya mijini, inayoangazia jinsi miji inaweza kuwa jumuishi zaidi, thabiti na endelevu kwa mazingira.

17 Mei, 2026
WHO yatangaza mlipuko wa Ebola DRC kama dharura ya kimataifa
WHO ilisema mlipuko uliosababishwa na aina ya Ebola ya Bundibugyo ulikuwa “dharura ya afya ya umma ya wasiwasi wa kimataifa”. Hicho ni kiwango cha pili cha juu cha tahadhari chini ya kanuni za afya za kimataifa.

17 Mei, 2026
Mshukiwa wa mauaji ya kimbari ya Rwanda Felicien Kabuga afariki akiwa kizuizini huko The Hague
Felicien Kabuga, mshukiwa wa Rwanda aliyeshtakiwa kuhusiana na mauaji ya kimbari ya mwaka 1994, amefariki dunia katika hospitali akiwa kizuizini huko The Hague, Uholanzi, mahakama ya Umoja wa Mataifa ilisema Jumamosi.

17 Mei, 2026
Hakuna chanjo ya mlipuko wa hivi punde wa Ebola, DRC yaonya
Mlipuko wa Ebola nchini DRC ambao umesababisha takriban vifo 80 una “kiwango cha juu sana cha vifo” na hakuna chanjo au matibabu maalum, waziri wa afya wa nchi hiyo alionya Jumamosi.

16 Mei, 2026
Sierra Leone kupokea mamia ya Waafrika Magharibi waliofukuzwa kutoka Marekani
Sierra Leone imekubali kupokea maelfu ya wahamiaji wa Afrika Magharibi ambao wanafukuzwa na Marekani.

16 Mei, 2026
Mlipuko wa Ebola wathibitishwa Ituri, DRC na kuenea Uganda
Mlipuko huo unaaminika kuhusisha virusi aina ya Bundibugyo ya Ebola, aina adimu ambayo hakuna chanjo iliyoidhinishwa kwa sasa, na kutatiza juhudi za kudhibiti.

16 Mei, 2026
Jeshi la Sudan lachukua tena eneo la kimkakati karibu na mpaka wa Ethiopia baada ya mapigano na RSF
Vikosi vya serikali vilisababisha hasara kubwa ya vifaa kwa wanamgambo wa waasi, jeshi limeripoti.

15 Mei, 2026
Uganda yaipa leseni Starlink ya Elon Musk kutoa huduma ya intaneti
Rais Yoweri Museveni alisema Starlink imekubali kuzingatia kikamilifu sheria na masharti yanayotumika Uganda.

15 Mei, 2026
Mbunge Tanzania aulalamikia mpango wa serikali wa kutaka kusitisha uvuvi kwa muda Ziwa Tanganyika
Mbunge huyo ameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa wavuvi kukata leseni za mwaka badala ya kulipia mara kwa mara kutokana na hali ngumu ya kifedhawaliyonayo.



