Ethiopia Yamkaribisha Rais wa Israel kwa Mazungumzo ya Ushirikiano

Rais wa Ethiopia Sahle-Work Zewde amemkaribisha Rais wa Israel Isaac Herzog kwa mazungumzo ya kuimarisha uhusiano wa kisiasa na kiuchumi.
26 Februari, 2026
Papa Leo XIV Kupanga Ziara ya Kiroho Afrika

Papa Leo XIV anatarajiwa kuzuru Cameroon, Angola, Algeria na Guinea ya Ikweta katika ziara ya kidini na kidiplomasia barani Afrika.
25 Februari, 2026
Zimbabwe Yakataa Msaada wa Afya wa Dola Milioni 367 Kutoka Marekani

Serikali yasema makubaliano yaliyopendekezwa yaligusa masuala ya uhuru wa taifa na udhibiti wa taarifa za afya.
25 Februari, 2026
Mexico yatangaza uratibu baada ya kuuawa kwa kiongozi wa CJNG

Claudia Sheinbaum asema serikali za majimbo na shirikisho zinashirikiana kudhibiti hali ya usalama.
23 Februari, 2026

Rais Trump awafukuza raia wa Zimbabwe na Ghana kutoka Marekani hadi Cameroon

Unatumia Gaza kwa majaribio ya silaha: Waandamanaji wakabili maonyesho ya silaha huko Tel Aviv

Iran yafanya mazoezi ya kijeshi Hormuz kabla ya mazungumzo na Marekani

Uturuki, mataifa ya Kiislamu wakemea uamuzi wa Israel wa kunyakua ardhi katika Ukanda wa Magharibi

Nigeria yapokea msaada wa kijeshi kutoka Marekani
16 Februari, 2026
China yaonya hatari ya fataki baada ya vifo vya Donghai
Maafisa wa usalama watoa tahadhari wakati wa Mwaka Mpya wa Kichina

15 Februari, 2026
Makumbusho ya Uingereza yaondoa neno ‘Palestina’ kwenye kuta zake
Hatua hiyo, inafuatia malalamiko yaliyoibuliwa na kikundi cha wanasheria wa Israel cha nchini Uingereza.

15 Februari, 2026
Rais Donald Trump ‘yuko tayari’ kukutana na Ayatollah Ali Khamenei wa Iran kama itahijatika
Kulingana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, Rais Donald Trump yupo tayari kukutana na Ayatollah Ali Khamenei wa Iran, kama itahitajika.

15 Februari, 2026
Droni za Ukraine zateketeza ghala la mafuta la Urusi
Ukraine imeendelea kuishambulia hifadhi ya mafuta ya Urusi, kama kisasi baada ya Urusi kuuwa maelfu ya Waukraine.

14 Februari, 2026
China yaionya Marekani kuhusu Taiwan
Kwa muda mrefu, China imekuwa ikidai umiliki wa eneo linalojitawala la Taiwan, huku Marekani nayo, ikiliunga mkono eneo la Taiwan kwa kulipa misaada ya silaha.

13 Februari, 2026
Ukraine yapokea shehena ya droni za kivita kutoka Ujerumani
Tukio hilo lilihudhuriwa na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine na Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius jijini Munich.

13 Februari, 2026
Trump amlaumu rais wa Israel kwa kutotoa msamaha kwa Netanyahu
Rais wa Marekani amesema ni ‘aibu’ kwa Herzog kwa kutotoa msamaha, huku ofisi ya rais wa Israel ikisema ombi hilo linafanyiwa tathmini.

12 Februari, 2026
Kim Jong Un wa Korea Kaskazini amuandaa binti yake kuwa mrithi wa kiti cha urais
Idara ya Intelijensia ya Korea Kusini inaamini kuwa Korea Kaskazini wameanza hatua ya kumuandaa Kim Ju-ae, binti wa Rais Kim Jong Un, kama kiongozi ajaye.

6 Februari, 2026
Marekani yaiwekea Iran vikwazo vipya muda mfupi baada ya mazungumzo kukamilika nchini Oman
Tangu muhula wa kwanza wa Trump, Marekani imeweka vikwazo ili kuzilazimisha nchi nyingine zote kuacha kununua mafuta ya Iran.

6 Februari, 2026
Trump azindua tovuti ya dawa nafuu, TrumpRx
“Kuanzia jioni ya leo, dawa nyingi zinazotumika mara kwa mara zitapatikana kwa punguzo kubwa kwa watumiaji wote.” — Donald Trump




