Benki ya Maendeleo ya Afrika yashirikiana na taasisi za Kiarabu kufidia upungufu wa ufadhili wa Magharibi

“Tunachohitaji sasa ni ushirikiano wa kimfumo na wa kimkakati.” — Sidi Ould Tah
14 Januari, 2026
Eritrea kurejea uwanjani kimataifa baada ya miaka sita ya kususia mashindano

Eritrea kurejea uwanjani baada ya miaka sita ya ukimya.
14 Januari, 2026
Somalia na Türkiye waanza utekelezaji wa makubaliano ya ajira na sera za kijamii

Tunataka ushirikiano huu uzalishe matokeo ya vitendo.
14 Januari, 2026
Jeshi la Sudan Ladai Ushindi Dhidi ya Wapiganaji wa RSF

Jeshi la Sudan (SAF) limetangaza mafanikio makubwa katika operesheni zake za kijeshi dhidi ya wapiganaji wa Al-Dagalo.
13 Januari, 2026

Uganda Kuzima Intaneti Kabla ya Uchaguzi kwa Sababu za Usalama

Tahadhari Afrika Kusini: Mamba na Viboko Waonekana Baada ya Mafuriko

Sudan Yarejesha Vito 570 Vilivyoporwa na Kufanya Sherehe Maalum

Sudan Yaanza Mpango wa Kufufua Khartoum Baada ya Serikali Kurudi Mjini

Morocco Yatangaza Mwisho wa Miaka Saba ya Ukame Baada ya Mvua Kubwa
12 Januari, 2026
Somalia yafuta mikataba ya usalama na ulinzi na UAE
Baraza la Mawaziri la Somalia limefuta mikataba na makubaliano (MoU) zinazohusiana na ushirikiano wa usalama na ulinzi kati ya Somalia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), likitaja ukiukaji wa mamlaka yake.

12 Januari, 2026
AU yatoa tahadhari baada ya Marekani kutangaza mpango wa kujiondoa kutoka kwa mashirika ya UN
Shirika la Umoja wa Afrika (AU) limetoa tahadhari baada ya serikali ya Marekani hivi karibuni kuagiza kusitishwa kwa ufadhili na kujihusiha katika baadhi ya mashirika ya Umoja wa Mataifa.

12 Januari, 2026
IShowSpeed ni nani, nyota wa mtandaoni aliyevuma Kenya?
IShowSpeed, anayejulikana pia kama Speed, ni nyota maarufu wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani ambaye hivi karibuni amevutia hisia za maelfu ya vijana barani Afrika, hasa Kenya.

11 Januari, 2026
China yapinga uingiliaji kati wa mataifa ya kigeni nchini Tanzania kutokana na uchaguzi wenye utata
Beijing inasema “inapinga nguvu yoyote ya nje kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania” na inasisitiza uungaji mkono wake kwa “uhuru na usalama wa taifa”.

10 Januari, 2026
Ethiopia yaanza ujenzi wa ‘uwanja wa ndege mkubwa zaidi barani Afrika’
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bishoftu utakuwa na nafasi ya kuegesha ndege 270 na uwezo wa kubeba abiria milioni 110 kwa mwaka, Waziri Mkuu Abiy Ahmed Ali alisema.

10 Januari, 2026
Trump aonya mashambulizi zaidi ya anga ya Marekani Nigeria kufuatia mauaji ya Wakristo
Usalama hauchagui dini, magaidi huua wote bila ubaguzi.

9 Januari, 2026
Makundi ya waasi kuteka eneo la Uvira karibu na mpaka wa DRC na Burundi yatia hofu katika kanda
Jumuiya ya kikanda imetoa wito kwa wanachama kuchukua hatua ili kuepusha mapigano kuzidi huku mkutano ukianza kujadili ‘hali mbaya kwa watu na hatari ya usalama kwa mataifa jirani’

9 Januari, 2026
Rais Samia wa Tanzania afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri ndani ya siku 54
Mabadiliko hayo ambayo yamefanyika ndani ya siku 54 tangu kutangazwa kwa Baraza la Kwanza la Mawaziri wa kipindi cha pili cha serikali ya Awamu ya Sita.

8 Januari, 2026
Somalia yachunguza madai ya kutumika kwa anga yake na kiongozi wa Yemen anayetaka kujitenga
Somalia inaunga mkono wito wa Saudi Arabia wa kutaka majadiliano mjini Riyadh kama ‘mchakato sahihi wa kisiasa’ wa kutatua matatizo nchini Yemen, inasema idara ya Uhamiaji ya Somalia

8 Januari, 2026
Bobi Wine kutathmini mikataba ya mafuta iwapo atachaguliwa kuwa rais Uganda
Mgombea wa urais wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema kuwa iwapo atapata ridhaa wa wananchi ya kuliongoza taifa hilo, basi atapitia upya mikataba ya mafuta ya nchi hiyo.


