16 Februari, 2026

China yaonya hatari ya fataki baada ya vifo vya Donghai

Maafisa wa usalama watoa tahadhari wakati wa Mwaka Mpya wa Kichina

412

15 Februari, 2026

Makumbusho ya Uingereza yaondoa neno ‘Palestina’ kwenye kuta zake

Hatua hiyo, inafuatia malalamiko yaliyoibuliwa na kikundi cha wanasheria wa Israel cha nchini Uingereza.

eb9a5119ec805b33c8a9413208986beb5f6591618f4e48e83afa54f410501bdf

15 Februari, 2026

Rais Donald Trump ‘yuko tayari’ kukutana na Ayatollah Ali Khamenei wa Iran kama itahijatika

Kulingana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, Rais Donald Trump yupo tayari kukutana na Ayatollah Ali Khamenei wa Iran, kama itahitajika.

bc022dde73f39185e3071115c70e4784415bdce020d8e69d1ccda97344e9c538

15 Februari, 2026

Droni za Ukraine zateketeza ghala la mafuta la Urusi

Ukraine imeendelea kuishambulia hifadhi ya mafuta ya Urusi, kama kisasi baada ya Urusi kuuwa maelfu ya Waukraine.

45ef24922c268a40ec362f70082b868123ffe2ef52cf27b4a504c420612f8f43

14 Februari, 2026

China yaionya Marekani kuhusu Taiwan

Kwa muda mrefu, China imekuwa ikidai umiliki wa eneo linalojitawala la Taiwan, huku Marekani nayo, ikiliunga mkono eneo la Taiwan kwa kulipa misaada ya silaha.

7e4463518e88316de634b89cac6b44f7f1f84607e55c3a26114efeba9977ad67

13 Februari, 2026

Ukraine yapokea shehena ya droni za kivita kutoka Ujerumani

Tukio hilo lilihudhuriwa na Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine na Waziri wa Ulinzi wa Ujerumani Boris Pistorius jijini Munich.

dfa3d10b5fe0772235772922594d7e0d197d787ce508c9f2812008318e9fc325

13 Februari, 2026

Trump amlaumu rais wa Israel kwa kutotoa msamaha kwa Netanyahu

Rais wa Marekani amesema ni ‘aibu’ kwa Herzog kwa kutotoa msamaha, huku ofisi ya rais wa Israel ikisema ombi hilo linafanyiwa tathmini.

2026 02 12t064337z 1 lynxmpem1b0cc rtroptp 3 israel palestinians trump netanyahu

12 Februari, 2026

Kim Jong Un wa Korea Kaskazini amuandaa binti yake kuwa mrithi wa kiti cha urais

Idara ya Intelijensia ya Korea Kusini inaamini kuwa Korea Kaskazini wameanza hatua ya kumuandaa Kim Ju-ae, binti wa Rais Kim Jong Un, kama kiongozi ajaye.

b99e2d6846b6e7548d3387a02572d329c24fb0ad1c0e8b8ed638cbea825c8f74

6 Februari, 2026

Marekani yaiwekea Iran vikwazo vipya muda mfupi baada ya mazungumzo kukamilika nchini Oman

Tangu muhula wa kwanza wa Trump, Marekani imeweka vikwazo ili kuzilazimisha nchi nyingine zote kuacha kununua mafuta ya Iran.

a7bcdaa0cbdf8262b8fcd4579d9b144a34cff77cd0146584a8f8592362e609b2

6 Februari, 2026

Trump azindua tovuti ya dawa nafuu, TrumpRx

“Kuanzia jioni ya leo, dawa nyingi zinazotumika mara kwa mara zitapatikana kwa punguzo kubwa kwa watumiaji wote.” — Donald Trump

407
Inapakia...