30 Januari, 2026

Air Tanzania yazindua safari za Ghana

Katika tukio hilo, ndege ya Shirika la Ndege la Tanzania, ilitua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kotoka jijini Accra, na kukaribishwa na salamu ya maji, maarufu kama ‘Water Salute’.

07156fc89060a0fecf65caa028d83aa306273ef35544869640655559dd1c4e93

30 Januari, 2026

Somalia yazuia ndege ya Israel kupita katika anga yake

Somalia imekataa kuhuisha kibali cha kuruka juu ya anga lake kwa kampuni ya ndege ya Arkia Israeli Airlines, ambayo kwa kawaida hutumia anga la Somalia katika safari zake za moja kwa moja kati ya Tel Aviv na Bangkok.

981062871b4fd97e1b072f9175ce7176ed274e90fe0609435d1db69594b35e67

30 Januari, 2026

Mkuu wa Majeshi wa Uganda aiomba radhi Marekani

Mkuu wa Majeshi nchini Uganda, Muhoozi Kainerugaba aiomba radhi Marekani kufuatia ‘tweets’ zake za awali.

2026 01 26t151928z 1 lynxmpem0p0w1 rtroptp 3 uganda politics succession

30 Januari, 2026

Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa DRC Patrice Emery Lumumba afariki dunia

Kifo chake kinakuja wakati kesi za mauaji ya Patrice Lumumba zikiwa bado zinaendelea nchini Ubelgiji.

bb4f5a1526c4b89dcc1eb526ac31c285d4655e2c0c49623e25c9108168054ec0

30 Januari, 2026

Kiongozi wa Guinea-Bissau N’Tam apandishwa cheo cha juu zaidi cha jeshi

Meja Jenerali N’Tam sasa ana nyota nne badala ya mbili.

c1e5d188656450ee8ebb76d8530f98081afc2d63578fd2a6471dc7928fd8db99

30 Januari, 2026

Burkina Faso yafuta vyama vyote vya kisiasa kwa madai ya Kusababisha ‘mgawanyiko’

Waziri wa Utawala Emile Zerbo alisema upigaji marufuku wa vyama hivyo ni baada ya mamlaka kubaini kuwa vyama vimekiuka miongozo iliyowaanzisha.

00c83474af090eeb0c88be3dc51dedae8abd4c840568cf64b6cf5668796a6695

29 Januari, 2026

Shirika la Umoja wa Mataifa linasema watu wengine 285 wameachwa bila makazi Kordofan Kusini Sudan

Ukosefu wa usalama kumefanya familia kadhaa kukimbia kutoka eneo la Kordofan Kusini

e52606188a92797bafbd36978c9e02037630f979c8afd5a0cd47318821408bb7

29 Januari, 2026

Afrika Kusini yapendekeza mfuko mpya wa mageuzi kusaidia biashara za Weusi

Serikali ya Afrika Kusini yapendekeza marekebisho ya B-BBEE.

373

29 Januari, 2026

ECOWAS yaiondolea vikwazo Guinea

Jumuiya hiyo iliiwekea Guinea vikwazo kufuatia mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2021.

690166d22ba016917fe307955c8ce9df30341fbaa696c4276c71b5c8de851b32

29 Januari, 2026

CAF yashusha rungu zito kwa Morocco na Senegal baada ya fujo za katika Fainali ya AFCON 2025

Kupitia Kamati yake ya Nidhamu CAF imetangaza adhabu kali dhidi ya timu za taifa za Morocco na Senegal kufuatia matukio yaliyotokea katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 uliyofanyika Januari 18, 2026.

cb55df153151007f9475b3f9a2a2220a6dddc97d3d0da09030362d139228f9cd
Inapakia...