Usalama

Marekani Yaondoa Wafanyakazi Wasio wa Muhimu Nigeria Huku Hali ya Usalama Ikizorota

Marekan imeagiza wafanyakazi wasio wa muhimu wa ubalozi wake kuondoka Abuja kutokana na kuongezeka kwa hatari za kiusalama.

Newstimehub

Newstimehub

11 Aprili, 2026

94ba773e5089ce8ae8ddd04773dcb6ec5b731e5bb4adf371a62ab5b1dcd1af8f

Miezi miwili baada ya Marekan kuahidi kuimarisha juhudi za kupambana na ugaidi nchini Nigeria kupitia msaada wa kijasusi, mafunzo, na ushirikiano wa kimkakati, hali imechukua mwelekeo tofauti kufuatia ongezeko la matukio ya ukosefu wa usalama.

Taarifa mpya zinaonyesha kuwa Washington imeagiza wafanyakazi wasio wa muhimu wa ubalozi wake pamoja na familia zao kuondoka katika mji mkuu Abuja, ikitaja kuongezeka kwa vitisho vya kiusalama kama sababu kuu ya uamuzi huo. Hatua hiyo imezua wasiwasi kuhusu hali halisi ya usalama nchini humo na ufanisi wa juhudi za kimataifa katika kukabiliana na ugaidi.

Chanzo: TRT Afrika