Denis Sassou Nguesso atangaza kuwania tena urais Congo-Brazzaville

Marekebisho ya katiba ya mwaka 2015 yaliondoa kikomo cha umri wa wagombea urais na kuanzisha mfumo wa mihula mitatu ya miaka mitano.
5 Februari, 2026
Makamu wa Rais Nchimbi atoa wito wa mshikamano katika maadhimisho ya CCM

Maadhimisho ya miaka 49 ya CCM yamefanyika Februari 5, 2026 katika Wilaya ya Chemba, Dodoma.
5 Februari, 2026
Maseneta wa Marekani waonya kuhusu hali ya kibinadamu mashariki mwa DRC

Maseneta wa Marekani wameonesha wasiwasi kuhusu sehemu za mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuendelea kukaliwa na kundi la waasi wa M23.
5 Februari, 2026
Wake wa Marais wa Uturuki na Misri wakutana Cairo, wakisisitiza mshikamano wa kijamii

Wake hao wa marais walitembelea piramidi za Giza, ikiwa ni pamoja na Piramidi Kuu ya Khufu, mojawapo ya Maajabu Saba ya Dunia ya Kale.
4 Februari, 2026

Uturuki na Misri zakamilisha Jukwaa la Biashara jijini Cairo, zikilenga kuongeza ushirikiano wa kiuchumi

ACT-Wazalendo yalaani hatua ya ZEC kuteketeza nyaraka za uchaguzi

Morocco kukata rufaa dhidi ya adhabu ya CAF, Senegal yakubali faini

WHO yaonya kuongezeka kwa janga la saratani barani Afrika

Marekani yatuma maafisa wa kijeshi Nigeria
4 Februari, 2026
Uturuki yasimama na umoja wa Sudan
Uturuki imetoa msaada wa hema 30,000 na misaada ya chakula.

3 Februari, 2026
Saif al-Islam Gaddafi ameripotiwa kuuawa Libya
Taarifa za kifo chake zimetolewa na vyanzo vya familia na vyombo vya habari vya ndani.

3 Februari, 2026
Ethiopia yapinga madai ya Trump kuhusu ufadhili wa bwawa la GERD
Abiy Ahmed asema Ethiopia haikupokea msaada wa kifedha wa kigeni kwa GERD.

3 Februari, 2026
Urusi yashutumu Ufaransa kwa njama za kuwaondoa viongozi wa Afrika
Ufaransa inadaiwa kuhusika katika jaribio la mapinduzi Burkina Faso.

3 Februari, 2026
UN kutuma ujumbe DRC kusaidia kusitisha mapigano
Pande zote zakubaliana kuanzisha mfumo wa kufuatilia makubaliano.

3 Februari, 2026
Msumbiji yajenga mtambo wa grafiti kuongeza thamani ya madini
Msumbiji yazindua mtambo wa grafiti wa dola milioni 150.

3 Februari, 2026
Ethiopia yapinga madai ya Trump kuhusu ufadhili wa bwawa la GERD
Bwawa la GERD ndilo kubwa zaidi Afrika kwa uzalishaji wa umeme.

2 Februari, 2026
Tyla aibuka mshindi wa Grammy mara ya pili, aandika historia ya muziki wa Afrika
Tyla ashinda Grammy ya Best African Music Performance kwa mara ya pili.

2 Februari, 2026
Uganda yapinga vikwazo vya Marekani, yauita mbinu ya kikoloni ya kutisha
Jenerali Muhoozi Kainerugaba alidai ubalozi wa Marekani umeingilia siasa za Uganda.

2 Februari, 2026
Jeshi la Nigeria lawaua kamanda wa Boko Haram na wapiganaji 10 Sambisa
Operesheni ilifanyika msituni Sambisa, jimbo la Borno.




