Waziri wa zamani wa fedha wa Sudan Kusini alikamatwa akijaribu kukimbia nchi

Bak Barnaba Chol aliwekwa chini ya ulinzi wakati akijaribu kuvuka mpaka kuingia Uganda.
1 Mechi, 2026
Kampeni za Uchaguzi wa Urais Zaanza Rasmi Nchini Jamhuri ya Congo

Shughuli za kampeni zimeanza huku wagombea wakijitokeza kuomba ridhaa ya wapiga kura katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa na ushindani mkali.
28 Februari, 2026
Umoja wa Afrika watoa wito wa ‘kupunguzwa uhasama’ baada ya Marekani na Israel kushambulia Iran

Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahamoud Ali Youssouf, anatoa wito “kujizuia, kupunguzwa uhasama na kurejelewa mazungumzo endelevu”.
28 Februari, 2026
Serikali ya Tanzania Yathibitisha Hakuna Mgonjwa wa Uviko-19

waziri-wa-afya-atoa-hakikisho-kuwa-hakuna-kisa-chochote-cha-uviko-19-kilichothibitishwa-nchini-kwa-wakati-huu
28 Februari, 2026

Israel Yaanza Mashambulizi Mkubwa Dhidi ya Iran Licha ya Mazungumzo ya Kidiplomasia

Zaidi ya raia 50 wa Ghana wameuawa katika vita nchini Ukraine

Sudan Kusini inahitaji “hatua za dharura” ili kuepuka vita vya wenyewe kwa wenyewe

Rais wa Burkina Faso asaini mkataba wa afya wenye utata unaofadhiliwa na serikali ya Trump

Wakimbizi wa Burundi warudi kutoka Tanzania
27 Februari, 2026
Nigeria yabadilisha tarehe ya uchaguzi wa urais hadi Januari 16
Tume ya uchaguzi imetoa onyo kwa vyama vya kisiasa kufuata kikamilifu ratiba, ikisema itatekeleza kikamilifu Sheria ya Uchaguzi ya 2026.

27 Februari, 2026
Binti ya Patrice Lumumba awania nafasi nyeti OIF
Kwa sasa, nafasi ya Katibu Mkuu wa OIF inashikiliwa na Louise Mushikiwabo wa Rwanda, akihudumu kwa awamu ya pili ndani ya taasisi hiyo, kabla ya mkutano wake utakaofanyika Phnom Penh, Cambodia, mwaka huu.

27 Februari, 2026
Wapishi wa vyakula vya msaada Sudan walengwa na RSF: UN yatahadharisha
Umoja wa Mataifa umesema mpaka sasa haijabainika kwa nini wafanyakazi wa kutoa msaada wa chakula wanalengwa.

26 Februari, 2026
Watu wasiopungua 25 wauawa katika shambulio linaloshukiwa kutekelezwa na Boko Haram nchini Nigeria
Gavana wa jimbo la Adamawa, Adamu Umaru Fintiri amelaani shambulizi hilo huku maafisa wa eneo hilo wakisema shughuli za kutafuta miili zinaendelea.

26 Februari, 2026
Polisi Kenya wamkamata mshukiwa wa ulaghai wa ajira Urusi
Mwanamume anatuhumiwa kuwarubuni vijana kwa ahadi za kazi na kuwapeleka vitani Ukraine.

26 Februari, 2026
Tanzania yajibu kuhusu meli iliyokamatwa na dawa za kulevya El Salvador
Serikali yasema meli haikuwa na raia wa Tanzania ndani yake.

26 Februari, 2026
Ethiopia Yamkaribisha Rais wa Israel kwa Mazungumzo ya Ushirikiano
Rais wa Ethiopia Sahle-Work Zewde amemkaribisha Rais wa Israel Isaac Herzog kwa mazungumzo ya kuimarisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi.

26 Februari, 2026
Afrika Kusini Yagundua Maelfu ya Wafanyakazi Hewa Serikalini
Ukaguzi wa mishahara umebaini zaidi ya wafanyakazi hewa 4,000, hatua inayolenga kupunguza ufisadi na matumizi ya serikali.

25 Februari, 2026
Papa Leo XIV Kupanga Ziara ya Kiroho Afrika
Papa Leo XIV anatarajiwa kuzuru Cameroon, Angola, Algeria na Guinea ya Ikweta katika ziara ya kidini na kidiplomasia barani Afrika.

25 Februari, 2026
DRC yaanzisha mashambulizi dhidi ya M23 katika maeneo kadhaa
Vikosi vya serikali ya DRC vilianzisha mashambulizi dhidi ya kundi la waasi la M23 mashariki mwa nchi, kwa kutumia ndege zisizo na rubani kulenga eneo la kimkakati la uchimbaji madini lililokuwa likidhibitiwa na waasi hao.




