12 Januari, 2026

Somalia yafuta mikataba ya usalama na ulinzi na UAE

Baraza la Mawaziri la Somalia limefuta mikataba na makubaliano (MoU) zinazohusiana na ushirikiano wa usalama na ulinzi kati ya Somalia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), likitaja ukiukaji wa mamlaka yake.

7c8aa29f1f55e33f74567b735bf5e59579f2d2a28f7814edef221700d99bba67

12 Januari, 2026

AU yatoa tahadhari baada ya Marekani kutangaza mpango wa kujiondoa kutoka kwa mashirika ya UN

Shirika la Umoja wa Afrika (AU) limetoa tahadhari baada ya serikali ya Marekani hivi karibuni kuagiza kusitishwa kwa ufadhili na kujihusiha katika baadhi ya mashirika ya Umoja wa Mataifa.

c29577d0091ab87d91a1321b41d3ba21009d5b185c32e019f278ccd57c2f03d3

12 Januari, 2026

IShowSpeed ni nani, nyota wa mtandaoni aliyevuma Kenya?

IShowSpeed, anayejulikana pia kama Speed, ni nyota maarufu wa mitandao ya kijamii kutoka Marekani ambaye hivi karibuni amevutia hisia za maelfu ya vijana barani Afrika, hasa Kenya.

0774c65faada9bf9916004952839c604c97d6ed732288c8776390293432603f8

11 Januari, 2026

China yapinga uingiliaji kati wa mataifa ya kigeni nchini Tanzania kutokana na uchaguzi wenye utata

Beijing inasema “inapinga nguvu yoyote ya nje kuingilia masuala ya ndani ya Tanzania” na inasisitiza uungaji mkono wake kwa “uhuru na usalama wa taifa”.

01f0f870f50f28e8a39f8ab60567557a7fed31db198a7868d6086097800eef94

10 Januari, 2026

Ethiopia yaanza ujenzi wa ‘uwanja wa ndege mkubwa zaidi barani Afrika’

Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bishoftu utakuwa na nafasi ya kuegesha ndege 270 na uwezo wa kubeba abiria milioni 110 kwa mwaka, Waziri Mkuu Abiy Ahmed Ali alisema.

642da02d880dc84faeb2f5a02c1eb5011b5ee239f7ba92c979bd172969e7b574

10 Januari, 2026

Trump aonya mashambulizi zaidi ya anga ya Marekani Nigeria kufuatia mauaji ya Wakristo

Usalama hauchagui dini, magaidi huua wote bila ubaguzi.

250

9 Januari, 2026

Makundi ya waasi kuteka eneo la Uvira karibu na mpaka wa DRC na Burundi yatia hofu katika kanda

Jumuiya ya kikanda imetoa wito kwa wanachama kuchukua hatua ili kuepusha mapigano kuzidi huku mkutano ukianza kujadili ‘hali mbaya kwa watu na hatari ya usalama kwa mataifa jirani’

2d5d87b53510f8bcbc30299d28aa3fdb7151f745225e615c80447be1bbb21319

9 Januari, 2026

Rais Samia wa Tanzania afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri ndani ya siku 54

Mabadiliko hayo ambayo yamefanyika ndani ya siku 54 tangu kutangazwa kwa Baraza la Kwanza la Mawaziri wa kipindi cha pili cha serikali ya Awamu ya Sita.

743fe579a8426350c26aafffeb96729a1839aa5a9afd1bf49511d275098c2870

8 Januari, 2026

Somalia yachunguza madai ya kutumika kwa anga yake na kiongozi wa Yemen anayetaka kujitenga

Somalia inaunga mkono wito wa Saudi Arabia wa kutaka majadiliano mjini Riyadh kama ‘mchakato sahihi wa kisiasa’ wa kutatua matatizo nchini Yemen, inasema idara ya Uhamiaji ya Somalia

d9e4e7456dedae1d31b3812f6f80ccbef264b7c90c8b4af20906f84ac7fa6705

8 Januari, 2026

Bobi Wine kutathmini mikataba ya mafuta iwapo atachaguliwa kuwa rais Uganda

Mgombea wa urais wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, amesema kuwa iwapo atapata ridhaa wa wananchi ya kuliongoza taifa hilo, basi atapitia upya mikataba ya mafuta ya nchi hiyo.

2026 01 08t090855z 557507934 rc2bsiax5077 rtrmadp 3 uganda politics
Inapakia...